Vanity plate ni kwa ajili ya watu wenye pesa na mabishoo,we mwenzangu na mimi wala huna haja ya kulalamika,kwani hujakomolewa wewe na mpaka serikali imeamua kuongeza usidhani wao ni wajinga wameona jinsi watu walivyozipenda na kuzitumia,nina uhakika hao watu wenye kuweka hizo plate wala hawatapungua ndo kwanza wataongezeka,kwani watu wanapenda sana ufahari,na wengi watasubiri kumuona daimond kama ataendelea kuweka au vipi,nna uhakika daimond ataendelea kuweka hiyo namba kwani sidhani kama hiyo milioni 10 ni ishu kwake,tegemea kuwaona wengi wamweka hizo vanity plate.