Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tbc 1 wako live wengine sina uhakikahamna link ya kuisikilizaa live????
Tupeni wadau tumsikiee
Kodi za magari hazijagunswa, sigara, bia, mvinyo, soda, airtime vouchers zitapandishwa kidogoKodi za magari vipi huko??? Vileo?? Vinywaji baridi?? Tutegee masikio!! Kila kukicha kumkamua mwananchi tu kupitia kodi zao hizo!!! Great thinkers should come up with Plan B budget financing, sorry not GBS (General Budget Support ya Donors), it is not sustainable.
Na mwaka huu wameipunguza hadi asilimia 18 kuoka 20. Visa fee nayo itakuwa dola 50 badala ya 100Kodi ya ongezeko la thamani ndio wamefanikiwa tu!
Pitia hiyo link RADIO MARIA
Mpaka sasa bado anapitia bajeti iliyopita ya 2008/09, kwa ujumla anasema imeathiriwa na mtikisiko wa uchumi.
Mapato ya ndani lengo lilikuwa trilioni 3.5 lakini wamefanikiwa trilioni 3.2