Bajeti ya Kenya ni zaidi ya mara mbili ya Tanzania, Wabongo wanazidi kukwama sana

Sisi pia hatujasema tunajenga kufika mahali mpo nope,tunajiondoa kwenye hali duni iyo ndio point...tunahitaji region nzima ya - east africa iwe developed

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Number three ni rahisi kukopesha MTU pesa kama ako na mpango ya venye atatumia hiyo pesa e.g vision 2030, vision 2050 etc.. ambayo no matter the president who takes over lazima atekeleze hiyo vision.

Tanzania bado Hamna vision kwa hiyo hamkopesheki. Kila rais akiingia anaingia na miradi yake tofauti. Miradi kama bagamoyo mliua na ndio ulikua iinue Tanzania kiuchumi 100%.
Now Bagamoyo is a wasteland with nothing going on.
 
Sawa. Jidanganye tu. Time will tell. Wacha hio white elephant yenu ikamilike kwanza tutaona kitakachofuata. Kwa sasa langu ni macho tu.
 
Sawa. Jidanganye tu. Time will tell. Wacha hio white elephant yenu ikamilike kwanza tutaona kitakachofuata. Kwa sasa langu ni macho tu.
Umeanza ku wish failures hehe kweli umeishiwa[emoji23][emoji23]...Hapa haina kufeli FYI haturudi nyuma tena
 
Struggling gorge ni white elephant. You cannot produce power that is not being consumed.

Who will pay for maintenance?

We are tired with the catch up sessions. We need to have something extra which will enable us to plan without being stressed out.
 
Kati ya hizo mkopo katika budget ya Kenya ni USD ngapu? Maana KRA wanakusanya less than USD 15b Tanzania loans estimated at USD 3. Budget ain't numbers but substance.
Tax ya Kenya mwaka uliopita ni $18B.



Alafu usiulize kuhusu mikopo ya Kenya, sisi tuko na priorities tofauti na nyinyi.. Nyinyi mmeprioritize infrastructure , sisi priority yetu kubwa ni elimu...

Kwa mfano bajeti yenu ya elimu mwaka uliopita 2020/21 ilikua Sh1.3 Trillion ($560 Million USD)
--------------------
Dar es Salaam. Parliament yesterday endorsed a Sh1.3 trillion budget for the Ministry of Education, Science and Technology for the 2020/2021 fiscal year.
-------------------------------------





Ukilinganisha na Kenya, mwaka huo huo 2020/21, bajeti ya elimu Kenya ilikua $4.6 Billion USD


--------------------------------------
Education Sector
On the list of beneficiaries is the Education sector, which has been allocated KSh 497.7 Billion or 26.7% of the National Budget.
-----------------------------------------------


Yani kwa bajeti ya kenya ya elimu ya $4.6B hio 0.6 tayari ni zaidi ya Tz. Kama tungeamua kutumia pesa kidogo kwa elimu kama nyinyi, tungekua na extra $4Billion ya kutumia kwa miradi na ingekua hatuna lazima ya kukopa hela !
 
Endelea kushangaa, utajua hujui na sisi life linasonga na mipango inaenda we endelea kuteseka juu yetu
 
investing in our best natural resource....the Kenyan brain.
 
investing in our best natural resource....the Kenyan brain.
Yani Kenya ni kama ka Israel flani vile... Pods stacked against us but we still thrive... Hatuna maji ya kutosha, mito michache, hatuna madini ya kutajika kama wenzetu.. lakini hivyo hivyo bado tumeshikilia ukanda!
 
Elimu Tz inahudumiwa pia na wizara ya OR- TAMISEMI ( Ofisi ya raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa)iyo trillion 1.3 ni ndogo kwa elimu Tanzania hata wizara ya afya pia inahudumiwa na OR-TAMISEMI,Utawala na idara ya barabara vijinini .Kulishtukia jambo hili angalia mapendekezo ya wizara hii ambayo budget yake ni 7.6trillions tshs Kwa mwaka wa fedha 2021-22
 
Ata huku Kenya shule za chini (early child education) ziko chini ya county. Pia shule za technical schools zinazofundisha skills kama (electrician, carpentry, wielding, mechanic...etc ) hua zimewachiwa counties watumie bajeti zao kuziendeleza.

Na ikija kwa afya pia ni hivyo, hospitali za level 4 Kuja chini ziko chini ya county lakini hospitali za rufaa za level 5 kwenda juu, vituo vya kufanya utafiti kama vile Kemri.. ziko kwa bajeti ya serekali kuu pamoja na huduma za kitaifa za afya kama vile chanjo, malaria,HIV, TB..etc
 
Tshs 13.26trillions ndio pesa za maendeleo sawa na 37% ya bajetiView attachment 1815241
Daudi Mchambuzi, nini opinion yako ya budget ya mwaka huu?


Tanzanian Parliament Approves USD 567 Mln Additional Government Budget for 2021-2022​


March 14, 2022

The Parliament of Tanzania has approved that the Government increases its national budget for the financial year 2021/22 by more than TZS 1.3 trillion, from TZS 36.66 trillion up to TZS 37.98 trillion.

Presenting proposals for the additional budget on behalf of the Minister of Finance and Planning, Hon. Mwigulu Lameck Nchemba, the Minister of Home Affairs Hon. Hamad Yussuf Masaun said that the Government received an interest-free loan from the International Monetary Fund (IMF) worth TZS 1.3 trillion equivalent to USD 567.3 million.

Hin. Masauni said the money received was not part of the budget approved by Parliament in 2021/22 so the Government is responsible under section 43 of the Budget Act, Chapter 439 and Article 137 (2) of the Constitution of Tanzania, to submit to parliament a proposal to seek the consent of Parliament to spend the extra money.

He added that the money will be used to protect Tanzanians against Covid-19 and stimulate economic and social activities affected by the pandemic, in mainland Tanzania and the islands.

“Of that amount, TZS 1,079.6 billion is for mainland Tanzania, and TZS 231.0 billion is for Zanzibar” Hon. Masauni said.

He also clarified that the use of such funds will be used in accordance with the priorities spelled out in the national budget for the financial year 2021/22 where the health sector received TZS 466.9 billion, education TZS 368.9 billion, water TZS 139.4 billion, tourism TZS 90.2 billion, and the Tanzania Social Action Fund (TASAF) TZS 5.5 billion.

The Tanzanian Budget 2021/22

In June 2021, the parliament of Tanzania approved the Central Government Budget of TZS 36.68 trillion for the financial year 2021-2022.

The total budget has been increased by 5% from TZS 34.88 trillion allocated in the 2020-2021 budget.

The budget is mainly financed by domestic revenues for TZS 26.0 trillion (71%), grants from development partners for TZS 2.9 trillion (8%), domestic loans for TZS 5.0 trillion (14%), and conditional external commercial loans for TZS 2.4 trillion (7%).

Most of the budget (63%) will be allocated for recurrent expenditure, while 37% will be destined for development projects.

 
Tuanze kujadili kwanza na utekelezaji wa bajeti iliyopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…