The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Safi sana , Kudos
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi walalahoi tunapigika na tozo za miamala, kesi za kigaidi na kodi ya nyumba kwenye luku.
CCM walaaniwe milele.
Na chanjo juu😀Sisi walalahoi tunapigika na tozo za miamala, kesi za kigaidi na kodi ya nyumba kwenye luku.
CCM walaaniwe milele.
😁😁😁Kuna tofauti kubwa kati ya tajiri na msimamizi wa mali za familia
'Firimason' hao 😀Takuwa hela za majini😅
Chawa wa SSB amekuona utanunuliwa na wewe hata VitzKumbe tuna birthday moja na huyo mjukuu
Dah! Pole sanaNinakumbuka birthday yangu moja tulipika wali ná kabichi hii ilikua chakula special na zawadi ya birthday girl.
Ccm walaaniwe kwa kipi ilhali fursa ya kutafuta na kutengeneza maisha mazuri ipo kila sehemu ya nchi ipo kila sekta ktk nchi hii,, iwe kilimo, ufugaji, biashara!!Sisi walalahoi tunapigika na tozo za miamala, kesi za kigaidi na kodi ya nyumba kwenye luku.
CCM walaaniwe milele.
Aiseee, noma sana [emoji119]Ndiyo alafu pembeni upande wa pili ni Mercedes Amg G63 G Wagon Brabus
Anaejua account ya Bakhresa ya mitandao ya kijamii anisaidie