Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina lako Lina sadifu mamako alizaa chawa huezi kua na akilWivu tu.
Naunga na aise kwenye post yake #6 hasa maneno mawili ya mwisho..!!Wivu tu.
Wivu unakusumbua kuona mi nafaidi mema ya nchiJ
Jina lako Lina sadifu mamako alizaa chawa huezi kua na akil
Wanasikitisha sanaNaunga na aise kwenye post yake #6 hasa maneno mawili ya mwisho..!!
Hao bajaj au?Wanasikitisha sana
Ukitaka uchelewe michongo yako basi tegemea mwendokasiUnapanda gerezan hadi faya unaunga la kwenda ferry
SahihUkitaka uchelewe michongo yako basi tegemea mwendokasi
Kuna BRT ya Gerezani - Posta?Kwani kutoka Congo kwenda Gerezani au Msimbazi B kuna umbali gani? Au unadhani daladala zinazoishia mnazi mmoja wote wanafanya kazi hapo mnazi. Acha kufikiria kizembe
Aah, nilisahau hiyo option..Unapanda gerezan hadi faya unaunga la kwenda ferry
Sawa bossHuo ndio ujinga tusiotaka. Kwani Machinga wanapoondolewa sehemeu zizisostahili maana yake wakafe njaa? Nimesema watafutiwe sehemu sahihi
Ili ijulikane kuna kituo, Basi lazima liondoke kwenye main lane lipaki. Sasa kama linasimama na kuwafanya watu wa nyuma yake wasimame kuna kituo hapo? Angalia Upya, pale Magomeni, Fire, Mahakama ya Ndizi, hivyo ni vituo? .Kuhusu route ya Posta, Sinza hadi makumbusho via morogoro road nakupinga. Vituo vipo ila sio vya kupigia debe ni kushusha na kupakia.
Hakuna kukaa hapo na kupiga debe
Kwa mama ntilie.Afu bajaj tukale wapi mkuu
Kweli kbsUkitaka uchelewe michongo yako basi tegemea mwendokasi