Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
kutana wewe na mo😂Yani hii Yanga imezidi tambo sana wanatumia upepo mbaya wa Simba kucheza na akili za mashabiki wao ila niwaambie kitu
SISI PEOPLE TUTAKUTANA
Ili upigwe 5Yani hii Yanga imezidi tambo sana wanatumia upepo mbaya wa Simba kucheza na akili za mashabiki wao ila niwaambie kitu
SISI PEOPLE TUTAKUTANA
mwambie huyo uliemtag abadilishe avatar mi ananitamanisha!
Ili usishuke unahitaji point hata 40 tuMakolo mjiandae msimu ujao nafasi ya 7 inawahusu
Jamani, bajeti ni mapato na matumizi, sio mapato tu. Ndio maana inatakiwa ibalance, yaani net ya mapato na matumizi iwe zero. Tutaendelea kueleweshana taratibuYani hii Yanga imezidi tambo sana wanatumia upepo mbaya wa Simba kucheza na akili za mashabiki wao ila niwaambie kitu
SISI PEOPLE TUTAKUTANA
Sijaelewa, ufafanuzi pleaseJamani, bajeti ni mapato na matumizi, sio mapato tu. Ndio maana inatakiwa ibalance, yaani net ya mapato na matumizi iwe zero. Tutaendelea kueleweshana taratibu
Mikia FC mtakuja na bajeti ya 40b wakati bado mnamdai Glazerbhai Mwamedi.Yani hii Yanga imezidi tambo sana wanatumia upepo mbaya wa Simba kucheza na akili za mashabiki wao ila niwaambie kitu
SISI PEOPLE TUTAKUTANA