Bajeti ya Land Rover festival Arusha inatoka kwenye fungu gani la bajeti?

Bajeti ya Land Rover festival Arusha inatoka kwenye fungu gani la bajeti?

Gharama za Land rover festival Arusha zinatoka kwenye fungu gani kwenye bajeti? Media, kwenye speeches hiyo festival inatajwa kama vile ni jambo la kipaumbele zaidi kuliko Afya, Elimu, barabara na maji.

Kipaumbele vyetu Kwa sasa ni Festivals?
Kila baada ya miezi mitatu, sita unaweza kuwa na festival tofauti. Huo ni utamaduni mzuri.

Mfano festival ya vitabu, wasanii wapya wa comedy, music television, kilimo, biashara, ajira, watangazaji, maonyesho mbalimbali ni festivals kama sabasaba, nanenane.

Unaweka kuwa na festival ya kutangaza jiji. Nafikiri gharama karibu zote zitakuwa hao wadau washiriki wamechangia, sio kitu kibaya.

Mfano Arusha inahitaji festivals nyingine nyingi tu za kitalii. Inakutanisha wadau tofauti.
 
Gharama za Land rover festival Arusha zinatoka kwenye fungu gani kwenye bajeti? Media, kwenye speeches hiyo festival inatajwa kama vile ni jambo la kipaumbele zaidi kuliko Afya, Elimu, barabara na maji.

Kipaumbele vyetu Kwa sasa ni Festivals?
kabla sijakujibu swali lako, budget gani unayoifikiria wewe????
 
Gharama za Land rover festival Arusha zinatoka kwenye fungu gani kwenye bajeti? Media, kwenye speeches hiyo festival inatajwa kama vile ni jambo la kipaumbele zaidi kuliko Afya, Elimu, barabara na maji.

Kipaumbele vyetu Kwa sasa ni Festivals?
Generally Makonda is very smart, na katika hili amefanikiwa sana!

Mimi na wewe ambao tupo mbali na Arusha tunaweza tusi-i-feel hii impact, but kwa kifupi:

Makonda katumia influential power yake kufanya hiki kitu kikawezekana, ukiacha gharama ndogo ambayo wame-lipia labda mafuta magari/helicopter, na coordination zingine, vitu vingine vyote ni sponsor! Tamasha lenyewe linajiuza, media zinyewe zimeenda kutafuta coverage.

kama ulikuwa hujui ni kuwa;

1- Jana/leo na kesho hotel karibu zote Arusha zimejaa
2-umejaribu kufikiria haya magari yote yamewekwa full-tank mafuta kupitia petrol station za Arusha
3- watu wameenda na ma-landrover yao huko, majority of them wataenda mbugani
4-Vendor wengi wamejisajiri kufuanya biashara uwanja wa magereza watalipia
5-Siku hizi 3 mabaa na hotel zitajaa na watu wataspend huko arusha.

Kwa kifupi Makonda amecheza karata hii vizuri sana....! na wanaoona faida ya hivi ni wadau walio kwenye sector ya utalii Arusha.
 
Generally Makonda is very smart, na katika hili amefanikiwa sana!

Mimi na wewe ambao tupo mbali na Arusha tunaweza tusi-i-feel hii impact, but kwa kifupi:

Makonda katumia influential power yake kufanya hiki kitu kikawezekana, ukiacha gharama ndogo ambayo wame-incure labda mafuta magari/helicopter, na cordination zingine vitu vingine vyote ni sponsor! Tamasha lenyewe linajiuza, media zinyewe zimeenda kutafuta coverage.

kama ulikuwa hujui ni kuwa;

1- Jana/leo na kesho hotel karibu zote Arusha zimejaa
2-umejaribu kufikiria haya magari yote yamewekwa full-tank mafuta kupigia petrol station za arusha
3- watu wameenda na ma-landrover yao huko, majority of them wataenda mbugani
4-Vendor wengi wamejisajiri kufuanya biashara uwanja wa magereza watalipia
5-Siku hizi 3 mabaa na hotel zitajaa na watu wataspend huko arusha.

Kwa kifupi Makonda amecheza karata hii vizuri sana....! na wanaoona faida ya hivi ni wadau walio kwenye sector ya utalii Arusha.
Maswali mengi ya kitoto yanatoka kwa wale pingapinga, wao wanatazama upande hasi tu kwa kila suala wanalotoa maoni yao.
 
Bajeti itapatikana kwa "Makonda style" (Sabaya)
 
ukitaka kuwa-win watu wa Arusha tembea nao kwa bit moja hapa Makonda anaongoza 3-0 dhidi ya wapinzani wa CCM Arusha
ila tuliofka na kushuka n zaid ya wat wamavo ongea kwanza familia imeinjoi kuona live smba chui fs chatu na kula nyama kucheza yote xx wanaArusha atuna baya kwa makonda ila tunaomba isishie tu Arusha
 
Back
Top Bottom