Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamaliza na hakuna lolote...
uzuri wa jk ANAJUA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI!ndo maana hakutaka kabisa kulihutubia bunge!
UDHAIFU MKUBWA SANA
Wapiga kura hao shekhe....!
Msaniii huyuu.....JK hana jipya...anazunguka anatafuta cheap public mercy ya wazalendo....kuwapa mikopo wazalendo wa chini.....ndio gear yake hiyoo
.......huyu pasco mm huwa simuelewi anasimamia wapi ni kama yupo yupo, ila kwa hisia zangu ni mserikali fulani labda UWT anakuja na hoja kuchokonoa mambo halafu aone watu wanachangia vipi. Chini kabisa ya moyo wake na ukisoma vizuri mitundiko yake utabaini kuwa ni mlinda maslahi ya mafisadi yaani huwatetea ndo maana yeye Mengi Reginald ni vitu viwili tofauti- kama anavyosema Sauti ya Umeme you are either with us or them. Nawapenda watu ambao misimamo yao iko wazi na wanaisimamia kwa nguvu zote-mara mimi sio mchumi tuwaachie wachumi, mara tena hotuba ni nzuri.........
Kwanza naomba tusijadili watu, that is simple mind, JF ni home of great mind, discuss ideas, jadili hoja usinijadili mimi, kwa kukusaidia, mimi sio mserekali kwa sababu sifanyi kazi serikalini, sijaajiriwa na mtu wala situmwi, najituma na sanasana natuma.huyu pasco mm huwa simuelewi anasimamia wapi ni kama yupo yupo, ila kwa hisia zangu ni mserikali fulani labda UWT anakuja na hoja kuchokonoa mambo halafu aone watu wanachangia vipi. Chini kabisa ya moyo wake na ukisoma vizuri mitundiko yake utabaini kuwa ni mlinda maslahi ya mafisadi yaani huwatetea ndo maana yeye Mengi Reginald ni vitu viwili tofauti- kama anavyosema Sauti ya Umeme you are either with us or them. Nawapenda watu ambao misimamo yao iko wazi na wanaisimamia kwa nguvu zote-mara mimi sio mchumi tuwaachie wachumi, mara tena hotuba ni nzuri....
bravo jk