Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
Just to annouce the Stimulus Package
Hii Stimulus Package ya JK Itabidi tuianzishie thread yake, tuone in and out yake....to me imekaa ki EPA EPA tu...tena with 2010 mlangoni.....?????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just to annouce the Stimulus Package
Jamani wabunge, nyie ndio mliobaki kuliokoa taifa kwenye huu wizi wa mchana.
Stimulus package hela za serikali haziendi bure kwani hata hizo hela IMF walizoleta ni mkopo.
Serikali ikilipa madeni ya vyama vya ushirika na hayo makampuni makubwa ya kununua pamba, kahawa ya kina ELna RA lazima serikali ipate stake ya ownership kama ambavyo US govt imepata kwenye GM, AIG na kila sehemu hela za serikali zilipoenda.
Hayo makampuni yakipata faida uko mbeleni yanalipa hela back na stake inarudishwa.
Otherwise huu utakuwa usanii wa kusaidia wafanyabiashara wachache ambao wakipata faida wanakula, wakipata hasara serikali inawapa hela za bure.
Halafu lazima transparency ya hali ya juu iwepo, ili serikali itangaze imetoa hela kiasi gani kwa kila kampuni kwa majina ili wabunge na wananchi tuweze kuhakikisha hayo makampuni yapo na uko mbeleni yanalipa hizo hela sio usanii kama wa EPA hatujui nani karudisha hela wala nini.
Sasa wale wakulima kule Vijijini waliolima kahawa, mahindi, maharage wao watafidiwa vipi na hasara walizopata???
Tatizo dogo ninaloliona kwenye hotuba hii ni;
1. Serikali tayari ina deficit katika bajeti yake kutokana na mapato iliyotegemea. Kwa mujibu wa Rais, kuna deficit ya zaidi ya 4bil. Je, watawezaje kukamilisha mipango iliyowekwa wakati tayari wana deficit hiyo?
ni kweli kabisa.. unajua the biggest problem of Tanzanian Viongozi hasa Maraisi (cjui sehemu nyngine Afrika lakini nadhani wote sawa) wana mipango na plans za kusustain mda wao wa uongozi.. kwahiyo hawana Longterm plans za kuendeleza nchi kabisa... wao ni ilani ya chama watahihutubia..Nchi iko kwenye shida hata kabla ya huu mtikisiko wa uchumi wa Tanzania.
Mara ya kwanza JK mwenyewe alitamka kwamba mtikisiko huo hautatugusa sisi.
Leo anakuja na story hiyo kesho atakuja na story ya kupanda bei ya mafuta. Kesho kutwa atakuja na story ya kukosekana chakula duniani. Baadaye atakuja na story ya mafua ya nguruwe na ndege. Always he will be coming with strange stories that has no end.
Mbona hii ya shida katika uchumi ni kawaida kwa Tanzania! Kama na stimulas package then tuliihitaji miaka mingi iliyopita maana uchumi wetu umeyumba miaka mingi. Lakini at that time we were told that tuko katika soko huria. Sijui katika soko huria serikali haihusiki, hivi uchumi huwa unajijenga? Yale yale ya maisha bora kwa kila mdanganyika na wadanganyika wakapiga makofi ya matumaini. Nina haki zote za kupuuza upuuzi huu. Maana hauna msaada wowote katika maisha yangu binafsi.
Haya bwana ili mradi kunakucha na napata ugali wa muogo kila leo. Nawaachia wadanganyika tena wengine wasomi muendelee kudanganyika.
Kama hizi pesa tayari ziko kwenye bajeti, na mipango aliyoianisha tayari imo kwenye bajetu (thus the money), kulikuwa na ulazima gani wa kutoa hotuba hii? maana Kesho Waziri wa Fedha naye atarudia yale yale, ama sivyo? Na baadaye mawaziri watafafanua kwa undani kitu kile kile. Why the speech?
