Bajeti ya 2009/2010 Tanzania

Bajeti ya 2009/2010 Tanzania

uzuri wa jk ANAJUA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI!ndo maana hakutaka kabisa kulihutubia bunge!
UDHAIFU MKUBWA SANA
 
kamaliza na hakuna lolote...

........yupo wapi joti aje amzomee....


hembu tumpe fair hearing..haya sasa tupate hotuba kamili tuanze kupitia nondo ..tuangalie kama kuna sehemu anahitaji pongezi tumpe.....au kama hotuba yote bomu tujuwe!!!
 

Quote:


Hao wanapiga makofi hivi ni mbumbumbu?



wameshanunuliwa hao mkuu!
wakitoka hapo TEN TEN,then watatulia chako ni chako kwa ajili ya mbuzi na mivinyo!

halafu wale waheshimiwa WANAODISSOLVE in cold water watakamata kilvi chao
 
huyu pasco mm huwa simuelewi anasimamia wapi ni kama yupo yupo, ila kwa hisia zangu ni mserikali fulani labda UWT anakuja na hoja kuchokonoa mambo halafu aone watu wanachangia vipi. Chini kabisa ya moyo wake na ukisoma vizuri mitundiko yake utabaini kuwa ni mlinda maslahi ya mafisadi yaani huwatetea ndo maana yeye Mengi Reginald ni vitu viwili tofauti- kama anavyosema Sauti ya Umeme you are either with us or them. Nawapenda watu ambao misimamo yao iko wazi na wanaisimamia kwa nguvu zote-mara mimi sio mchumi tuwaachie wachumi, mara tena hotuba ni nzuri....
 
Msaniii huyuu.....JK hana jipya...anazunguka anatafuta cheap public mercy ya wazalendo....kuwapa mikopo wazalendo wa chini.....ndio gear yake hiyoo


Nasubiri maandamano ya wazee kupongeza hotuba NZURI ya mtukufu Raisi JK....!
 
.......huyu pasco mm huwa simuelewi anasimamia wapi ni kama yupo yupo, ila kwa hisia zangu ni mserikali fulani labda UWT anakuja na hoja kuchokonoa mambo halafu aone watu wanachangia vipi. Chini kabisa ya moyo wake na ukisoma vizuri mitundiko yake utabaini kuwa ni mlinda maslahi ya mafisadi yaani huwatetea ndo maana yeye Mengi Reginald ni vitu viwili tofauti- kama anavyosema Sauti ya Umeme you are either with us or them. Nawapenda watu ambao misimamo yao iko wazi na wanaisimamia kwa nguvu zote-mara mimi sio mchumi tuwaachie wachumi, mara tena hotuba ni nzuri.........


WEWE INTEREST YAKO NI NINI MKUU?

A)HOTUBA YA RAIS-endelea na hii thread
B)MISIMAMO YA WATU-anzisha thread mpya,nakuhakikishia utakusanya watu wengi sana hapa.


MWACHE PASCO ABAKI KUWA PASCO BWANA!
 
huyu pasco mm huwa simuelewi anasimamia wapi ni kama yupo yupo, ila kwa hisia zangu ni mserikali fulani labda UWT anakuja na hoja kuchokonoa mambo halafu aone watu wanachangia vipi. Chini kabisa ya moyo wake na ukisoma vizuri mitundiko yake utabaini kuwa ni mlinda maslahi ya mafisadi yaani huwatetea ndo maana yeye Mengi Reginald ni vitu viwili tofauti- kama anavyosema Sauti ya Umeme you are either with us or them. Nawapenda watu ambao misimamo yao iko wazi na wanaisimamia kwa nguvu zote-mara mimi sio mchumi tuwaachie wachumi, mara tena hotuba ni nzuri....
Kwanza naomba tusijadili watu, that is simple mind, JF ni home of great mind, discuss ideas, jadili hoja usinijadili mimi, kwa kukusaidia, mimi sio mserekali kwa sababu sifanyi kazi serikalini, sijaajiriwa na mtu wala situmwi, najituma na sanasana natuma.

