Bajeti Wizara ya Ulinzi trilioni 3.3, Wizara ya Ujenzi trilioni 1.7, ni maboresho ya Jeshi letu au kuna kitu serikali imekiona?

Bajeti Wizara ya Ulinzi trilioni 3.3, Wizara ya Ujenzi trilioni 1.7, ni maboresho ya Jeshi letu au kuna kitu serikali imekiona?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nimeona bajeti ya hizi Wizara mbili, Wizara ya Ulinzi ina bajeti kubwa kuliko hata Wizara ya Ujenzi. Nadhani ni jambo jema kwa kuwa majemedari wanatakiwa kushinda bila kuinua silaha, na gharama za kurudisha amani ni kubwa kuliko gharama za kuitunza. Pia nchi yetu imezungukwa na nchi zenye mambo ya kishenzi kama Rwanda na Uganda.

Najiuliza tu, bajeti hizi zinatoa tafsiri gani? Wizara ya ulinzi wasungeweza kuachia trilioni moja tukasogeza SGR au tukajenga kilometa 1000 za barabara ya lami, kila kilometa kwa bilioni?

Naambiwa nbarabara ya kasi ya Dar Moro pia inahitaji ka trilioni tu inakamilika,lakini inapelekwa PPP. Si hii trilioni moja wangeiachia ikasogeza, na ndaninya miaka miwili barabara kwisha?

Au wangeachia bilioni 500 vijana wakaajiriwa.

Just trying to think aloud
Screenshot_20240530-195759.jpg
Screenshot_20240530-195832.jpg
 
Magari ya kukojoa pilipili na yale ya kumwaga upupu barrier breakers vifurushi vya mabomu ya machozi aaghhh samahani wapi Mwashambwa aje atoe ufafanuzi uchwara kwamba ununuzi wa magari ya washawasha ni matayarisho ya vita ya 3 ya dunia au ni tukio la 2025
 
Ccm wanawapoza makamanda ili wasijekuchukua uamuzi wa kuwapindua wahuni wanaoitafuna Nchi.
Kwa Tanzania ngumu sana, bunduki ziko Tabora, mwenye funguo za ghala la bunduki mmoja yuko Dodoma, mwingine yuko Arusha, mwingine Lindi, si unajua lazima vitasa viwe zaidi ya vitatu na kila kimoja na funguo yake. Na risasi na mizinga hivyo hivyo.

Sasa mpaka wakutane wote hao, tayari MP wameshalegeza mtu magoti na roho.

Zinakuwepo chache za dharura
 
Magari ya kukojoa pilipili na yale ya kumwaga upupu barrier breakers vifurushi vya mabomu ya machozi aaghhh samahani wapi Mwashambwa aje atoe ufafanuzi uchwara kwamba ununuzi wa magari ya washawasha ni matayarisho ya vita ya 3 ya dunia au ni tukio la 2025
Hiyo ya jeshi la Polisi, ulinzi ni JWTZ, ni bajeti mbili tofauti
 
Magari ya kukojoa pilipili na yale ya kumwaga upupu barrier breakers vifurushi vya mabomu ya machozi aaghhh samahani wapi Mwashambwa aje atoe ufafanuzi uchwara kwamba ununuzi wa magari ya washawasha ni matayarisho ya vita ya 3 ya dunia au ni tukio la 2025
Hayo unayoongelea nadhani ni wizara ya mambo ya ndani na habari iliyoandikwa hapa ni ya wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa.
 
hao wanajeshi wa kuuwa na kutesa raia wanaopaswa kuwalinda? hata maana ya jeshi hawajui na wala nidhamu hawana watamtisha nani ukiondoa wananchi? Ruto nato ally? au US trained rwanda ? negro pliiz …
 
ficha ujinga wako bro magari ya washawasha na wizara ya ulinzi wapi na wapi? au hujui polisi wapo wizara gani?
Magari ya kukojoa pilipili na yale ya kumwaga upupu barrier breakers vifurushi vya mabomu ya machozi aaghhh samahani wapi Mwashambwa aje atoe ufafanuzi uchwara kwamba ununuzi wa magari ya washawasha ni matayarisho ya vita ya 3 ya dunia au ni tukio la 2025
 
Back
Top Bottom