Pre GE2025 Bakari Nampenya Kalembo anafaa kuwa Mrithi wa Kassimu Majaliwa Ruangwa Ruangwa 2025 Uchaguzi Mkuu

Pre GE2025 Bakari Nampenya Kalembo anafaa kuwa Mrithi wa Kassimu Majaliwa Ruangwa Ruangwa 2025 Uchaguzi Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nandagala One

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
1,913
Reaction score
2,286
Wana JF Heshima kwenu.

Za kutoka jikoni kwa walio Karibu na "Mjomba" wanaeleza wazi kuwa bwana Mkubwa baada ya kuona upepo namna unavyokwenda, aneonesha nia ya kutogombea Tena Jimbo la Ruangwa.
Japokuwa watu Bado wanakumbuka kuwa alitamka siku ya "Ruangwa Marathon" mwaka wa jana,kuwa atagombea.

Ameanza maandalizi ya awali ya kutaka kumwachia mjumbe wa Bodi ya uhifadhi wa ngorongoro Bwana Bakari Nampenya Kalembo , japo mpaka sasa hajawasiliana rasmi wala kumjulisha kusudio hilo..


Hiyo inatokana kuwa na wakati ngumu kwake,kati ya kumwachia Bakari Nampenya ,au aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ambaye kwa sasa ni katibu tawala mkoa wa Dodoma , ambaye kimsingi hana jina kubwa mbele ya wana Ruangwa.

Ugumu huo unatokana na ukaribu wa wawili hao, wakati mh Majaliwa anaingia kwenye uchaguzi mdogo kufuatia kifo Cha mbunge wa zamani wa Ruangwa na jasusi Siegfried Ng'itu , Baba mzazi wa huyo Katibu Tawala alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi, ambaye alimpambania sana Mh Majaliwa kwenye Siasa za Ruangwa ambazo zilimpeleka mpaka nafasi ya uwaziri Mkuu.

Upande wa Bakari Nampenya ni mpinzani wake Mkubwa ndani ya CCM, ambaye alikuwa ana kibali Cha kukubalika sana,kuanzia Narungombe, Mbekenyera , Ruangwa mjini, kitandi mpaka Likunja.

Nampenya aliombwa atulie pembeni kwenye kura za maoni daima alipoonesha nia, na kupewa shavu la kuwa kwenye bodi ya hifadhi ya ngorongoro kama namna ya kumpoza.

Yote katika yote mh ameonekana wazi anataka kufuata nyayo za Mzee Pinda waziri mkuu Mstaafu, ambaye Sasa analima zabibu na kufuga Nyuki.

Labda yeye anaweza kujikita zaidi kwenye zao Korosho katika mashamba yake, ili awe bega kwa bega na swahiba wake Brigadier General Mstaafu Aloyce Damian Mwanjile ambaye kimsingi yupo Kijiji chienjele mashambani na Namagondo mda mwingi ndani ya tarafa ya Nandagala.

Uamuzi wake na mazingira ya upepo wa Siasa unaonekana pia kutowaacha Salama,baadhi ya watu, hasa mtia nia mtarajiwa wa CCM Jimbo la Nachingwea maarufu kama Fadhil ambaye kwake kupata Ubunge na jina lake kupita anayegemea zaidi nguvu ya PM kuliko kibali Cha Wana Nachingwea.

Hilo kama litatimia basi mh PM atapata Nafasi zaidi ya kufanya labda PhD, baada ya Masters degree ambayo ameifanya japokuwa Kuna mashaka ya kuwa ni ya kimagumashi, inahisiwa ni ya Mchongo.

Yote katika yote itakuwa ni uamuzi mzuri na wana Ruangwa Bado watashukuru kwa Mema mengi na makubwa aliofanyia jimbo la Ruangwa .

Nandagala One,
Mpumalanga -Afrika Kusini .🙏🙏
 
Wana JF Heshima kwenu.

Za kutoka jikoni kwa walio Karibu bna "Mjomba" wanaeleza wazi kuwa bwana Mkubwa baada ya kuona upepo namna unavyokwenda, aneonesha Nia ya wazi ya kutogombea Tena Jimbo la Ruangwa.
Japokuwa watu Bado wanakumbuka kuwa alitamka siku ya "Ruangwa Marathon" mwaka wa jana,kuwa atagombea.

