Bajeti ya jeshi la Ukraine kwa Mwaka ni Dola 2.3 bilioni. Mpaka Sasa imepewa "msaada na Marekani zaidi ya Dola 3 bilioni.

Bajeti ya jeshi la Ukraine kwa Mwaka ni Dola 2.3 bilioni. Mpaka Sasa imepewa "msaada na Marekani zaidi ya Dola 3 bilioni.

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kama ulishawahi kusikia msemo wa "machozi ya mamba", ndicho mabeberu wanakifanya kwa Ukraine! Mamba akikamata mawindo huwa anatoa machozi!! Hayo machozi ya mamba si dalili ya maumivu Bali ni kielelezo Cha kifurahia utamu wa mawindo aliyopata!
Kumekuwa na makelele ya vilio Toka Nchi za magharibi kuhusu "unyama wa Urusi" kwenye vita inayoendelea Ukraine. Lakini kusema ukweli ni kuwa mabeberu wamepata mawindo! Wamepata kisingizio Cha kuipora Urusi zaidi ya Dola bilioni 300! Lakini pia wanailalia Ukraine kwa kuipatia mikopo yenye riba ya mabilioni ya Dola! Watu wanatangaziwa kuwa ni misaada lakini kwenye mkataba inaandikwa ni mkopo wenye riba (hakuna mlo wa bure kwa mabeberu). Benki ya Dunia inaipatia Ukraine mkopo ya Dola bilioni 5!! Hapo sijataja wakopeshaji wengine Kama UK, IMF, UFARANSA, JAPAN nk.
Kwa hiyo mabeberu wanacheka kweli!! Ndio maana hawataki kabisa yafikiwe makubaliano ya amani kati ya Urusi na Ukraine!! Je nani ataiamsha Ukraine ishtuke?
 
Kama ulishawahi kusikia msemo wa "machozi ya mamba", ndicho mabeberu wanakifanya kwa Ukraine! Mamba akikamata mawindo huwa anatoa machozi!! Hayo machozi ya mamba si dalili ya maumivu Bali ni kielelezo Cha kifurahia utamu wa mawindo aliyopata!
Kumekuwa na makelele ya vilio Toka Nchi za magharibi kuhusu "unyama wa Urusi" kwenye vita inayoendelea Ukraine. Lakini kusema ukweli ni kuwa mabeberu wamepata mawindo! Wamepata kisingizio Cha kuipora Urusi zaidi ya Dola bilioni 300! Lakini pia wanailalia Ukraine kwa kuipatia mikopo yenye riba ya mabilioni ya Dola! Watu wanatangaziwa kuwa ni misaada lakini kwenye mkataba inaandikwa ni mkopo wenye riba (hakuna mlo wa bure kwa mabeberu). Benki ya Dunia inaipatia Ukraine mkopo ya Dola bilioni 5!! Hapo sijataja wakopeshaji wengine Kama UK, IMF, UFARANSA, JAPAN nk.
Kwa hiyo mabeberu wanacheka kweli!! Ndio maana hawataki kabisa yafikiwe makubaliano ya amani kati ya Urusi na Ukraine!! Je nani ataiamsha Ukraine ishtuke?
Samahani Sana, Uzi huu ulikusudiwa kwenye jukwaa la kimataifa. Naomba Mods wauhamishie huko. Umepostiwa hapa kwa makosa!
 
kiufupi mababeru wanajitutumua tu ili kumfanya Putin afikirie mara mbili mbili kuvamia majirani
 
Kwahiyo na sisi huku ile sio misaada bali ni mikopo, tuzungumzie yetu kwanza, tutawalipa nini hawa mabeberu au ndio ile ruby
 
Kama ulishawahi kusikia msemo wa "machozi ya mamba", ndicho mabeberu wanakifanya kwa Ukraine! Mamba akikamata mawindo huwa anatoa machozi!! Hayo machozi ya mamba si dalili ya maumivu Bali ni kielelezo Cha kifurahia utamu wa mawindo aliyopata!
Kumekuwa na makelele ya vilio Toka Nchi za magharibi kuhusu "unyama wa Urusi" kwenye vita inayoendelea Ukraine. Lakini kusema ukweli ni kuwa mabeberu wamepata mawindo! Wamepata kisingizio Cha kuipora Urusi zaidi ya Dola bilioni 300! Lakini pia wanailalia Ukraine kwa kuipatia mikopo yenye riba ya mabilioni ya Dola! Watu wanatangaziwa kuwa ni misaada lakini kwenye mkataba inaandikwa ni mkopo wenye riba (hakuna mlo wa bure kwa mabeberu). Benki ya Dunia inaipatia Ukraine mkopo ya Dola bilioni 5!! Hapo sijataja wakopeshaji wengine Kama UK, IMF, UFARANSA, JAPAN nk.
Kwa hiyo mabeberu wanacheka kweli!! Ndio maana hawataki kabisa yafikiwe makubaliano ya amani kati ya Urusi na Ukraine!! Je nani ataiamsha Ukraine ishtuke?
Hiyo figure wanaofaidi ni kampuni za siraha uko USA pesa inabaki uko uko, scraper za zinapelekwa Ukraine kupitia Poland. Putini anaziangamiza zingine wanajeshi wa ukrane wanaziacha na kukimbia. Technically hiyo figure wanaofaidi nayo ni shareholders wa hizo kampuni za siraha, CEO, na baadhi ya wanasiasa crook's. Inapotokea vita kampuni nyingi za siraha huwa wanafanya party ni kipindi cha mavuno kwao, hivyo watazidi kupeleka siraha kila siku hili makapuni ya USA yavune pesa.
 
Mtu yeyote yule mwenye akili timamu hawezi kufungamana na Taifa la Marekani na "wapambe" wake.
 
Back
Top Bottom