wapi ndama mutoto ya ng'ombe,wapi muzamir katunzi,wapi papa baghdad,wapi papa musofe,wapi chief kiumbe the big boss,wapi kimbau,wapi omary tall,wapi akayesu,wapi papa felician muta,wapi hasheem thabeet supa tolu,wapi muuza nyago na kavitz kako,magari yanayofaa kuwekwa hzo plate no customised ni hummer,vogue,benz v8 biturbo,phantom royce rolls,aston martin,buggati,limousine,jaguar,x5,lamborgine.
But five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?
ulipaji wake umekaaje wakuu.....? Je ukilipa kwa mara ya kwanza mil 5 utaendelea kulipa figure hiyo hiyo au itakuja kwenye rate ya kawaida?
Lazima ada iwe kubwa ili wachache na wenye uwezo ndio wanufaike...kimsingi si jambo lenye athari kwa wananchi,hata mamtoni ipo hivyo. Wenye uwezo waweke tu!
Kwa kuwa bado mifumo yetu ya usimamizi bado siyo makini, ili kuepuka matatizo yote haya, sheria hiyo iseme moja kwa moja kuwa hakuna kuingiza gari ambayo ni zaidi ya miaka 8. Unajua kusema kuwa itatozwa tu kodi ya bidhaa haisadii, soko litajiadjust na magari ya yenye umri wa miaka 8 kuja chini bei zake zitakuwa juu zaidi, na zile za zamani kuwa more cheaper, kwa maana hiyo mtu akifanya uwiano anaona hata pamoja na hiyo 20% bado ni gharama nafuu kununua gari ya zamani kuliko ya chini ya miaka 8.
Huundio ukweli, hiyo sheria iseme moja kwa moja ie no more magari ya aina fulani ya chini ya miaka 8 kuingia nchini basi.
Haa haa haa haa Umenifurahisha sana Comrade hatuna makuu sie "dawa ya njaa ni kazi"baada ya dhiki faraja, chuma ulete, haya tumeyazoea sie wazee wa guta
Naomba kuuliza wadau, sasa ina maana ile tax calculator ya excel inayotolewa na TRA ndio haitumiki tena au inakuwaje?
Kwa anayejua naomba ufafanuzi.
nakuunga mkono aslimia mia moja!yapo magari ya miaka ya nyuma imara mno na sio makaratasi kama ya sasa.kuchakaa kwa gari ni kutumika kwake,yaani kama limetembea kilometa nyingi.
Hii bajeti ni ya kumsaidia mlalahoi au kumkandamiza?
Millioni 5? Hapa Maryland tags maalumu unalipa dola 50 tu.
mkuu kumbuka ni kila baada ya miaka mitatu na si kila mwaka unalipa iyo million tatu..then kama unaona nyingi si lazima kuweka maana ni kitendo cha hiari tuBut five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?