BAK live interview karibun wote tumuintavyuuu

Nimecheka ile mbaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa si nakusaidia kujibu ndio maana nimemuuliza muhusika kama anatafuta mume kwanza kbla ya kumjibu
 
Reactions: BAK
Tumeyaona ya Ben Saanane, Lissu, Azory na Mdude chadema ni lazima akili iwe kichwani badala ya kukurupuka bila kutafakari na kuchukua tahadhari. Watanzania wa leo baadhi yao si wema hata kidogo.
Ahsante sana 💕🌹

anaohopa wasiojulikana[emoji3][emoji3]
 
Wewe ni mtumishi wa umma? BAK hataki mwanamke ambae ni myumishi wa umma maana watumishi wa umma wako bize wanajenga taifa na mishahara yao inajenga taifa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Reactions: BAK
Naju Bak ni One of mode, swali langu how can somebody anji categories kuwa yuko jukwaa fulani kwa mfano mimi huwa naruka na mada yeyote ambayo itanivutia kuchangia bila kujalisha jukwaa ilipo je mimi nipo jukwaa gani? Na mtu atajijuaje kuwa yupo jukwaa fulani?
 
Kabisa
Tumeyaona ya Ben Saanane, Lissu, Azory na Mdude chadema ni lazima akili iwe kichwani badala ya kukurupuka bila kutafakari na kuchukua tahadhari. Watanzania wa leo baadhi yao si wema hata kidogo.
Ahsante sana [emoji177][emoji257]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…