Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Hapa Ukraine ajiulize mara mbili anasaidiwa au anaangamizwa ,haiingii akilini mtu anakula mboga saba alafu anakupa kipande cha silesi eti kakupenda ,
Kwa kamsaada hako usitegemee utamshinda Russia kwa hako kamsaada.
Yani wmarekani siwaelewi kabisaaa,msaada wa dola million 800 mdogo sana ,ukizingatia Ukraine hapambani na mapimbi,anapambana na taifa hatari lenye uwezo wa viwango vya heavy weight ,
Masanja namshauri aweke silaha chini amwombe radhi Putin maana ,hakuna anachosaidiwa Bali wanamwangamiza wagawane nyara
Kwa kamsaada hako usitegemee utamshinda Russia kwa hako kamsaada.
Yani wmarekani siwaelewi kabisaaa,msaada wa dola million 800 mdogo sana ,ukizingatia Ukraine hapambani na mapimbi,anapambana na taifa hatari lenye uwezo wa viwango vya heavy weight ,
Masanja namshauri aweke silaha chini amwombe radhi Putin maana ,hakuna anachosaidiwa Bali wanamwangamiza wagawane nyara