Pre GE2025 Bakari Nampenya Kalembo anafaa kuwa Mrithi wa Kassimu Majaliwa Ruangwa Ruangwa 2025 Uchaguzi Mkuu

Pre GE2025 Bakari Nampenya Kalembo anafaa kuwa Mrithi wa Kassimu Majaliwa Ruangwa Ruangwa 2025 Uchaguzi Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shida yako unaogopa kupoteza kwenye kamali.

Acha ubahili, liko wazi unafikiria kuanza kutoa bakshishi kwa wajumbe. Uoga wako ni kwamba Majaliwa akigombea unajua utoboi.

Hakuna watoto humu wasiojua motives na uoga wako wa kupoteza hela kwa wajumbe; iwapo Majaliwa atagombea.

Unakuja humu kulazimisha PM atoe msimamo, ujue mipango yako. We mvae tu kama unataka jimbo, vita mbinu.

Prisoner dilemma
Sijawahi kuwa na Nia wala kufikiria kuingia kwenye siasa, kwa nafasi iwayo yoyote ile na mahali popote katika nchi hii.
Siwezi kumlazimisha atoe tamko na Sina sababu.

Nimekupa za jikoni,chin ya carpet, hutaki unaacha.
 
Kwann unahisi upepo unavuma vibaya kwake?
Huo ndo ukweli unganisha dot ..kupelekewa naibu PM, Naibu kutumika kwenye platform za kimataifa, pm akiwa bench,mfano mkutano wa nishati uliokutanisha Marais zaidi ya 25.

Yeye yupo Bungeni, Dotto yupo mkutanoni,ile clear indicator kuwa upepo unavuma vibaya.
 
Back
Top Bottom