binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Sisi waTz ndio hatuna wala rushwa? hapa tunajadili bajeti bado hata hatujajadili bajeti ya mwaka wa fedha uliopita ilitekelezwa kwa asilimia ngapi, ni aibu kupigiana makofi kujadili bajeti ya kwenye makaratasi. Hivi ni lini tutaacha blah blah nchi hii.Hiyo bajeti ndogo ya tanzania itafanya mambo yenye thamani kwa kubwa kwa umma kuliko ya kenya. Kenya kiasi kikubwa kitaishia mifukoni kwa watu kwa rushwa.
Kwa Bajeti hizi za Africa Mashariki Kenya itazidi kupaa sana. Bajeti ya Kenya ni takriban mara mbili ya Bajeti ya Tanzania. Ukijumlisha Bajeti ya Tanzania na Uganda bado haifikii Bajeti ya Kenya...
Nilisemaga hili zamani nikashambuliwa na MATAG*Kwa Bajeti hizi za Africa Mashariki Kenya itazidi kupaa sana. Bajeti ya Kenya ni takriban mara mbili ya Bajeti ya Tanzania. Ukijumlisha Bajeti ya Tanzania na Uganda bado haifikii Bajeti ya Kenya...
Wewe una hela ngapi semaTrilioni 34 ndiyo bajeti ya watu milioni 60 wakati tajiri mmoja wa Marekani anayeitwa Jeff Bezos ana utajiri wa zaidi ya trilioni 354. Yaani mtu mmoja ana utajiri wa zaidi ya mara 10 ya bajeti yetu ya watu milioni 60. Fikiria hilo kwanza ndiyo utajua ni jinsi gani Ujamaa ulivyotuchelewesha kimaendeleo na kuturudisha nyuma.
Ni hiyo mistari miwili tu ya mwisho ndiyo ninayoweza kukuona wewe kama una akili zxa kutosha kichwani; hayo mengine yote na mada iliyowekwa mbele ni upuuzi mtupu.Unajifanya Mjuaji. Porojo nyingi.
Je sisi Tanzania ni lini tuliweza kutekeleza Bajeti kwa asilimia 100 au hata 50.
Hata hii tu Bajeti kwa kiasi kikubwa tunategemea wahisani.
Tanzania tukiwa Serious tunaweza kufanya Makubwa kuliko yeyote Afrika Mashariki.
Kuna jambo sote kama raia na serikali tunapaswa kufanya.
Acha hadithi za maccm wenzio,vitu kwenye ground vinaonekana wametuzidi mbali sanaBajeti kubwa haiimaanishi kwamba ndio inaleta maendeleo. Kenya wanabandika manamba makubwa kwa sababu kwa sehemu kubwa wanatumia Expenditure-Driven budget yaani sehemu kubwa wanapanga bajeti kwa ajili ya matumizi zaidi kuliko maendeleo na kulipa madeni pia. Mpaka ninapoandika hapa Kenya inakopa zaidi ya nchi zote ukimjulisha kwa pamoja hapa Afrika mashariki ili kujazilishia bajeti yao...
Nimekuelewa sana chukua ccm wapeleke Kenya kwa muda wa miaka 5 majibu utayapataMatatizo yote ya nchi yetu chanzo chake kikubwa ni maccm. Hilo halina siri wala ubishi.
Nimekuelewa sana chukua ccm wapeleke Kenya kwa muda wa miaka 5 majibu utayapata
Yani wewe na ng'ombe ni sawa tu!Kazi kusifia Wakenya badala ya kusifia mazuri ya Tanzania.
Chadema wakiambiwa tujenge Tanzania ya viwanda ili tuwe na uzalishaji mkubwa wanapinga.
Wakenya kuwa mbele yetu isiwe sababu na wala tusiwachukie kwasababu hiyo, tujiulize shida yetu inaanzia wapi, binafsi naamini shida yetu imeanzia kwa hii kitu inaitwa CCM na vyote vilivyomo ndani yake.
KikulachoWakenya kuwa mbele yetu isiwe sababu na wala tusiwachukie kwasababu hiyo, tujiulize shida yetu inaanzia wapi, binafsi naamini shida yetu imeanzia kwa hii kitu inaitwa CCM na vyote vilivyomo ndani yake.
