Bajeti ya 2009/2010 Tanzania

Bajeti ya 2009/2010 Tanzania

Fursa kutokana na mtikisiko wa uchumi ni:

Kushughulikia matatizo bandarini ikiwemo ticts ilikuhudumia landlocked countries

serikali itatoa kipaumbele kwa big 4 za kilimo

bln 20 zitapelekwa tib kwa ajili ya kuboresha kilimo
 
30% ya mapato ya kodi inapotea ambayo ni karibu trln 2 mapato ya ndani na 3.5 ya pato la taifa inapotea kutokana na misamaha ya kodi
 
clearly kama kungekua na upinzani wa kueleweka Tanznania sidhani huyu jamaa angepita uchaguzi ujao. hivi hata wanaelewa maana ya credit crunch yenyewe au ndio watu kwenye JF washasema wakulima labda ndio watakua wameathirika basi imekuwa wakulima ndio walio athirika na ununuzi wa mazao yao.

kwanza name one agricultral conglamarate or a supermarket that has suffered kutokana na credit crunch matter of fact these sector has had to compete with cheaper ones to stay in profit kama wakulima wanauza for cheap its because they dont negotiate properly or that is how mzungu plays is game with us. first lets educate ourselves with this economic crisis it happened because of greedy money lending system that large financial instutes practised without assesing the risks of borrowing and lending to each other,. it then spread into producers of goods, the housing sector, and so on. kwa kifupi watu walikua wana hela za benki six times their salary at one time. it was Ok at first but like any other lending it comes a point when a lender asks for its money back,. this is when most companies found they could not recoup the money fast to pay each other as money was in the new cars that people owned, houses that they could not afford mortages, or life styles that were supported by credit cards. Since these financial institutions tend to borrow each others globally that was what caused the crisis most lenders found could not get back their money. as result companies especially middle and small businesses found it hard to raise capital as they also depended on the banks to survive on short terms, but since the banks became reluctant to lend things began to spiral out of control, consumers became scared of spending for fear of losing their jobs , manufacturing companies lost their exports as few orders were asked, companies had to sack some of the staffas few orders where coming., but most of these depended on the network that the west had traded on and a few asian countries that depended on the west for their goods places like china and Japan especially Japan. Now tell me why we keep insisting that this credit crunch has affected us severly tooo. we dont have a system of lending from outside our banks which depend on government by 70%, our economy system comes from within then how do outside events affect us severly. i can understnad when u say the tourist sector is affected somehow even that, also confuses a bit because most mzungus that comes to Africa are of middle class families and above these people are supposed to have money anyway.

Mungu Ibariki Tanznania
 
Yani ukitaka kujua tofauti ya nchi tajiri na masikini angalia tu bajeti zao. Marekani wana tumia $8billion kwa mwezi kwenye kitu cha kijinga kama vita na Iraq wakati sisi bajeti yetu ni Tsh3.2 trillioni kwa mwaka. Pamoja na utajiri wao wote husikii wenzetu wakiwa na skendo kubwa za ufisadi seriklini na hata ziki tokea wahusika hushugulikiwa mapema na kulipishwa.Tanzania kweli tuna safari ndefu ya kujipatia maendeleo.
 
Mie nimeshangaa jana Rais anasema ili kusaidia Utalii Tanzania serikali ina drop gharama kubwa ya Visa .Huu ni upuuzi hivi kwa ajili yake anadhani kwamba utalii wa Tanzania ni ghali kwa ajili ya Visa ? Hivi anakumbuka mktaba wetu na Romania kwamba they free entrance bila Visa lakini huoni mtu Romania kuja hata ku volunteer achilia mbali kutalii ? Hivi wachumi na wasaidizi wameshindwa kujua kwamba hotels za mbugani na park fees na Crater fee ni kubwa sana na zinapelekea kila kitu ghali na kuua kasi ya watalii kuja hapa ?
 
Mie nimeshangaa jana Rais anasema ili kusaidia Utalii Tanzania serikali ina drop gharama kubwa ya Visa .Huu ni upuuzi hivi kwa ajili yake anadhani kwamba utalii wa Tanzania ni ghali kwa ajili ya Visa ? Hivi anakumbuka mktaba wetu na Romania kwamba they free entrance bila Visa lakini huoni mtu Romania kuja hata ku volunteer achilia mbali kutalii ? Hivi wachumi na wasaidizi wameshindwa kujua kwamba hotels za mbugani na park fees na Crater fee ni kubwa sana na zinapelekea kila kitu ghali na kuua kasi ya watalii kuja hapa ?

