Bajeti ya Ulinzi ya USA ni kubwa kuliko jumla ya bajeti ya Mataifa yote Duniani

Bajeti ya Ulinzi ya USA ni kubwa kuliko jumla ya bajeti ya Mataifa yote Duniani

Ile vita ni showcase ya silaha, ndio maana mziki wake umekubalika pale so ufaransa inasubiri tu serikali iipe go ahead kampuni kuiuzia ufaransa maana ambaye alishapewa kibali ni mwingereza.
Arms procurement unaita showcase. Showcase iko Ufaransa wiki hii walikuwa na Eurosatory maonesho ya silaha na makampuni kibao yakaleta silaha zao na concept zao, Rheinmetall wakaja na kifaru kipya kama successor wa Leopald 2.

Na F-35 zilizouzwa mataifa mengi washirika zikitokana na showcase ya vita gani. Au China aliyenunua S 400 na Uturuki waliziona kwenye vita gani. Its simply AeroViroment hawakuwa tiyari kuziua nje au Marekani haikuwa inaruhusu, ila wanaotaka ni washirika haijawakatalia
 
Arms procurement unaita showcase. Showcase iko Ufaransa wiki hii walikuwa na Eurosatory maonesho ya silaha na makampuni kibao yakaleta silaha zao na concept zao, Rheinmetall wakaja na kifaru kipya kama successor wa Leopald 2.

Na F-35 zilizouzwa mataifa mengi washirika zikitokana na showcase ya vita gani. Au China aliyenunua S 400 na Uturuki waliziona kwenye vita gani. Its simply AeroViroment hawakuwa tiyari kuziua nje au Marekani haikuwa inaruhusu, ila wanaotaka ni washirika haijawakatalia
Sasa kwenye uwanja wa vita ndipo unapojua utendaji kazi wake. Kuna vifaa kibao vilikuwa vinaaminika ile vikaja kufail kwenye vita. Vita hapo ndipo sehemu yenyewe hasa ya kushowcase uwezo wa vifaa
 
BADGET ya ULINZI ya MAREKANI ni USD 778 billion. Anafuata mchina Kwenye 240 USD billion. Ukijulisha BADGET zote za ULINZI ulimwenguni hatufiki 778 billion USD. Anaebisha lete facts sio blah blah. USA yupo sana, Tena sana
Sio kweli. Hapa unatulisha matango pori. Kwa mujibi ya sipro budget ya jeshi kwa Dunia mwaka wa 2021 ilikua us dollar 2.2 tirion. So unaposema hiyo sio kweli. Mwaka huu ni 2.3t us dollar

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
umenikumbusha wale wasomali pale mogadishu ile siku walipodondosha chopper ya jeshi la marekani halafu wakawachomoa maaskari na kuwaburuza mtaani huku wakiwa hai.

mmarekani kila akikumbuka hilo tukio anapata nightmares na kuogopa kukanyaga somalia mpaka leo.
Pale walienda kama peace keepers sasa unapolinda amani na kuhujumiwa na hao unaowalinda unaondoka,waliburuzwa kweli vipi Somalia toka muda huo amani wanayo?
 
Mapesa yenyewe si ndio hayo tunaambiwa wanaprint? Kama wanaprint na hazitoki kwenye kodi kuna shida gani?
Pili kuwa na budget kuubwa hakumaanishi wale wenye budget ndogo ndio hamna kitu. Nikupe mfano. Mtu wa kawaida mwenye ukwasi wa 5bln anaishi sawa na mtu mwenye 1bln. Kinachozidi hapo ni manamba tu. Yule mwenye bln 1 ana uwezo wasa na yule wa 5.
Ila wewe jamaa ni kilaza sana.
 
Mmeambiwa na nani?

Nani ambaye haprinti pesa?

Pesa zote za Tanzania zinatoka kwenye kodi?
Mapesa yenyewe si ndio hayo tunaambiwa wanaprint? Kama wanaprint na hazitoki kwenye kodi kuna shida gani?
Pili kuwa na budget kuubwa hakumaanishi wale wenye budget ndogo ndio hamna kitu. Nikupe mfano. Mtu wa kawaida mwenye ukwasi wa 5bln anaishi sawa na mtu mwenye 1bln. Kinachozidi hapo ni manamba tu. Yule mwenye bln 1 ana uwezo wasa na yule wa 5.
 