Huna viwanda vya kutosha utaendeleaje?Kwa Bajeti hizi za Africa Mashariki Kenya itazidi kupaa sana. Bajeti ya Kenya ni takriban mara mbili ya Bajeti ya Tanzania. Ukijumlisha Bajeti ya Tanzania na Uganda bado haifikii Bajeti ya Kenya.
Hii inaonyesha Kenya inaweza Kuendelea mara Mbili zaidi ya Tanzania na Uganda. Nadhani kuna kitu Tanzania tunahitaji kufanya. Kenya hawezi kua na Bajeti mara mbili kutuzidi wakati sisi Tanzania tuna Mambo mengi wezeshi kuwazidi.
Imeniumiza Roho sana hii.
Mkuu kama ikiwezekana labda tujue ni mapato kiasigani kenya wanakusanya ukiliganisha na kwetu, pia tulinganiishe bajeti za wizara muhimu kama kilimo na viwandaBajeti kubwa haiimaanishi kwamba ndio inaleta maendeleo. Kenya wanabandika manamba makubwa kwa sababu kwa sehemu kubwa wanatumia Expenditure-Driven budget yaani sehemu kubwa wanapanga bajeti kwa ajili ya matumizi zaidi kuliko maendeleo na kulipa madeni pia. Mpaka ninapoandika hapa Kenya inakopa zaidi ya nchi zote ukimjulisha kwa pamoja hapa Afrika mashariki ili kujazilishia bajeti yao...
Mipango siyo matumizi. Embu kaangalie bajeti hiyo inatekelezwa kwa asilimia ngapi!!!Kwa Bajeti hizi za Africa Mashariki Kenya itazidi kupaa sana. Bajeti ya Kenya ni takriban mara mbili ya Bajeti ya Tanzania. Ukijumlisha Bajeti ya Tanzania na Uganda bado haifikii Bajeti ya Kenya...
Mipango siyo matumizi. Embu kaangalie bajeti hiyo inatekelezwa kwa asilimia ngapi!!!Kwa Bajeti hizi za Africa Mashariki Kenya itazidi kupaa sana. Bajeti ya Kenya ni takriban mara mbili ya Bajeti ya Tanzania. Ukijumlisha Bajeti ya Tanzania na Uganda bado haifikii Bajeti ya Kenya...
Kwa Bajeti hizi za Africa Mashariki Kenya itazidi kupaa sana. Bajeti ya Kenya ni takriban mara mbili ya Bajeti ya Tanzania. Ukijumlisha Bajeti ya Tanzania na Uganda bado haifikii Bajeti ya Kenya.
Hii inaonyesha Kenya inaweza Kuendelea mara Mbili zaidi ya Tanzania na Uganda. Nadhani kuna kitu Tanzania tunahitaji kufanya. Kenya hawezi kua na Bajeti mara mbili kutuzidi wakati sisi Tanzania tuna Mambo mengi wezeshi kuwazidi.
Imeniumiza Roho sana hii.
Kazi kusifia Wakenya badala ya kusifia mazuri ya Tanzania.
Chadema wakiambiwa tujenge Tanzania ya viwanda ili tuwe na uzalishaji mkubwa wanapinga.
Sera ya chadema ni ubepari wenye kuamini uwekezaji wa mitaji,technogia, ubunifu wa sayansi na technologia na ukuzwaji wa sekta binafsi kama ingini ya uchumi , ccm wanaamini nini?Hii inaonyesha Kenya inaweza Kuendelea mara Mbili zaidi ya Tanzania na Uganda. Nadhani kuna kitu Tanzania tunahitaji kufanya. Kenya hawezi kua na Bajeti mara mbili kutuzidi wakati sisi Tanzania tuna Mambo mengi wezeshi kuwazidi.
Imeniumiza Roho sana hii.
Wakenya wanatuzidi utapeli na huku Sisi tumezubaa..
Mfano asilimia 80 ya watalii wetu wanapitia Kenya...
Tungekuwa wajanja tungeifanya KIA kuwa the biggest Transit Airport in Africa...
Ingesaidia mno watalii wanakuja wanatua kwanza KIA halafu ndo wanaamua kwenda Kenya au Dar au Zanzibar...
Hili kufanyika linahitaji brains sio blah blah
Ukweli mchungu Jiwe alichezea uchumi miaka 5 bila budget kuongezeka wala kuwa na graph inayopanda
Sasahivi tungekuwa kwenye trion 50 ila utoto wa kuchezea walipa kodi na kuwafirisi ndio zao lake hili.