Bajeti ya 2009/2010 Tanzania

Anachosema ni tofauti na maelezo ktk hotuba iliyotumwa; je ni fake; MM pls record hii maana naona kunauongo na kupindisha hata kilichosemwa hapa; tunahitaji the moving budget
 
Hawa wazee aliowaita Kilimani naona wengi wanasinzia tuu,hawamwelewi kabisa. watu nao makini sura zao zinaonyesha hawa pay attention na anayozungumza. Huu ni upotevu wa muda na fedha bure.
 
Kulaleki, ni nini hii!!!!! ???Kweli siasa ni mchezo wa kuhadaaa!!! Anaandaa mindset za wabunge kuhusu bajeti ili mkwala usizuke!!!! Halafu matumizi kufidia vyama vya ushirika eti vilivyopata hasara??? Kupitia njia hizo tutazipiga juu juu kugharimia tukio lijalo 2010!!!!! kweli kula uliwe.
 
Hawa wazee aliowaita Kilimani naona wengi wanasinzia tuu,hawamwelewi kabisa. watu nao makini sura zao zinaonyesha hawa pay attention na anayozungumza. Huu ni upotevu wa muda na fedha bure.

..lazima wasinzie..wanasubiri saa ngapi atamaliza kuongea wapewe elfu 10 zao..kila mmoja...
 
Huu usanii ni kiboko!! Maumivu ya kichwa huanza pole pole!!!!
 
Hawa wazee aliowaita Kilimani naona wengi wanasinzia tuu,hawamwelewi kabisa. watu nao makini sura zao zinaonyesha hawa pay attention na anayozungumza. Huu ni upotevu wa muda na fedha bure.

Psychologically lazima wasinzie hicho wanachoongea hawakielewi kabisa jamani. Sasa kwanini hawakusimplify ili hata yule wa chini kabisa aelewe? Or otherwise si angefanya press conference? Shame on us!
 
Anajaribu kutetea uwekezaji katika kampuni ya Reli, watu wanacheka sana na anaonyesha kuelewa kuwa hapo kashtukiwa
 

Wewe sio Mchumi halafu unaconclude ya kuwa his speech makes a lot of sense. This is totally contrary to what you have asserted before that it is only wachumi who have the merits to dissect JK's speech. My take is please stop drinking JK's cool aid. It seems you are so interested with Kikwete style rather than content, and if that is truly the case then shame on you.
 

Rufiji thanks nilitaja kumjibu huyu jamaa nikakosa muda. Ni kweli kwamba tuna uhuru wa kuchangia vyovyote lakini sometimes it really irritates kwa kweli. If at all you are a beneficiary in one way or the other you better remain quite. Hizi pumba nazo za kuzifagilia jamani wakati watu wafa kwa njaaa? Let's be truly tanzanians for the sake of our fellow tanzanians.
 
bado anatoa ahadi kama wakati wa kampeni
 
Baadhi ya wazee wameanza kusinzia, tuliokaa nyuma, hivi vibinti bomba vilivyovalia suruali nyeusi za kubana na shati za kijani, vimeanza kujipitisha pitisha mara viamke, mara viende kule mara virudi huku mlimradi, tunakula kwa macho.
Kuna big screen mbili, moja ndani, moja nje, afadhali nyie mnaongalia kupitia TV mtaona varieties of shots, hapa ni single shot unaangalia wee mpaka unaanza kuangalia na watu mwisho mawazo yanahama unaufikiria usiku utakuwaje.
Tuendelee kumsikiliza, visa za bongo bei poa, dola 50.
Total stumulus package ni 1.7 Trilion Shillings zimetengwa kwenye budget.
Hapa amewamaliza kabisa wabunge waluiotaka kuitishia kuisitisha bajeti.
 
Msaniii huyuu.....JK hana jipya...anazunguka anatafuta cheap public mercy ya wazalendo....kuwapa mikopo wazalendo wa chini.....ndio gear yake hiyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…