Bajeti 2020/21 Watumishi wa Umma mwaka wa 5 hakuna nyongeza ya mishahara wala punguzo la kodi

Bajeti 2020/21 Watumishi wa Umma mwaka wa 5 hakuna nyongeza ya mishahara wala punguzo la kodi

wafanyakazi wa nchi hii hasa walimu ni disaster. siku ya uchaguzi ndo watashiriki kuiba kura kwa ujira wa shilingi 30,000 kwa siku kwa siku hiyohiyo.
 
bajeti hii ni ya wananchi wote wa tabaka la chini, kati na juu, wakulima na wafanyakazi, wajasiriamali na wafanya biashara wakubwa sote tunanufaika kwa namna moja au nyingine, hata mshara ulio nao unatosheleza mahitaji yako kwa sababu mfumuko wa bei umedhibitiwa sana. kwa kweli serikali ya awamu hii ya 5 inafanya kazi inayo onekana.

natamani sana katiba ibadilishwe Rais Magufuli aongezewe Muda zaidi maaana siamini bada yake kama tutapata mtu wa aina yake labda baada ya miongo kadhaa.
Sukari???.
 
wafanyakazi wa nchi hii hasa walimu ni disaster. siku ya uchaguzi ndo watashiriki kuiba kura kwa ujira wa shilingi 30,000 kwa siku kwa siku hiyohiyo.
Usiwe kasuku kukariri kila unalo sikia,, Je mwalimua anaiba Vipi kura?..UNAWEZA kutuletea maelezo ya Kina Jinsi mwalimu anavyo iba kura?. au kwa SABABU wengi wa wasimamizi WA vituo ni walimu?.. Bado haitoshelezi make huko ndani ya vituo kuna mawakala wa vyama vya SIASA na wangalizi wengine,,,,Hebu tufafanulie.
 
Katika Chemistry kuna principle inaitwa "Le chatalier s" If one of the factor up on which the reaction in equilibrium depend is altered the equilibrium Will shift to counter balance the effect of the change" Ufanisi wa kazi unategemea kipato,, na kupata stahiki zako ipasavyo hata kama itakua kidogo,, kikikosekana basi UNAFANYA maarifa mengine ili kukipata,,,Masaa 3 kazini 6 shambani kulima ufuta,,,ATAUMIA MWANANCHI
MWL Chemistry na Biology
 
Usiwe kasuku kukariri kila unalo sikia,, Je mwalimua anaiba Vipi kura?..UNAWEZA kutuletea maelezo ya Kina Jinsi mwalimu anavyo iba kura?. au kwa SABABU wengi wa wasimamizi WA vituo ni walimu?.. Bado haitoshelezi make huko ndani ya vituo kuna mawakala wa vyama vya SIASA na wangalizi wengine,,,,Hebu tufafanulie.

Hii nchi ina wajinga wengi sana. Kuna wakati inabidi tu kuwapuuzia. Sijui wamekaririshwa na nani hawa mbulukenge! Halafu wamekua na desturi ya ku generalize vitu pasipo na ushahidi wowote ule!!
 
Back
Top Bottom