Point ya nguvu, naungana na wewe kwa hiliIli kupata wazo kubwa unaanza na wazo dogo, fikiria nina duka moja na mwenzangu tumeanza wote lakini ana maduka tano lakini kwa uzembe wangu. Siku nikizika uzembe si ajabu nikampita mwenye maduka matano. Hivyo ndugu yangu usikate tamaa, kila kitu tunacho chapa kazi. Unaruhusu mpaka wanasema Tanzanite ni ya kwao hadi mlima Kilimanjaro ni wao, huoni anatubidi kuamka? Hizo statistics huenda ni kweli lakini mda tunao. Ukusema hatuwezi unakosea, chapa kazi kizalendo
Halafu wanakufa na njaa kila mwaka! Huku nusu ya bajeti inalipa Mikopo ya Mchina.
huu ushindani wa Ukenya na Utanzania ni shinda sana umesema poa sana mkuu...hii ndio mentality ya kupiga hatua sio kuangalia nani zaidi katika hiki au kile...Nikukumbushe kitu, Kenya ni nchi maskini, haiwezi kuwa baseline yetu kama nchi kupima maendeleo au hatua tunazopiga kuboresha nchi yetu.
Nakiri tuna mapungufu karibu kila sekta,
Lakini lazima tuna strengths zaidi ya Wengine,
Wakati wote usijidharau, neither don't let anyone look down at you.
You are unique, the same time our Nation is unique.
Hiyo ni kweli kabisaKenya Inadaiwa zaidi ya 53%
Wakati sisi tupo kwenye 20+%
Pia Asilimia kubwa ya Bajeti ya kenya
inaishia kwenye Ufisadi
naweza sema 40% yapesa yote hiyo Huishia kwenye Matumbo ya wanasiasa wachache.
Hakuna kitu kinanichanganya kama hii issue ya GDP.kwa mwenye uelewa mpana angenipa somo hapa.mfano je nchi ikikopa hio pesa itajumuishwa kwenye Gdp? Au wata i substract? Na kwavile Gdp inahesabiwa ktk dola sasa inakuaje kama nchi ikiamua kupandisha thaman ya pessa ghafla.. Hapo gdp itakua imepanda ghafla? Vp kuhusu informal sector..mfano nchi kama tz ni mojawapo ya nchi zenye kiwango cha juu cha informal sector sasa kwann wasizihesabu ktk gdp? Na nchi zenye kiwango kidogo cha informal sekta kwanin ziwekwe juu wakat tukijua nchi zenye kias cha juu cha informal sector hazijahesabu kila kitu? Vp kama watu wachache ndio wenye pesa katika nchi na wanamilik kila kitu..utasema hio nch ina uchumi mkubwa?Nakubaliana na wewe, hata mimi sitakuja kui-undermine nchi yangu hata siku moja, ila penye uzuri na ubaya tuweke bayana.
Kuna utofauti mkubwa uliopo kati ya utashi wa Wakenya na Watanzania. Hata siku moja Watanzania wako tayari kutetea jambo ambalo liko wazi kuwa sio la kweli tofauti na Wakenya ambao kama jambo ni la Ukweli basi wengi watakubaliana nalo hata kama sio la kwao.
PIA UZURI NI KWAMBA
mimi nimeishi Machakoz huko Kenya kwa zaidi ya miaka 6 na maisha ya Kenya nayajua ni tofauti na ya Tanzania.
Tanzania maisha ni rahisi kuliko Kenya japo uchumi wao uko juu kuliko sisi. Mfano: Kunywa chai hata Kijijini Kenya lazima uwe na Ksh75(1500Tsh)wakati Tanzania hata ukiwa na Ksh24(Tsh500)unapata chai na andazi nne. So bado tuna cha kujivunia.
Hivyo basi kwa uchumi wa Kenya na Tanzania ulivyo, Maskini wa Kenya anahangaika kuliko Maskini mwenzake wa Tanzania
hahaaa!Kenya is EA largest economy...what do you expect? Kenya is more prosperous...a good example is that South Africa's budget is several times bigger than Nigeria's budget despite the fact that Nigeria has a larger economy...Kenya sio nchi ya kufananisha na nchi za kipumbavu kama Uganda na tz..nchi hzi kafananish na Somalia
GDP ya PPP ndiyo inayoleta maana halisi. Kenya na Tanzania maisha yao na maendeleo yao yapo sawa, hakuna tofauti kubwa.H
Hakuna kitu kinanichanganya kama hii issue ya GDP.kwa mwenye uelewa mpana angenipa somo hapa.mfano je nchi ikikopa hio pesa itajumuishwa kwenye Gdp? Au wata i substract? Na kwavile Gdp inahesabiwa ktk dola sasa inakuaje kama nchi ikiamua kupandisha thaman ya pessa ghafla.. Hapo gdp itakua imepanda ghafla? Vp kuhusu informal sector..mfano nchi kama tz ni mojawapo ya nchi zenye kiwango cha juu cha informal sector sasa kwann wasizihesabu ktk gdp? Na nchi zenye kiwango kidogo cha informal sekta kwanin ziwekwe juu wakat tukijua nchi zenye kias cha juu cha informal sector hazijahesabu kila kitu? Vp kama watu wachache ndio wenye pesa katika nchi na wanamilik kila kitu..utasema hio nch ina uchumi mkubwa?
