Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefuatilia hotuba yako ya bajeti ya 2023/24 lakini sikumbuki kusikia bajeti kwa ajili ya mchakato wa katiba mpya, je mchakato huo utafanyika kwa kutumia kifungu gani cha fedha?
Wananchi wanasubiri kwa hamu kubwa kuanza kwa mchakato huo ili hatimaye tupate katiba ya wananchi.
Tunaingia mabarabarani soon kudai Katiba bora.
Watu hawashibi Katiba Mpya tambua Hilo,Kenya Kuna Katiba Mpya ila watu Wana njaa.Nimefuatilia hotuba yako ya bajeti ya 2023/24 lakini sikumbuki kusikia bajeti kwa ajili ya mchakato wa katiba mpya, je mchakato huo utafanyika kwa kutumia kifungu gani cha fedha?
Wananchi wanasubiri kwa hamu kubwa kuanza kwa mchakato huo ili hatimaye tupate katiba ya wananchi.
Umeamua kuonesha ulivyo takataka hadharani,katiba mpya inazuiaje wewe kupata ajira?Katiba ya nini...?watu tunataka ajira sio makaratasi..by the way hii iliyopo inafaa sana
Usiwe mjinga fanya kazi ushibe serikali haishibishi mtu bali serikali dhalimu hugandamiza na kunyonya wananchi wake kwa kodi na matozo ya ajabu. Pia serikali dhalimu huweka vizuizini na kuwafunga jela wananchi wake wenye maono na nia njema ya kuinua hali ya maisha ya wananchi wenzao.Watu hawashibi Katiba Mpya tambua Hilo,Kenya Kuna Katiba Mpya ila watu Wana njaa.
Ghana Kuna Katiba Mpya ila maisha magumu nk nk
Hapo ndio umeongea nini kama sio upuuziUsiwe mjinga fanya kazi ushibe serikali haishibishi mtu bali serikali dhalimu hugandamiza na kunyonya wananchi wake kwa kodi na matozo ya ajabu. Pia serikali dhalimu huweka vizuizini na kuwafunga jela wananchi wake wenye maono na nia njema ya kuinua hali ya maisha ya wananchi wenzao.
ImeshakukataSasa kilaza kama wewe utaelewa nini, kale mihogo kumekucha!