Ameanza maandalizi ya awali ya kutaka kumwachia mjumbe wa Bodi ya uhifadhi wa ngorongoro Bwana Bakari Nampenya Kalembo , japo mpaka sasa hajawasiliana rasmi wala kumjulisha kusudio hilo..


Hiyo inatokana kuwa na wakati ngumu kwake,kati ya kumwachia Bakari Nampenya ,au aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ambaye kwa sasa ni katibu tawala mkoa wa Dodoma

Ugumu huo unatokana na ukaribu wa wawili hao, wakati mh Majaliwa anaingia kwenye uchaguzi mdogo kufuatia kifo Cha mbunge wa zamani wa Ruangwa na jasusi Siegfried Ng'itu Baba mzazi wa huyo Katibu Tawala alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi ambaye alimpambania sana Mh Majaliwa kwenye Siasa za Ruangwa ambazo zilimpeleka mpaka nafasi ya uwaziri Mkuu.

Upande wa Bakari Nampenya ni mpinzani wake Mkubwa ndani ya CCM, ambaye alikuwa ana kibali Cha kukubalika sana,kuanzia Narungombe, Mbekenyera , Ruangwa mjini, kitandi mpaka Likunja.

Nampenya aliombwa atulie pembeni kwenye kura za maoni daima alipoonesha nia, na kupewa shavu la kuwa kwenye bodi ya hifadhi ya ngorongoro kama namna ya kumpoza.

Yote katika yote mh ameonekana wazi anataka kufuata nyayo za Mzee Pinda waziri mkuu Mstaafu, ambaye Sasa analima zabibu na kufuga Nyuki.

Labda yeye anaweza kujikita zaidi kwenye zao Korosho katika mashamba yake, ili awe bega kwa bega na swahiba wa Brigadier General Mstaafu Aloyce Damian Mwanjile ambaye kimsingi yupo chienjele mashambani vijiji vya chienjele na Namagondo mda mwingi ndani ya tarafa ya Nandagala.

Uamuzi wake na mazingira ya upepo wa Siasa unaonekana pia kutowaacha Salama,baadhi ya watu, hasa mtia nia mtarajiwa wa CCM Jimbo la Nachingwea maarufu kama Fadhil ambaye kwake kupata Ubunge na jina lake kupita anayegemea zaidi nguvu ya PM kuliko kibali Cha Wana Nachingwea.

Hilo kama litatimia basi mh PM atapata Nafasi zaidi ya kufanya labda PhD, baada ya Masters degree ambayo ameifanya japokuwa Kuna mashaka ya kuwa ni ya kimagumashi, inahisiwa ni ya Mchongo.

Yote katika yote itakuwa ni uamuzi mzuri na wana Ruangwa Bado watashukuru kwa Mema mengi na makubwa aliofanyia jimbo la Ruangwa .

Nandagala One,
Mpumalanga -Afrika Kusini .🙏🙏
Nami natafuta Jimbo
 
Shida yako unaogopa kupoteza kwenye kamali.

Acha ubahili, liko wazi unafikiria kuanza kutoa bakshishi kwa wajumbe. Uoga wako ni kwamba Majaliwa akigombea unajua utoboi.

Hakuna watoto humu wasiojua motives na uoga wako wa kupoteza hela kwa wajumbe; iwapo Majaliwa atagombea.

Unakuja humu kulazimisha PM atoe msimamo, ujue mipango yako. We mvae tu kama unataka jimbo, vita mbinu.

Prisoner dilemma
 
Sioni kama majaliwa ataachia Hilo jimbo
Wana JF Heshima kwenu.

Za kutoka jikoni kwa walio Karibu na "Mjomba" wanaeleza wazi kuwa bwana Mkubwa baada ya kuona upepo namna unavyokwenda, aneonesha nia ya kutogombea Tena Jimbo la Ruangwa.
Japokuwa watu Bado wanakumbuka kuwa alitamka siku ya "Ruangwa Marathon" mwaka wa jana,kuwa atagombea.