We lack research and data collection. Mi naona serikali mipango yao wana weka kutokana na nadharia badala ya utaalamu because sijui what else explains our governments incompetence.
 
Hapo kwenye msamaha wa mafuta kwa makampuni ya madini amechemsha. Ni wizi mtupu...
 
Economist ( Makyao)what do you have in mind abou this Budget presented by Mkulo?
 
Mie nimeshangaa jana Rais anasema ili kusaidia Utalii Tanzania serikali ina drop gharama kubwa ya Visa .Huu ni upuuzi hivi kwa ajili yake anadhani kwamba utalii wa Tanzania ni ghali kwa ajili ya Visa ? Hivi anakumbuka mktaba wetu na Romania kwamba they free entrance bila Visa lakini huoni mtu Romania kuja hata ku volunteer achilia mbali kutalii ? Hivi wachumi na wasaidizi wameshindwa kujua kwamba hotels za mbugani na park fees na Crater fee ni kubwa sana na zinapelekea kila kitu ghali na kuua kasi ya watalii kuja hapa ?

hahahahahah!
Kaka umesahau Rais alisema Real Madrid anawaleta Bongo
Kaka kama Dada wa nyumbani anawalsha chakula kibaya watoto wako utamfanya nini wewe mwenye familia hiyo
Jibu unalo kaka Watendaji hawana kosa!
Nisawa na kushindwa kumfukuza Dada wa Nyumbani anayekulisha chakula kubovu kila kukicha na ukaendelea kumkumbatia
 
Yani ukitaka kujua tofauti ya nchi tajiri na masikini angalia tu bajeti zao. Marekani wana tumia $8billion kwa mwezi kwenye kitu cha kijinga kama vita na Iraq wakati sisi bajeti yetu ni Tsh3.2 trillioni kwa mwaka. Pamoja na utajiri wao wote husikii wenzetu wakiwa na skendo kubwa za ufisadi seriklini na hata ziki tokea wahusika hushugulikiwa mapema na kulipishwa.Tanzania kweli tuna safari ndefu ya kujipatia maendeleo.

Ndugu,

Vipi ungalinganisha banana na apple du! haya bwana si heri kulinganisha chenza na chungwa?

You can't compare USA. na nchi moja moja Africa even na nchi moja moja Ulaya.

USA can only be compared with EU, Africa, etc
 
Angeanza hivi 'Wajinga ndio waliwao' halafu bla bla bla
 
Wadau naomba tujadili hili suala la stimulus package, kama neno lenyewe linavyo elezea na hatua ambazo Nchi zilizoendelea zinachukua/zimechukua versus hatua ambazo nchi yetu inachukua.
Kwanza stimulus package ni hatua zozote zile zinazochukuliwa na nchi katika juhudi za kuchochea ukuaji wa uchumi, na vitu vinavyo kwenda na ukuaji wa uchumi.
Sasa kwa wenzetu wa nchi zilizo endelea vitu vingi vya msingi vya kuchochea uchumi wanavyo, kama Miundombinu sasa tatizo kwao limetokea katika utekelezaji wa sera zao za uchumi kuanzia kwenye kampuni moja moja mpaka katika ujumla wote wa shughuli za kiuchumi hususana katika utoaji wa mikopo.
Sasa tukirudi kwa tanzania tatizo letu kuu la kiuchumi au la vitu vinavyo weza kuchochea uchumi, ni kukosekana kwa Miundo mbinu, na uongozi bora (ufanisi wetu wa kazi au utekelezaji) upo chini kutokana na Rushwa. Na sis tatizo la mikopo.
Hivyo basi Stimulus Package anayo ongelea Mchumi au mtu wa Kawadi wa Tanzania kwa vyovyote vile inatakiwa kwenye kulenga kwenye vitu vifuatavyo

(1). Ujenzi wa barabara kuu, na si kusema Barabara hiyo ipo kwenye Plan ya 2012 kuelekea 2020 blah blah blah. Hivyo vitu vinatakikana Sasa, sioni sababu za kutosheleza za kutojenga Bara bara ya Arusha Dodoma,Mtera Mpaka Iringa.
Songea Mbinga, Songea-Tunduru na nyingine nyingi.

