Wakifa wafufuke, wakifufuka wapate ajali wafe tena, miili yao iliwe na simba au mbweha, kisha kinyesi cha hao wanyama kizolewe na maji hadi baharini.Sisi walalahoi tunapigika na tozo za miamala, kesi za kigaidi na kodi ya nyumba kwenye luku.
CCM walaaniwe milele.
Unafikiri ana shobo ya kuwaita wachangiaji wa kujitolea wa forbes toka south africa awasafirishe awahonge wamuandike yeye ndo tajiri namba moja nchi hii kama anavyofanya naniliu?Duh halafu wale jamaa hawamtabui kwenye orodha yao🥸
Lol gaidi wetu ni mlala hoi?Sisi walalahoi tunapigika na tozo za miamala, kesi za kigaidi na kodi ya nyumba kwenye luku.
CCM walaaniwe milele.
Takuwa hela za majini😅Duh halafu wale jamaa hawamtabui kwenye orodha yao🥸
Mapato ya covid19 chanjo, ndiyo maana gwajigirl zimendatishaKupitia ukurasa wake wa Twitter mjukuu wa Bakhresa ametupia gari mpya aina ya Porsche aliyopatiwa na babu yake kama zawadi ya birthday.
Haya yametokea wakati kuna mabilionea wamesuasua kujinunulia kagari kama haka kwa bethidei kisa mapenzi ya timu ya mpira.View attachment 1900268View attachment 1900269
Wewe mbona husimamii mali za familia yako?Kuna tofauti kubwa kati ya tajiri na msimamizi wa mali za familia