wakulima kila siku wanazulumiwa na wafanyabiashara serikali haiingili kati leo hii serikali inaenda kulipa madeni ambayo chanzo chake ni utata(i) Kufidia hasara waliyopata wanunuzi wa mazao msimu wa 2008/09
Serikali imeamua kufidia vyama vya ushirika na makampuni yaliyonunua mazao ya wakulima na kuyauza kwa hasara. Hasara hiyo inayokisiwa kufikia shilingi 21.9 bilioni imepatikana kutokana na bei ya kuuzia mazao hayo kuwa chini sana ya gharama iliyotumika kuyanunua. Serikali italipa madeni yenye thamani ya hasara hiyo, moja kwa moja kwa mabenki yaliyokopesha vyama na makampuni hayo.
kwani TIB hawawezi ku invest kwenye agriculture , kuna umuhimu gani wa kuanzisha benki nyingine tofautiTumekubaliana pia katika mkakati huu, kuwa lazima kuhakikisha kuwa utulivu wa uchumi unakuwepo ili kuhimiza ukuaji endelevu wa uchumi na kuvutia sekta binafsi kushiriki. Vilevile tuongeze kasi ya kuharakisha uimarishaji wa TIB na uanzishwaji wa Agricultural Development Bank.
Hii Stimulus Package ya JK Itabidi tuianzishie thread yake, tuone in and out yake....to me imekaa ki EPA EPA tu...tena with 2010 mlangoni.....?????
Kama hizi pesa tayari ziko kwenye bajeti, na mipango aliyoianisha tayari imo kwenye bajetu (thus the money), kulikuwa na ulazima gani wa kutoa hotuba hii? maana Kesho Waziri wa Fedha naye atarudia yale yale, ama sivyo? Na baadaye mawaziri watafafanua kwa undani kitu kile kile. Why the speech?
Mwakjj,Kuna tofauti gani kati ya mpango huu wa Kikwete na serikali yake na mpango wa Obama na serikali yake?
Kama hizi pesa tayari ziko kwenye bajeti, na mipango aliyoianisha tayari imo kwenye bajetu (thus the money), kulikuwa na ulazima gani wa kutoa hotuba hii? maana Kesho Waziri wa Fedha naye atarudia yale yale, ama sivyo? Na baadaye mawaziri watafafanua kwa undani kitu kile kile. Why the speech?
Kutokana na sababu hii, Serikali ya Tanzania imeunda Kikosi kazi cha kuangalia njia na namna ya kukabiliana na athari zinazotokana na msukosuko wa masoko ya fedha pamoja na kuporomoka kwa uchumi duniani kwa uchumi wa Tanzania.
Ili kutekeleza kazi yake serikali imekipa kikosi kazi majukumu yafuatayo: (i) Kufanya uchambuzi kuhusu hali halisi ya madhara yatakayotokana na msukosuko wa masoko ya fedha pamoja na kuporomoka kwa uchumi wa dunia kwa uchumi wa Tanzania
(ii) Kushauri,kwa kuzingatia uchambuzi wa hali ya uchumi, hatua ambazo Serikali inaweza kuchukua ili kupunguza athari za msukosuko wa masoko ya fedha ya kimataifa na
(iii) Kuchunguza fursa zinazotokana na msukosuko wa masoko ya fedha ya kimataifa na jinsi ambavyo Tanzania inaweza kufaidika na fursa hizo ili uchumi ubaki imara na kukua zaidi.
Ripoti hii inajumuisha uchambuzi wa athari za msukosuko kwenye sekta mbalimbali, mapendekezo ya hatua ambazo Serikali inaweza kuchukua ili kupunguza athari hizo na inabainisha fursa mbalimbali zinazotokana na msukosuko huo.
Siombei hii lakini kunyesha misukosuko kana ya JF VIlle...nimebandika hii kutoka kwenye thread ile...View attachment Wee Simama_Fisadi_ WE!.bmp Tuendelee hapa chini...ATHARI ZA MSUKOSUKO
Mapendekezo Yanayohitaji Kutengewa Fedha
NAMNA YA KUGHARIMIA MPANGO HUU
Jedwali Na. 10 linaonyesha gharama za kutekeleza mpango huu na vyanzo vya kulipia gharama hizi.
4.1. Serikali kukopa ndani ili kutekeleza bajeti yake
Kuna tofauti gani kati ya mpango huu wa Kikwete na serikali yake na mpango wa Obama na serikali yake?