Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Awamu ya tano imeonysha kuwa wafanyakazi sio tu hawamnyimi usingizi bali hata hawana maana kwake. Ukiondoa uvunjaji wa sheria aliofanya kupandisha mishahara na madaraja hata ahadi zake za kupunguza kodi (PAYE) kwa wafanyakazi hajajigusa.
Walidanganya uhakiki ndio kikwazo miaka mitano imepita.
Wakadanganya anajali wafanyakazi wa nchi hii lakini hajaonyesha jambo lolote juu ya kipato cha mafanyakazi zaidi ya kumnyonya kodi toka kwenye mshahara hadinkwenye manunuzi analipa kodi tu
Ni kwa miaka 5 ajira zimeporomoka katika kuajiri na sekta binafsi zikilia ukata.
Ila kaweza kujipitishia sheria ya kutoshitakuwa ndani ya siku 5.
Walidanganya uhakiki ndio kikwazo miaka mitano imepita.
Wakadanganya anajali wafanyakazi wa nchi hii lakini hajaonyesha jambo lolote juu ya kipato cha mafanyakazi zaidi ya kumnyonya kodi toka kwenye mshahara hadinkwenye manunuzi analipa kodi tu
Ni kwa miaka 5 ajira zimeporomoka katika kuajiri na sekta binafsi zikilia ukata.
Ila kaweza kujipitishia sheria ya kutoshitakuwa ndani ya siku 5.