Sio mfuasi wa chama chochote cha siasa, sina chuki na
CCM ila sipendi ukiritimba wake, namheshimu rais wetu JK ili sipendi weakness zake. Ni mpenda demokrasia wa kweli ninayehuzuniswa na kukatishwa taamaa na maroroso ya wapinzani.
Ningefurahi sana kupata ajira UWT angalau ningekuwa na maisha fulani.
Kwa kabila ni Msukuma kiuchumi ni masikini wa mali na tajiri wa roho, yaani masikini jeuri.
Tuendelee na hoja iliyo mbele yetu, haya ya watu huu sasa ni kutaka kuleta umbeya.
 
Jamani wabunge, nyie ndio mliobaki kuliokoa taifa kwenye huu wizi wa mchana.

Stimulus package hela za serikali haziendi bure kwani hata hizo hela IMF walizoleta ni mkopo.

Serikali ikilipa madeni ya vyama vya ushirika na hayo makampuni makubwa ya kununua pamba, kahawa ya kina ELna RA lazima serikali ipate stake ya ownership kama ambavyo US govt imepata kwenye GM, AIG na kila sehemu hela za serikali zilipoenda.

Hayo makampuni yakipata faida uko mbeleni yanalipa hela back na stake inarudishwa.

Otherwise huu utakuwa usanii wa kusaidia wafanyabiashara wachache ambao wakipata faida wanakula, wakipata hasara serikali inawapa hela za bure.

Halafu lazima transparency ya hali ya juu iwepo, ili serikali itangaze imetoa hela kiasi gani kwa kila kampuni kwa majina ili wabunge na wananchi tuweze kuhakikisha hayo makampuni yapo na uko mbeleni yanalipa hizo hela sio usanii kama wa EPA hatujui nani karudisha hela wala nini.

Sasa wale wakulima kule Vijijini waliolima kahawa, mahindi, maharage wao watafidiwa vipi na hasara walizopata???
 
Nimeisikiliza hotuba yake yote; assumptions zake na washauri wake ni kwamba sisi ni kama developed countries nyingine kwa hiyo tunahitaji kustimulate economy yetu kwa job creation{Keynesian economics]; you can only do that if you have devoped institutions in place i.e developed industrial and agrucultural sectors. Sisi mahala pa kuanzia kwenye world financial meltdown ni kujenga sustainable institutions hizo kwa kuharness resources zetu. You canannot stimulate something that does not exist!! Mimi naona mipango yote alioainisha kama rescue packages kwa mfano hizo EXPORT GUARANTEE FUNDS ambazo zimetengewa wafanyabiashara zitakuwa avenues za kuiba kama ilivyokuwa "EPA"; kwa sababu mipango ya kunusuru uchumi wetu alioizungumzia ni mingi kiasi kwamba utekelezaji wake will be a nightmare given that hana wanamtandao wa kutosha ambao ni waadilifu kutekeleza mipango hiyo. TIB kwa mfano ambayo ni benki ya Investments itakuwa na jukumu kubwa sana katika mkakati huu wa Rais lakini angalia nani amemteua kuongoza benki hiyo; Peter Noni ndio mteule wa Kikwete , mtu rafiki wa karibu wa RA na facilitator wa wizi wa fedha BOT!! Hakuna uhakika wa usalama wa fedha zetu hapo unless wamefanya makusudi ili wachote fedha kwa urahisi mwaka kesho wakati wa uchaguzi.
 
iam gettig sick with this kind of people in this country...bravo??? my day is already spolied
 
Ndiyo Mzee!

Tumesikia, sasa mwende mkafanye kazi mlijenge Taifa.
 
Kwa wale wanaosema hakuna kipya kwenye hiyo hotuba ya jk....je Kipya kwenu ingekuwa kama kitu gani,je mnaweza fafanua mlitaka nini haswa.maana usiseme hakuna kipya bila kutanguliza hoja yako wewe.
 
Bunge needs to demand progress and accountability every 3 months to make sure the money does not fall on chama cha mafiosso hands.

It's ridiculous to spend loan money like njugu.

It's just pathetic how these "so called leaders" get away with this nonsense!
 
asante sana mkuu kwa kuweka hotuba hii.
bado safari ni ndefu sana,
kuna maeneo mengi hayajaguswa.
ukiichunguza juu juu tafikiri ni hotuba nzuri sana na yenye mwelekeo,
angalia mwanzo wa hotuba alivyoanza.(anacheza na saikology za watu)
 
Back
Top Bottom