Ukiwa chadema sio lazima uwe unalalamikahao wanajeshi wa kuuwa na kutesa raia wanaopaswa kuwalinda? hata maana ya jeshi hawajui na wala nidhamu hawana watamtisha nani ukiondoa wananchi? Ruto nato ally? au US trained rwanda ? negro pliiz …
Ukiwa chadema sio lazima uwe unalalamika
Hivi wewe ndio shule ya msingi uliishiaga darasa na pili na nusu? Maana kama naanza kukukumbukaachana na mambo ya chadema, ulishawahi kuona au kusikia wapi dunia hii jeshi linapiga na kutesa raia wake ambao linapaswa kuwalinda? ni vita gani watashinda kama hata hawajui maana ya jeshi na wako kwa ajili gani?
Hivi wewe ndio shule ya msingi uliishiaga darasa na pili na nusu? Maana kama naanza kukukumbuka
Hivi wewe ndio shule ya msingi uliishiaga darasa na pili na nusu? Maana kama naanza kukukumbuka
Kwa hiyo huu mwaka wa uchaguzi Yale manunuzi wameamuaMagari ya kukojoa pilipili na yale ya kumwaga upupu barrier breakers vifurushi vya mabomu ya machozi aaghhh samahani wapi Mwashambwa aje atoe ufafanuzi uchwara kwamba ununuzi wa magari ya washawasha ni matayarisho ya vita ya 3 ya dunia au ni tukio la 2025
Umeelewa mada ya mdau .?Hakuna mwaka wowote ambao bajeti ya Tanzania ilitekelezwa hata kwa 50%
Kikipewa uzito kitu kwa wakati mmoja muda unaofuata kitachukua nafasi kingineNani kasema ni kumi?
We sijui unaishi dunia ipi, juzi alikufa rais wq Iran, nchi inayoaminika kijeshi. Hujui yanayoendelea Ukrain, Israel, Sudan. Nchi za magharibi Mali, Chad, Niger, Nigeria kila mara ni Boko Haram, Kenya kuna Al-Shaabab, Msumbiji kuna magaidi pale Gabo Delgado, Congo DRC wanakufa kila siku hiyo amani iko wapi. Tulia ufanye mambo yako mambo ya ulinzi waachie wenyewe.I thought kwa wakati huu matishio ya kiusalama si mengi, hasa yaliyo dhahiri, tungewekeza katika masuala ya kiuchumi
Ulinzi wa nchi ni jukumu la wote, siwaachiiWe sijui unaishi dunia ipi, juzi alikufa rais wq Iran, nchi inayoaminika kijeshi. Hujui yanayoendelea Ukrain, Israel, Sudan. Nchi za magharibi Mali, Chad, Niger, Nigeria kila mara ni Boko Haram, Kenya kuna Al-Shaabab, Msumbiji kuna magaidi pale Gabo Delgado, Congo DRC wanakufa kila siku hiyo amani iko wapi. Tulia ufanye mambo yako mambo ya ulinzi waachie wenyewe.