But five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?
Njoka Ereguu,
Nakushauri uwe unaangalia angalau TV , huyu Mgimwa na Comissioner wa Budget sijui wamechoka na maisha. Huko Kenya walianzisha mtindo aw matajiri haswa wanamichezo kuandika majina yao kwenye namba plate Kama show biz lakini serikali ya Kenya imepiga marufuku. Sasa nashangaa hawa mbuzi wa Iringa wanataka kutumia Kama chanzo cha mapato. Hivi ni wanyalukolo wangapi wanaweka hizo ante na how much is Mgimwa expecting to get into gvt coffers from this joke!
Huyo Kitilya wa TRA choka mbaya. Hivi caucus ya CCM inafanya nini. Last time Makamba alikuwa na Wazo la kurudisha Rent Restriction Act iliyofutwa na fisadi Mkapa lakini Tibaijuka akamponda and they never saw light at the end of the tunnel.
Makamba Jnr had something big. Sasa nadhani Mgimwa angekuwa na akili ya kwenda Makambako angebuni kodi kutoka kwenye Majengo yote based on the use of the buildings na sio ile property tax ambayo kwa sheria ya 1992 iliyopo hata hiyo haikusanywi. Kama pesa za kodi za Nyumba zingetozwa kodi hata kwa miajiji ya Mbeya, Mwanza, Arusha na Dar es salaam hakuna haja ya kuomba pesa 2 trillion from what they call development partners.
Huna haja ya kwenda Shula ikawa tunao watu wanaopaswa kulipa kodi wasiopungua milioni 15 ili hali wanalipa wasozidi milioni 1 na nusu . I would strongly advise CCM kurudisha kodi ya kichwa iliyofutwa na TANU 1966 or 1967 sikumbuki vizuri hata kwa Kiwango cha kukisia cha Usd 30 or let us say 50,000 per annum for everybody above 18 years excluding students , the aged over retirement age 50 years for wakulima and 60 for wafanyakazi and the disabled or medically unfit tungekusanya kodi ya kututoa hapa tulipo.
Tabia ya kusamehewa kodi kwa sababu tu ya kipato ife kuanzia Leo. Kila mtu alive has to pay tax. Nchi zote zilizoendelea zimefanikiwa kwa watu kulipa kodi. Wagiriki walifanya mchezo na kodi they are the highest tax evaders in Europe ona sasa imekula kwao. Mwambie JK wawekezaji create capital fight with our weak financia controls. Kilmo should be left to the wananchi hao wawekezaji wakubwa ni ndoto ya mchana tuna mashamba ya maua kule Arusha na Yule aliyepewa mbarali just take stock audit and let have the faida in public hata akina Mohamed enterprises waliopewa mashamba ya Mkonge whoa is the out come. Fanyeni utafiti kwanza.
CCM hakuna kodi ambayo sio kero kwa mlipaji. What you have to do mis to widen the tax base and lower the rate compliance is a default. Wacheni Tabia ya kuongeza rates inaongeza ukwepaji na matatizo yanaanzia hapo.