Heaven and Earth knows Kenya and Tanzania are worlds apart but to sooth your hurt ego we will let you be.GDP ya PPP ndiyo inayoleta maana halisi. Kenya na Tanzania maisha yao na maendeleo yao yapo sawa, hakuna tofauti kubwa.
What about the national debt? Does borrowed money included in Gdp?Heaven and Earth knows Kenya and Tanzania are worlds apart but to sooth your hurt ego we will let you be.
I'll take that. ThanxHeaven and Earth knows Kenya and Tanzania are worlds apart but to sooth your hurt ego we will let you be.
Kama pesa mingi inalipa madeni kwanini deni linazidi kuongezeka??Pesa Mingi inalipia Pesa za madeni ambazo zimeliwa na Mafisadi, Pamoja na Mishahara Mikubwa lakini kazi Kidogo
Acha utani braza,unayajua maisha ya kijijino bongo au unasimuliwa? Hakuna mbogamajani japo mchicha sembuse chai?Nakubaliana na wewe, hata mimi sitakuja kui-undermine nchi yangu hata siku moja, ila penye uzuri na ubaya tuweke bayana.
Kuna utofauti mkubwa uliopo kati ya utashi wa Wakenya na Watanzania. Hata siku moja Watanzania wako tayari kutetea jambo ambalo liko wazi kuwa sio la kweli tofauti na Wakenya ambao kama jambo ni la Ukweli basi wengi watakubaliana nalo hata kama sio la kwao.
PIA UZURI NI KWAMBA
mimi nimeishi Machakoz huko Kenya kwa zaidi ya miaka 6 na maisha ya Kenya nayajua ni tofauti na ya Tanzania.
Tanzania maisha ni rahisi kuliko Kenya japo uchumi wao uko juu kuliko sisi. Mfano: Kunywa chai hata Kijijini Kenya lazima uwe na Ksh75(1500Tsh)wakati Tanzania hata ukiwa na Ksh24(Tsh500)unapata chai na andazi nne. So bado tuna cha kujivunia.
Hivyo basi kwa uchumi wa Kenya na Tanzania ulivyo, Maskini wa Kenya anahangaika kuliko Maskini mwenzake wa Tanzania
Tutafika kwa viwanda vipi vilivyojengwa so far? Au ndo hivi vyerehani? Muda utaongeaKenya ni nchi ya uchumi wa kati wa viwanda kwa muda mrefu sasa. Tanzania tumepanga kufikia uchumi wa kiwango hicho mwaka 2025. Hiki ndicho JPM anachopigania. Tutafika huko Mungu akipenda, na of course Kenya hawatakuwa wamesimama wakitusubiri bali watakuwa hatua ya mbele zaidi.
Mtafika tu si hata nyinyi ni wanaume kama wengine, bora mikakati mwafaka bila sideshows.K
Tutafika kwa viwanda vipi vilivyojengwa so far? Au ndo hivi vyerehani? Muda utaongea
Hahahaha... Kenya since post independence has been East Africa's largest economy wakati Somalia na Sudan ilikuwa stable. Rudi vijiweni uje na porojo nyingine Hii pelekea geza na joto la jiwe.Kenya budgets inaendashwa na dirty money from Somalia and South Sudan wars, nchi zote hizo hazina central bank, na madawa ya kulevya kwani Kenya ni transit route ya madawa hayo.
Economically, according to the EAC's national budgets announced in jully this year with Kenya in march, the total Tanzanian and Ugandan budgets equals to the Kenyan one.
Tanzania (30.75tr Tsh) + Uganda(21.32tr Tsh) = Kenya(52.04tr Tsh)
Naomba nielimishe..hii GDP ya kenya ina iclude borrowed money? Au hii pesa ya mkopo hawajaihesabu? Na ngapi basi true Gdp ya kenya?Hahahaha... Kenya since post independence has been East Africa's largest economy wakati Somalia na Sudan ilikuwa stable. Rudi vijiweni uje na porojo nyingine Hii pelekea geza na joto la jiwe.