Ameanza maandalizi ya awali ya kutaka kumwachia mjumbe wa Bodi ya uhifadhi wa ngorongoro Bwana Bakari Nampenya Kalembo , japo mpaka sasa hajawasiliana rasmi wala kumjulisha kusudio hilo..


Hiyo inatokana kuwa na wakati ngumu kwake,kati ya kumwachia Bakari Nampenya ,au aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ambaye kwa sasa ni katibu tawala mkoa wa Dodoma , ambaye kimsingi hana jina kubwa mbele ya wana Ruangwa.

Ugumu huo unatokana na ukaribu wa wawili hao, wakati mh Majaliwa anaingia kwenye uchaguzi mdogo kufuatia kifo Cha mbunge wa zamani wa Ruangwa na jasusi Siegfried Ng'itu , Baba mzazi wa huyo Katibu Tawala alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi, ambaye alimpambania sana Mh Majaliwa kwenye Siasa za Ruangwa ambazo zilimpeleka mpaka nafasi ya uwaziri Mkuu.

Upande wa Bakari Nampenya ni mpinzani wake Mkubwa ndani ya CCM, ambaye alikuwa ana kibali Cha kukubalika sana,kuanzia Narungombe, Mbekenyera , Ruangwa mjini, kitandi mpaka Likunja.

Nampenya aliombwa atulie pembeni kwenye kura za maoni daima alipoonesha nia, na kupewa shavu la kuwa kwenye bodi ya hifadhi ya ngorongoro kama namna ya kumpoza.

Yote katika yote mh ameonekana wazi anataka kufuata nyayo za Mzee Pinda waziri mkuu Mstaafu, ambaye Sasa analima zabibu na kufuga Nyuki.

Labda yeye anaweza kujikita zaidi kwenye zao Korosho katika mashamba yake, ili awe bega kwa bega na swahiba wake Brigadier General Mstaafu Aloyce Damian Mwanjile ambaye kimsingi yupo Kijiji chienjele mashambani na Namagondo mda mwingi ndani ya tarafa ya Nandagala.

Uamuzi wake na mazingira ya upepo wa Siasa unaonekana pia kutowaacha Salama,baadhi ya watu, hasa mtia nia mtarajiwa wa CCM Jimbo la Nachingwea maarufu kama Fadhil ambaye kwake kupata Ubunge na jina lake kupita anayegemea zaidi nguvu ya PM kuliko kibali Cha Wana Nachingwea.

Hilo kama litatimia basi mh PM atapata Nafasi zaidi ya kufanya labda PhD, baada ya Masters degree ambayo ameifanya japokuwa Kuna mashaka ya kuwa ni ya kimagumashi, inahisiwa ni ya Mchongo.

Yote katika yote itakuwa ni uamuzi mzuri na wana Ruangwa Bado watashukuru kwa Mema mengi na makubwa aliofanyia jimbo la Ruangwa .

Nandagala One,
Mpumalanga -Afrika Kusini .🙏🙏
 
Unaripoti habari za Ruangwa ukiwa South Africa, hizi ni hisia zako tu ukweli bado kujulikana
 
Wana JF Heshima kwenu.

Za kutoka jikoni kwa walio Karibu na "Mjomba" wanaeleza wazi kuwa bwana Mkubwa baada ya kuona upepo namna unavyokwenda, aneonesha nia ya kutogombea Tena Jimbo la Ruangwa.
Japokuwa watu Bado wanakumbuka kuwa alitamka siku ya "Ruangwa Marathon" mwaka wa jana,kuwa atagombea.

Ameanza maandalizi ya awali ya kutaka kumwachia mjumbe wa Bodi ya uhifadhi wa ngorongoro Bwana Bakari Nampenya Kalembo , japo mpaka sasa hajawasiliana rasmi wala kumjulisha kusudio hilo..


Hiyo inatokana kuwa na wakati ngumu kwake,kati ya kumwachia Bakari Nampenya ,au aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ambaye kwa sasa ni katibu tawala mkoa wa Dodoma , ambaye kimsingi hana jina kubwa mbele ya wana Ruangwa.

