Bajeti ya Tanzania+Uganda=Kenya

Bajeti ya Tanzania+Uganda=Kenya

Ili kupata wazo kubwa unaanza na wazo dogo, fikiria nina duka moja na mwenzangu tumeanza wote lakini ana maduka tano lakini kwa uzembe wangu. Siku nikizika uzembe si ajabu nikampita mwenye maduka matano. Hivyo ndugu yangu usikate tamaa, kila kitu tunacho chapa kazi. Unaruhusu mpaka wanasema Tanzanite ni ya kwao hadi mlima Kilimanjaro ni wao, huoni anatubidi kuamka? Hizo statistics huenda ni kweli lakini mda tunao. Ukusema hatuwezi unakosea, chapa kazi kizalendo
Point ya nguvu, naungana na wewe kwa hili
 
Nikukumbushe kitu, Kenya ni nchi maskini, haiwezi kuwa baseline yetu kama nchi kupima maendeleo au hatua tunazopiga kuboresha nchi yetu.
Nakiri tuna mapungufu karibu kila sekta,
Lakini lazima tuna strengths zaidi ya Wengine,
Wakati wote usijidharau, neither don't let anyone look down at you.
You are unique, the same time our Nation is unique.
huu ushindani wa Ukenya na Utanzania ni shinda sana umesema poa sana mkuu...hii ndio mentality ya kupiga hatua sio kuangalia nani zaidi katika hiki au kile...
 
Kenya Inadaiwa zaidi ya 53%
Wakati sisi tupo kwenye 20+%
Pia Asilimia kubwa ya Bajeti ya kenya
inaishia kwenye Ufisadi
naweza sema 40% yapesa yote hiyo Huishia kwenye Matumbo ya wanasiasa wachache.
Hiyo ni kweli kabisa
Kuna jamaa aliwahi kusema kuwa Kenya ni waziri kwenye paper work lkn ukija kwenye reality haifanani na makaratasi yanavyoelezea,
LENGO LA budget kubwa inayojitosheleza ni kuleta maendeleo kwa watu na kuchochea harakati za uchumi lkn mbona in reality haiko hivyo kwa Kenya?
Ni kwa sababu wajanja wanaicook budget mwisho
Wapigaji wanapiga kiulaini.
 
kenya awakutaifisha viwanda na mashamba binafsi , sisi tulichukua viwanda na mashamba , tukaua utalii. sasa umnategemea tutawapata wa kenya ? jspo kenya ufisadi juu lakini wametuacha sana
 
Huu ni mwezi wa ngapi vile?? Miezi yote hiyo ulikuwa unahangaika kujumlisha tu
 
H
Nakubaliana na wewe, hata mimi sitakuja kui-undermine nchi yangu hata siku moja, ila penye uzuri na ubaya tuweke bayana.
Kuna utofauti mkubwa uliopo kati ya utashi wa Wakenya na Watanzania. Hata siku moja Watanzania wako tayari kutetea jambo ambalo liko wazi kuwa sio la kweli tofauti na Wakenya ambao kama jambo ni la Ukweli basi wengi watakubaliana nalo hata kama sio la kwao.

PIA UZURI NI KWAMBA
mimi nimeishi Machakoz huko Kenya kwa zaidi ya miaka 6 na maisha ya Kenya nayajua ni tofauti na ya Tanzania.
Tanzania maisha ni rahisi kuliko Kenya japo uchumi wao uko juu kuliko sisi. Mfano: Kunywa chai hata Kijijini Kenya lazima uwe na Ksh75(1500Tsh)wakati Tanzania hata ukiwa na Ksh24(Tsh500)unapata chai na andazi nne. So bado tuna cha kujivunia.
Hivyo basi kwa uchumi wa Kenya na Tanzania ulivyo, Maskini wa Kenya anahangaika kuliko Maskini mwenzake wa Tanzania
Hakuna kitu kinanichanganya kama hii issue ya GDP.kwa mwenye uelewa mpana angenipa somo hapa.mfano je nchi ikikopa hio pesa itajumuishwa kwenye Gdp? Au wata i substract? Na kwavile Gdp inahesabiwa ktk dola sasa inakuaje kama nchi ikiamua kupandisha thaman ya pessa ghafla.. Hapo gdp itakua imepanda ghafla? Vp kuhusu informal sector..mfano nchi kama tz ni mojawapo ya nchi zenye kiwango cha juu cha informal sector sasa kwann wasizihesabu ktk gdp? Na nchi zenye kiwango kidogo cha informal sekta kwanin ziwekwe juu wakat tukijua nchi zenye kias cha juu cha informal sector hazijahesabu kila kitu? Vp kama watu wachache ndio wenye pesa katika nchi na wanamilik kila kitu..utasema hio nch ina uchumi mkubwa?
 
Kenya is EA largest economy...what do you expect? Kenya is more prosperous...a good example is that South Africa's budget is several times bigger than Nigeria's budget despite the fact that Nigeria has a larger economy...Kenya sio nchi ya kufananisha na nchi za kipumbavu kama Uganda na tz..nchi hzi kafananish na Somalia
hahaaa!
 