BADGET ya ULINZI ya MAREKANI ni USD 778 billion. Anafuata mchina Kwenye 240 USD billion. Ukijulisha BADGET zote za ULINZI ulimwenguni hatufiki 778 billion USD. Anaebisha lete facts sio blah blah. USA yupo sana, Tena sana
Budget ya ulinzi kiwa kubwa siyo kigezo cha kuwa na nguvu na vifaa bora ,bali uundwaji wa vifaa vya mmarekani unatumia gharama nyingi,pia ni nchi yenye base karibu kote duniani zinamla sana,CIA inatumia gharama kubwa sana,analipa mishahara mikubwa sana na stahik nying kwa jeshi,anaunda ndege na meli za kivita kwa gharama sana akihofia hizo kampun zitanunuliwa na mataifa mengine,kiufupi hana maajabu sana kwenye hiyo budget,budget ya China ni ndogo ila kwa mwaka wanaunda vifaa ving vyenye ufanisi kuliko US,sasa hivi nchi nying wananunua mzigo China vya marekani ghali sana alafu ufanis hautofautiani
 
Nyie watu hizo akili zenu mnatumia kuvukia barabara tu?
Mnafikiri unaweza kuficha uchumi wa nchi kama nyeti zenu?
Kwamba watu hawawezi kujua Russia ina kampuni ngapi, zinazalisha nini na kiasi gani kwa mwaka? Hizo nazo ni taarifa za siri??
Ww unafikiri majasusi ya Kremlin lazima yafate budget!! hiyo ni siri yao wanaweza wakaweka figa kidogo lkn underground wanafanya mambo makubwa sana
 
Itakuwa ameikuta story kwenye vijiwe vya vilaza huko mtaani kwamba utajiri wa US ni wa kuprinti pesa tu akaipandisha jukwaani kama headless chicken.
Hakujiuliza kama ni rahisi hivyo kwa nini nchi zinazoteseka na umaskini nazo zisprinti pesa tu ziondokane na umaskini.
Ila wewe jamaa ni kilaza sana.
 
Underground mnajitengenezea silaha au ...maana kama kununua wanakuwa na data kwamba mna vifaa vya aina gani na vingapi..ni hesabu rahisi sana yutong kujua wana bus ngapi hpa nchini
Ww unafikiri majasusi ya Kremlin lazima yafate budget!! hiyo ni siri yao wanaweza wakaweka figa kidogo lkn underground wanafanya mambo makubwa sana
 
Mpaka mwaka huu muuzaji silaha mkubwa duniani ni USA, anauza silaha mara mbili ya anazouza Russia na anamiliki soko la mauzo ya silaha duniani kwa asilimia 38%.
Budget ya ulinzi kiwa kubwa siyo kigezo cha kuwa na nguvu na vifaa bora ,bali uundwaji wa vifaa vya mmarekani unatumia gharama nyingi,pia ni nchi yenye base karibu kote duniani zinamla sana,CIA inatumia gharama kubwa sana,analipa mishahara mikubwa sana na stahik nying kwa jeshi,anaunda ndege na meli za kivita kwa gharama sana akihofia hizo kampun zitanunuliwa na mataifa mengine,kiufupi hana maajabu sana kwenye hiyo budget,budget ya China ni ndogo ila kwa mwaka wanaunda vifaa ving vyenye ufanisi kuliko US,sasa hivi nchi nying wananunua mzigo China vya marekani ghali sana alafu ufanis hautofautiani
 
Nyie watu hizo akili zenu mnatumia kuvukia barabara tu?
Mnafikiri unaweza kuficha uchumi wa nchi kama nyeti zenu?
Kwamba watu hawawezi kujua Russia ina kampuni ngapi, zinazalisha nini na kiasi gani kwa mwaka? Hizo nazo ni taarifa za siri??
Ni sawa na kuficha yutong mlizonazo wakat zinatoka china
 
Back
Top Bottom