Ugumu huo unatokana na ukaribu wa wawili hao, wakati mh Majaliwa anaingia kwenye uchaguzi mdogo kufuatia kifo Cha mbunge wa zamani wa Ruangwa na jasusi Siegfried Ng'itu , Baba mzazi wa huyo Katibu Tawala alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi, ambaye alimpambania sana Mh Majaliwa kwenye Siasa za Ruangwa ambazo zilimpeleka mpaka nafasi ya uwaziri Mkuu.

Upande wa Bakari Nampenya ni mpinzani wake Mkubwa ndani ya CCM, ambaye alikuwa ana kibali Cha kukubalika sana,kuanzia Narungombe, Mbekenyera , Ruangwa mjini, kitandi mpaka Likunja.

Nampenya aliombwa atulie pembeni kwenye kura za maoni daima alipoonesha nia, na kupewa shavu la kuwa kwenye bodi ya hifadhi ya ngorongoro kama namna ya kumpoza.

Yote katika yote mh ameonekana wazi anataka kufuata nyayo za Mzee Pinda waziri mkuu Mstaafu, ambaye Sasa analima zabibu na kufuga Nyuki.

Labda yeye anaweza kujikita zaidi kwenye zao Korosho katika mashamba yake, ili awe bega kwa bega na swahiba wake Brigadier General Mstaafu Aloyce Damian Mwanjile ambaye kimsingi yupo Kijiji chienjele mashambani na Namagondo mda mwingi ndani ya tarafa ya Nandagala.

Uamuzi wake na mazingira ya upepo wa Siasa unaonekana pia kutowaacha Salama,baadhi ya watu, hasa mtia nia mtarajiwa wa CCM Jimbo la Nachingwea maarufu kama Fadhil ambaye kwake kupata Ubunge na jina lake kupita anayegemea zaidi nguvu ya PM kuliko kibali Cha Wana Nachingwea.

Hilo kama litatimia basi mh PM atapata Nafasi zaidi ya kufanya labda PhD, baada ya Masters degree ambayo ameifanya japokuwa Kuna mashaka ya kuwa ni ya kimagumashi, inahisiwa ni ya Mchongo.

Yote katika yote itakuwa ni uamuzi mzuri na wana Ruangwa Bado watashukuru kwa Mema mengi na makubwa aliofanyia jimbo la Ruangwa .

Nandagala One,
Mpumalanga -Afrika Kusini .🙏🙏
Mbona mabiashara yao makubwamakubwa kama mahotel ya kifahari,makampuni ya magari,migodi n.k huwa hamuitaji? Huwa mnaficha nini
 
2025 RUANGWA tunaenda na MAJALIWA tu na si vinginevyo
Hizo ngonjera zako kwa sasa weka kando nitaamini siku akisema mwenyewe au ikitangazwa rasmi nikaona hayumo
 
2025 RUANGWA tunaenda na MAJALIWA tu na si vinginevyo
Hizo ngonjera zako kwa sasa weka kando nitaamini siku akisema mwenyewe au ikitangazwa rasmi nikaona hayumo
Unaenda naye wapi ?? 🤔🤔 Aende akawe mbunge wa kawaida bungeni??
Wewe unachekesha sana.
 
Majaliwa bado ni kinda mno kustaafu. Labda tumsikilize Mzee Wasira anaweza kuwa na maoni tofauti kuhusu hili suala.
 
Mbona mabiashara yao makubwamakubwa kama mahotel ya kifahari,makampuni ya magari,migodi n.k huwa hamuitaji? Huwa mnaficha nini
Sio lazima kusema yote,wewe mjuvi umeleta unachofahamu, mimi Sina taarifa juu ya hayo uliyoyatana, najua zaidi juu ya mashamba ya mikorosho.
 
Unaripoti habari za Ruangwa ukiwa South Africa, hizi ni hisia zako tu ukweli bado kujulikana
Dunia ni Kijiji Cha ujamaa ,ipo kiganjani, labda hujui kwa vile unaishi kwenye sayari nyingine!!
 
Uandishi wako inaonesha dhahiri unamtishia nyau PM ! Umetumwa!
PM hawezi kutishiwa, wewe itakuwa umezoea kutumwa kwahiyo unahisi kuwa Post hii ni ya kutumwa, nimepita level za kutumika!! Pole sana
 
Back
Top Bottom