DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ndugu habari zenu Mabibi na Mabwana
Kwa kudra za Allah naamini hata walio wagonjwa watapata nafuu na kupona na walio Magerezani watapata kutoka:-🙏🙏🙏
On my point
Kiufupi hali ya Maisha Ni ngumu sana Kuna high cost of living mainly kwenye bidhaa muhimu Kama Foodstuffs
Wazo langu Ni kwamba
Serikali kwanini isiwekeze katika kilimo ili hata Angalau kwa kununu Modern machine (Equipment I:e tractors & , Mbolea na nk. Ili wananchi wake wapate kula na kushiba .
Watu huku mjini wanakula mlo mmoja sababu bei ya unga + mchele hazikamatiki .
Sioni sababu ya kununua Ndege badala ya trectors za kulimia.
Jambo la mwisho hizo salaries zenu za kukufuru kwanini msizi -regulate hata Angalau mkawa mnapokea Million 5 tu kwa mwezi .
Ni Aibu kubwa kwa Taifa Kama Tanzania Ambalo wananchi wake most of them wanaishi chini ya $1 then tumlipe Mwanasiasa Mil 15 as take home salary this is not Good.
Nyie politicians kuweni na huruma , Fahamu yote mnayofanya ni ubatili mtupu .
That's All
Pia nyie vijana Amkeni acheni kukaa vijiweni mnazungumzia Simba na Yanga tu yaani hawa wanasiasa fake wanawablind msijitambue
Sasa mkikaa mnawapigia kura wakati mnakula Mlo mmoja kila siku Fahamu ya kuwa mnafanya ujinga.✍️
Haya_Land kutoka chuo kikuu cha Udsm kwa sasa.
Rip Mwai kibaki.
Kwa kudra za Allah naamini hata walio wagonjwa watapata nafuu na kupona na walio Magerezani watapata kutoka:-🙏🙏🙏
On my point
Kiufupi hali ya Maisha Ni ngumu sana Kuna high cost of living mainly kwenye bidhaa muhimu Kama Foodstuffs
Wazo langu Ni kwamba
Serikali kwanini isiwekeze katika kilimo ili hata Angalau kwa kununu Modern machine (Equipment I:e tractors & , Mbolea na nk. Ili wananchi wake wapate kula na kushiba .
Watu huku mjini wanakula mlo mmoja sababu bei ya unga + mchele hazikamatiki .
Sioni sababu ya kununua Ndege badala ya trectors za kulimia.
Jambo la mwisho hizo salaries zenu za kukufuru kwanini msizi -regulate hata Angalau mkawa mnapokea Million 5 tu kwa mwezi .
Ni Aibu kubwa kwa Taifa Kama Tanzania Ambalo wananchi wake most of them wanaishi chini ya $1 then tumlipe Mwanasiasa Mil 15 as take home salary this is not Good.
Nyie politicians kuweni na huruma , Fahamu yote mnayofanya ni ubatili mtupu .
That's All
Pia nyie vijana Amkeni acheni kukaa vijiweni mnazungumzia Simba na Yanga tu yaani hawa wanasiasa fake wanawablind msijitambue
Sasa mkikaa mnawapigia kura wakati mnakula Mlo mmoja kila siku Fahamu ya kuwa mnafanya ujinga.✍️
Haya_Land kutoka chuo kikuu cha Udsm kwa sasa.
Rip Mwai kibaki.