Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yule anachungulia na kutoka, kwa umri wake kukosa msimamo sababu ya njaa kali ni ujinga mkubwa sn, sijui hata watoto wake wanajifunza nini toka kwake?Kwa sasa anaumwa, ila covid 19 wakiishaongozwa kukata rufaa, atapona.
OK. They will eventually quit the "mjengo" with heavy liabilities to meet.Inaelezwa kuwa uhalali wa Bajeti kuu ya Serikali unapatikana pale Wabunge wa kambi zote wanapochangia kwa kuijadili na mwisho Kuipigia Kura
Wabunge takribani 25 wa Upinzani wakiwemo 20 wa Chadema, 4 wa ACT wazalendo na 1 wa CUF wamejadili Bajeti ya 2022/23 na Leo wataipigia kura
Baada ya Bajeti kuu ya Serikali kupitishwa ndipo mambo mengine ya mwisho mwisho yataangaliwa ikiwemo hilo la barua ya Chadema kutoka Mahakama kuu
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Hakuna mahali Cov19 wameshindwa,wanatakiwa kulekebisha mashitaka yaoKasoro ndiyo zinakufanya ushindwe, shame on you
Huo ujinga ulikuwa unafanywa kila mwaka na Chadomo kwa kutoka bungeni na miaka yote haijawahi zuia bajeti kupita.Inaelezwa kuwa uhalali wa Bajeti kuu ya Serikali unapatikana pale Wabunge wa kambi zote wanapochangia kwa kuijadili na mwisho Kuipigia Kura
Wabunge takribani 25 wa Upinzani wakiwemo 20 wa Chadema, 4 wa ACT wazalendo na 1 wa CUF wamejadili Bajeti ya 2022/23 na Leo wataipigia kura
Baada ya Bajeti kuu ya Serikali kupitishwa ndipo mambo mengine ya mwisho mwisho yataangaliwa ikiwemo hilo la barua ya Chadema kutoka Mahakama kuu
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
kwa hiyo jamaa alivyokuwa anaiba kura alisahau hata kubakiza wa dawa !!Inaelezwa kuwa uhalali wa Bajeti kuu ya Serikali unapatikana pale Wabunge wa kambi zote wanapochangia kwa kuijadili na mwisho Kuipigia Kura
Wabunge takribani 25 wa Upinzani wakiwemo 20 wa Chadema, 4 wa ACT wazalendo na 1 wa CUF wamejadili Bajeti ya 2022/23 na Leo wataipigia kura
Baada ya Bajeti kuu ya Serikali kupitishwa ndipo mambo mengine ya mwisho mwisho yataangaliwa ikiwemo hilo la barua ya Chadema kutoka Mahakama kuu
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Bashite mkubwaHakuna mahali Cov19 wameshindwa,wanatakiwa kulekebisha mashitaka yao
aliyechafua hali ya hewa katoka nduki katuachia kizazaa hiki.Uchafu huu uliomo bungeni uliyosababishwa na uchafuzi wa 2020 ukiasisiwa na kusimamiwa na jiwe unalidhalilisha taifa.
Waambie hao wataahira wa jiwe!Uchafu huu uliomo bungeni uliyosababishwa na uchafuzi wa 2020 ukiasisiwa na kusimamiwa na jiwe unalidhalilisha taifa.
Marehemu hasemagwi kwa mabaya sheikh..!!Magifuri alituharibia Sana nchi yetu
hakuna bajeti ishawahi kukwama Bungeni tangu uhuru, wanachofanya huwa ni formalities tu.Hivi washapiga kura ipitishwe.?
Ok. Nikajua hili sakata la kina mdee na wenzie lita vuruga mipangohakuna bajeti ishawahi kukwama Bungeni tangu uhuru, wanachofanya huwa ni formalities tu.