Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al- maana yake hata walimu ni viwango duni kwi! Kwi! Kwi!Kweli kabisa ni juhudi binafsi. Bila juhudi binafsi asingefika alipo.
Inanidhihirishia kuwa wenzetu mnaburuzwa bila kuwa na uwezo binafsi. Ahsante sana.
Na ni hivyo hivyo kwa Kikwete, au umesahau kuwa na yeye ni mchumi?
Al- maana yake hata walimu ni viwango duni kwi! Kwi! Kwi!
Siyo maalim ni Mwalimu na pia hakusoma wala kufundisha hizo shule za Al-pilauKwani Maalim Nyerere alikuwa kiwango kipi?
Siyo maalim ni Mwalimu na pia hakusoma wala kufundisha hizo shule za Al-pilau
Hiyo ni lugha ya wafuga ndevu Kama wale jamaa zetu walioko kikundi fulani cha majambazi huko zenjiWewe nawe, "Mwalimu" sio Kiswahili fasaha. Mbona mnashusha hadhi ya lugha?
Poa mkuu shukrani hivi kabla ya hii 20% excise duty ya uchakavu awali walikuwa wanapiga ngapi? maana walishaanza kupiga japo ilikuwa 10yrs from year of manufacture sasa wamebana hadi 8yrs
Yaani mkuu ikiingia tu pale bandarini kuanzia 1 July tayari wanakubana kwa kodi mpya, ilinitokea mwaka juzi
Tunapokosea ni pale tunapodhani gari lenye miaka mingi ni chakavu! unaweza kukuta gari iiliyotengenezwa mwaka 1999 ina mileage lets say 86,000km na gari iliyotengezwa 2004 ina mileage 250,000km kati ya magari haya mawili lipi chakavu??hii sera ya gari chakavu ni ya kuangalia upya! halafu wenzetu mfano japan hawana haja ya ku damp magari mabovu kwetu maana huwa wana recycle na kuunda mengine au kutumia chuma chakavu kutengeneza vitu vingine!!
Kweli kabisa ni juhudi binafsi. Bila juhudi binafsi asingefika alipo.
Inanidhihirishia kuwa wenzetu mnaburuzwa bila kuwa na uwezo binafsi. Ahsante sana.
Na ni hivyo hivyo kwa Kikwete, au umesahau kuwa na yeye ni mchumi?
Kwa hilo tu la namba za magari unaomba utolewe roho mapema au kuna jingine? KAMA NI HILO HAKIKA DUA YAKO IMEPOKELEWA BAADA YA SIKU KADHAA HATUTAKUONA TENA JAMVINI SALAAM KWA BABU ZAKO.
Huo ni mkakati wa serikali kujiongezea mapato na wala sio kwa ajili ya watu kujionesha kuw wanapesa...
Itakuaje kwa wale ambao majina yatafananana? Lets say mimi Mtei nataka gari yangu iwe na jna langu halafu na ndugu zangu wengne nao wanataka ku2mia jna hlo hlo maarufu. Itakuaje?