Huyu Jamaa jiwe kweli.
Kwani hujui bakhresa kwamba amewekeza Rwanda miaka mingi?
Pia suala la kupunguza wafanyakazi pia linaendana na Technology.
Technology ikiongezeka ndio mjue na ajira zitapungua tu kwa nyie mnaopenda kuajiriwa.
Tambua kwamba Kiwanda Cha Maziwa Zanzibar ni kiwanda bora Ukanda wa Africa Mashariki,lakini wafanyakazi wake ni wachache mno kutokana na kwamba seheme nyingi sana na mfumo wa kiwanda ni wakujiendesha wenyewe.Ukienda pale unatashangaa teknolojia inatotumika pale.
Idadi ya watu wa Rwanda ni wachache sana,na lazima ujue wanahitaji soko gani
Tambua kwamba Bakhresa sio Njaa kali kama wewe,Team ya AZAM FC mfano ni kwamba pale yeye hapati chochote,anatoa mamilioni kwenye Ligi kuu kwa kila team.Sasa angekuwa mtu mwingine si angeachilia mbali tu.
Bado anaendesha kwa faida,tena sana,Kama umetoka Mkoani nakuhamia Dar umemjua Bakhresa juzi basi funga kopo ukae kimyaa,ujambe ulale.
Halafu wafanyakazi 150 kwa wafanyakazi ailioajiri bakhresa ni sawa na kapunguza tone la maji kutoka kwenye Bahari.