H

Hakuna kitu kinanichanganya kama hii issue ya GDP.kwa mwenye uelewa mpana angenipa somo hapa.mfano je nchi ikikopa hio pesa itajumuishwa kwenye Gdp? Au wata i substract? Na kwavile Gdp inahesabiwa ktk dola sasa inakuaje kama nchi ikiamua kupandisha thaman ya pessa ghafla.. Hapo gdp itakua imepanda ghafla? Vp kuhusu informal sector..mfano nchi kama tz ni mojawapo ya nchi zenye kiwango cha juu cha informal sector sasa kwann wasizihesabu ktk gdp? Na nchi zenye kiwango kidogo cha informal sekta kwanin ziwekwe juu wakat tukijua nchi zenye kias cha juu cha informal sector hazijahesabu kila kitu? Vp kama watu wachache ndio wenye pesa katika nchi na wanamilik kila kitu..utasema hio nch ina uchumi mkubwa?
GDP ya PPP ndiyo inayoleta maana halisi. Kenya na Tanzania maisha yao na maendeleo yao yapo sawa, hakuna tofauti kubwa.
 
GDP ya PPP ndiyo inayoleta maana halisi. Kenya na Tanzania maisha yao na maendeleo yao yapo sawa, hakuna tofauti kubwa.
Heaven and Earth knows Kenya and Tanzania are worlds apart but to sooth your hurt ego we will let you be.
 
Heaven and Earth knows Kenya and Tanzania are worlds apart but to sooth your hurt ego we will let you be.
What about the national debt? Does borrowed money included in Gdp?
 
Nakubaliana na wewe, hata mimi sitakuja kui-undermine nchi yangu hata siku moja, ila penye uzuri na ubaya tuweke bayana.
Kuna utofauti mkubwa uliopo kati ya utashi wa Wakenya na Watanzania. Hata siku moja Watanzania wako tayari kutetea jambo ambalo liko wazi kuwa sio la kweli tofauti na Wakenya ambao kama jambo ni la Ukweli basi wengi watakubaliana nalo hata kama sio la kwao.

PIA UZURI NI KWAMBA
mimi nimeishi Machakoz huko Kenya kwa zaidi ya miaka 6 na maisha ya Kenya nayajua ni tofauti na ya Tanzania.
Tanzania maisha ni rahisi kuliko Kenya japo uchumi wao uko juu kuliko sisi. Mfano: Kunywa chai hata Kijijini Kenya lazima uwe na Ksh75(1500Tsh)wakati Tanzania hata ukiwa na Ksh24(Tsh500)unapata chai na andazi nne. So bado tuna cha kujivunia.
Hivyo basi kwa uchumi wa Kenya na Tanzania ulivyo, Maskini wa Kenya anahangaika kuliko Maskini mwenzake wa Tanzania
Acha utani braza,unayajua maisha ya kijijino bongo au unasimuliwa? Hakuna mbogamajani japo mchicha sembuse chai?
 
K
Kenya ni nchi ya uchumi wa kati wa viwanda kwa muda mrefu sasa. Tanzania tumepanga kufikia uchumi wa kiwango hicho mwaka 2025. Hiki ndicho JPM anachopigania. Tutafika huko Mungu akipenda, na of course Kenya hawatakuwa wamesimama wakitusubiri bali watakuwa hatua ya mbele zaidi.
Tutafika kwa viwanda vipi vilivyojengwa so far? Au ndo hivi vyerehani? Muda utaongea
 
Kenya budgets inaendashwa na dirty money from Somalia and South Sudan wars, nchi zote hizo hazina central bank, na madawa ya kulevya kwani Kenya ni transit route ya madawa hayo.
 
Kenya budgets inaendashwa na dirty money from Somalia and South Sudan wars, nchi zote hizo hazina central bank, na madawa ya kulevya kwani Kenya ni transit route ya madawa hayo.
Hahahaha... Kenya since post independence has been East Africa's largest economy wakati Somalia na Sudan ilikuwa stable. Rudi vijiweni uje na porojo nyingine Hii pelekea geza na joto la jiwe.
 
Economically, according to the EAC's national budgets announced in jully this year with Kenya in march, the total Tanzanian and Ugandan budgets equals to the Kenyan one.

Tanzania (30.75tr Tsh) + Uganda(21.32tr Tsh) = Kenya(52.04tr Tsh)


Kama una akili timamu, utakuwa unaelewa hizi pesa za budget ya Kenya zinaishia wapi, I assume you are smart enough to know this. Just go to TZ uone maendeleo, TZ ya leo si ile ya early 1980's.
 
Hahahaha... Kenya since post independence has been East Africa's largest economy wakati Somalia na Sudan ilikuwa stable. Rudi vijiweni uje na porojo nyingine Hii pelekea geza na joto la jiwe.
Naomba nielimishe..hii GDP ya kenya ina iclude borrowed money? Au hii pesa ya mkopo hawajaihesabu? Na ngapi basi true Gdp ya kenya?
 
Back
Top Bottom