(2)Kuongeza nyezo za kuelemisha watu iwe kupitia television, Maktaba, Shule Bora, Walimu Bora na hata Serikali ikajikita kuweka watendaji wasomi huko Vijijini ili waweze kuwaelimisha watu njia bora za maisha na kujua shida zao.
Angalia kwa mfano Maktaba kuu toka 1971 mpaka sasa ni hiyo hiyo, na badala kuongezeka ina pungua kwa kupangisha majengo yake, vitaba vimepungua au hakuna, Nenda Mkoa wa Kinondoni hakuna maktaba, nenda Temeka, hakuna na hapa ndio karibu na makao makuu ya serikali au mjini.. sembuse Lindi kwa dada salama

(3) Uwekezaji waUmeme au nishati ya Umeme ambayo ni rahisi, hivyo ningependa kusikia hizo 1.7 billioni sehemu kubwa inakwenda kwenye umeme na barabara

(4) Ujenzi wa miundo mbini ya maji na uhifadhi wa Maji ili watu waweza pata maji safi na waweze kumwagilia na kulisha mifugo yao

(5) Mafunzo ya kilimo na ufugaji bora kwa mifano kwa kutumia Tv , filamu na hata study tour kwa wafugaji na wakulima wetu waone wenzao wanafanyaje.

Hivyo vitu vya msingi vikifanyika ndipo unaweza kumlipia kada wa ccm Mkopo wake au kumpa mtaji arudi tena kwenye biashara
 
kutumia Sh43 bilioni kuboresha Kampuni ya Reli Tanzania kwa kuwa si mali ya Kampuni ya Rites ya India... Haya maneno kasema JK au amesemewa?kama sija kosea, nakumbuka JK ndiye alieharakisha mchakato mzima wa kubinafsisha shirika letu la reli... since then amekuwa akitoa fedha za kuendesha hilo shirika kama vile halijabinafsishwa!!! NGONJERA NYINGI ZITACHEZWA KABLA YA UCHAGUZI MKUU!! lakini wajue kuwa tumejiandaa vyakutosha na makombeo zetu this tym...

Mkuu Ilboru, Shirika la reli liliuzwa na serikali inamiliki 49% tu. Ila serikali ndio inayobeba gharama kubwa zaidi ya uendeshaji wa shirika ilo. Inawezekana kabisa kuna viongozi wenye hisa kwenye uwekezaji huo.

Rais alisema jana kuwa shirika hilo ni la kwetu. Anaweza kuwa sahihi kwa kiasi fulani kama anazungumzia umilikiwa hizo share chache zaidi kuliko mwenzake. Inatakiwa wawekezaji wote wawili (yaani serikali na RITES) kulihudumia shirika kwa usawa. Ingesaidia zaidi kujua mipango ya pamoja waliyonayo kuliko kuambiwa tu kwamba serikali inatoa pesa nyingi kiasi hicho, bila kufahamishwa RITES nae yuko tayari kutoa kiasi gani.

Isije ikawa tunatajirisha baadhi ya viongozi wetu kwa kigezo cha 49% ya umiliki wa RITES.
 
wakati tikisiko la uchumi limetokea Raisi Obama alitangaza mpango wake wa kutenga mabilioni ya dolla kunusuru uchumi wa marekani, japo alikutana na changamoto kutoka kwa wanadiplomasia na wachumi kuhusu huo mpango wake....Kikwete nae katangaza 1.7 trillioni kunusuru uchumi, hivi mpango huu kauandaa kichumi zaidi akiwa na matumaini ya kushinda au kafuata ya obama na sera zake? kama jibu ni ndiyo basi obama akianguka nasi tumeanguka akisimama nasi tumesimama...Mambo ya cold war. wacha tuone.ila kama kaumiza kichwa na kuona mpango wake ni suluhisho la uchumi basi tumuombee kwa kwa mungu afanikiwe.

Uisnifurahishe mie.. kweli kwenye ile hotuba iliyo jaa sanaa kali ya kumuandaa Noni kwenda TIB ili fanikishe EPA phase 2 tayari kwa 2010 umeona kuna kukuna kichwa kweli?

Tusubili tu mazingaombwe yatokanayo kama kawaida yetu wadanganyika.
 
Back
Top Bottom