Bajeti 2020/21 Watumishi wa Umma mwaka wa 5 hakuna nyongeza ya mishahara wala punguzo la kodi

Bajeti 2020/21 Watumishi wa Umma mwaka wa 5 hakuna nyongeza ya mishahara wala punguzo la kodi

Hilo punguzo la kodi kwa wafanyakazi, toka mshahara wa shilingi 170,000 hadi 270,00 hujalisikia?

Basically ni nyongeza ya 9%*(270000-170000)ambayo ni sawa na 9,000
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Unaoneka wewe si mfatiliaji mzuri wa mambo.

Hujasikia juzi Wakufunzi wa Chuo kimoja wamekamatwa kwa kuhujumu uchumi, wakati kosa ni kufanya kazi chuo zaidi ya kimoja ili kukuza vipato vyao.

Yani Madaktari wasiwe na dispensaries zao, fundi umeme usifanye part time, na IT usiguse kazi ya mtu..

Alafu unaleta story za kipato cha ziada .

Nyie ndo wale Leo niko masikini huulizi nimepataje umasikini, lakini kesho nikiamka tajiri unakuja kunikamata na kuhoji nimetoa pesa wapi.
Uwe unasikiliza vizuli sio kudaka maneno nusu nusu itakukosti nyang'au wewe...wale kosa lao sio kufanya kazi sehemu mbili,bali kosa lao kusaini mikataba ya kazi permanent sehemu mbili tofauti.
 
Mishahara ya nini kama mfumuko wa bei imeshuka na umekua stable? Nyongeza ya mshahara ina faida gani kwenye mazingira ya mfumuko wa bei?
Unachokiongea kweli unakijua, wapi mfumuko wa Bei umepungua?
 
Mishahara ya nini kama mfumuko wa bei imeshuka na umekua stable? Nyongeza ya mshahara ina faida gani kwenye mazingira ya mfumuko wa bei?
Mkuu bei ya cementi au nondo au sukari mwaka 2015 na sasa 2020 iko vilevele, imeshuka au imepanda?
 
Uwe unasikiliza vizuli sio kudaka maneno nusu nusu itakukosti nyang'au wewe...wale kosa lao sio kufanya kazi sehemu mbili,bali kosa lao kusaini mikataba ya kazi permanent sehemu mbili tofauti.
Kwaiyo wewe kenge unadhani madaktari wanapofanya kazi sehemu mbili huwa wana saini makalio yako?

Mbona hamsemi? alafu nyang'au mwenyewe.

Tatizo mmekaririshwa kila mnachoambiwa nyie jibu ni NDIO.

Siku mtakayonunua sukari kwa shilingi elfu 4 kwa kilo ndipo mtaelewa.
 
Sasa ni matako yako hayo? Yaani nyie ndio mnatufanya wapinzani tuonekane manyumbu! Maanake mtu aliyekuwa anapata 2.24m hatakatwa kodi, kodi inaanza kwa mtu anayepata 3.24m kwa mwaka. Sasa mimi kwa mshahara wangu nimepiga hesabu nikakuta kuna punguzo la elfu 50 kwa mwezi, utasemaje hakuna punguzo hapo? Mnyonge mnyongeni......! Sema Magu amezingua kutowaongezea mshahara tu hao watu wake, ila yote hiyo ni kiburi cha huyo mzee!
Kwa hiyo elfu 50 umeona ni dili sana kwako?😀😀😀 Wenzako wabunge huko wanalipwa mamilioni na hawakatwi kodi!
 
Mkapa hakuongeza mshahara lakini maisha ya wafanyakazi yalikuwaje, dawa si kuongeza mshahara bali ni kudhibiti mfumko wa bei leo hii mshahara ukiongezwa kila kitu kitapanda bei kuanzia daladala, kodi ya nyumba , chakula na vinginevyo inachotakiwa kufanya serikali ni kupunguza mfumko wa bei
Mkapa hakuongeza salary????una uhakika au umeandika kufurahisha jukwaa?narudia are you sure na ulichokiandika ?
 
Ni Hadi Utawala huu ukimaliza mda wake labda 2040 ndio wataongezwa,mtu mwenye akili timamu ajiongeze njia mbadala.
 
Sasa ni matako yako hayo? Yaani nyie ndio mnatufanya wapinzani tuonekane manyumbu! Maanake mtu aliyekuwa anapata 2.24m hatakatwa kodi, kodi inaanza kwa mtu anayepata 3.24m kwa mwaka. Sasa mimi kwa mshahara wangu nimepiga hesabu nikakuta kuna punguzo la elfu 50 kwa mwezi, utasemaje hakuna punguzo hapo? Mnyonge mnyongeni......! Sema Magu amezingua kutowaongezea mshahara tu hao watu wake, ila yote hiyo ni kiburi cha huyo mzee!
hiyo nyongeza ina effect kwenye take home peke yake,haina mabadiliko yeyote kwenye mahesabu ya kwenye mifuko ya jamii

na haya ndio ambayo huwa tunajali sana tunapozungumzia nyongeza ya mshahara,sasa kuongezewa elfu 50 kila mwezi halafu pensheni haiongezeki ni kama haina maana

tunacholilia ni nyongeza ya mshahara sambamba na punguzo la kodi...
 
Shauri yenu. Sijawahi kufurahishwa wala kuridhishwa na utendaji wenu wa kazi. Ni bora ni mpiganie haki yake mfanyakazi wa mhindi kuliko wa serikali.
 
Kumbe mfumuko wa bei huwa unasababishwa na nyongeza ya mishahara ?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachangia fatilia historia ya kuongezwa mshahara na upandishaji wa vitu mwenye nyumba akijua wafanyakazi wameongezwa mshahara na yeye anaongeza kodi
 
Mishahara ya nini kama mfumuko wa bei imeshuka na umekua stable? Nyongeza ya mshahara ina faida gani kwenye mazingira ya mfumuko wa bei?
Duh, mkuu uko serious kweli. Hebu tuone,
Sukari imepanda bei
Unga umepanda bei
Mafuta ya kupikia yamepanda bei
na hivi ndivyo vitu watanzania wengi wanatumia.
Hata mchele umepanda bei sasa huo mfumko wa bei umepunguaje?
 
Umekuwa na maisha magumu na kiofisi chako Cha chumba kimoja hapo kwenye la Africasana Kama mama ntilie.
Ni kweli hiyo ndio hali yangu kwa sasa
"Jamani msinicheke kufilisika,
Kufilisika si kilema ni matatizo
Ni matatizo ya dunia ndugu zangu"
P
 
Watumishi wanahangaika sana awamu hii, ngoja niombe nafasi kwenye kile kikundi maalum cha kulazimisha....teh..
 
Awamu ya tano imeonysha kuwa wafanyakazi sio tu hawamnyimi usingizi bali hata hawana maana kwake. Ukiondoa uvunjaji wa sheria aliofanya kupandisha mishahara na madaraja hata ahadi zake za kupunguza kodi (PAYE) kwa wafanyakazi hajajigusa.

Walidanganya uhakiki ndio kikwazo miaka mitano imepita...
Kweli tupu!
 
Back
Top Bottom