Tetesi: Bakhresa kuhamia Rwanda

Tetesi: Bakhresa kuhamia Rwanda

Kama anafikiri kuhamishia Rwanda ndio atakwepa kodi asahau kabisa, Kagame hana simile na wakwepa kodi.
Kwa kifupi.
Kampuni ya Bakhesa ipo ktk nchi zifuatazo.
Uganda
Burundi
Mozambique
South Africa
Zimbabwe
Rwanda
Tanzania
f546325b-335f-4cc3-cb7f-c9636ef00a29.jpg

South
bgm-r.jpg

Rwanda
BHAKRESSA.jpg

Zimbabwe
05-C91036-30.000-T-2010-Mozambique-Nacala-Aircraft-Bakhresa.jpg

Nacala Mozambique.
 
ila kijamaa kwenye pesa hakinaga utani..
nafuu ubake haki uingie madarakani kwa nguvu kwake si issue,au ufoji hati ya mahakama hilo ni jambo la kawaida kwake.
 
Bila shaka wewe ni kati ya wanaopaswa kunufaika na elimu ya bure. Uhamishe kiwanda Tanzania upeleke Rwanda (yenye idadi ya watu sawa na wilaya ya kinondoni!) Kuanzisha kiwanda inategemea upatikanaji wa wateja, malighafi, urahisi wa nguvu kazi n.k jiulize Rwanda wana sifa zipi kuishinda Tanzania?

Amekuambia hakuna kodi kama huku.

Yawezekana amefanya upembuzi akaona akiwa Rwanda itamlipa zaidi.
 
1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la
Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka
na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania.

2A. Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais
aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo
kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la
Wawakilishi. ................

Soma Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Swadakta! Weka ramani tu faidi mipaka ya bahari ya jamhuri ya watu wa Zanzibar. Haki! Haki sawa kwa wote.
 
Baada zoezi la kupunguza wafanyakani takribani 150. miezi miwili iliyopita ili kuendana na gharama za uendeshaji wa kiwanda cha maji ya matunda.

Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.
Bawacha kwanini mna mchukia huyu mzee...uongo mtaacha lini?
 
Baada zoezi la kupunguza wafanyakani takribani 150. miezi miwili iliyopita ili kuendana na gharama za uendeshaji wa kiwanda cha maji ya matunda.

Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.
Alafu atakua hauzi Tanzania? si atakutana tena na foleni la mikodi akijaribu kuimport hizo bidhaa zake?
 
Bila shaka wewe ni kati ya wanaopaswa kunufaika na elimu ya bure. Uhamishe kiwanda Tanzania upeleke Rwanda (yenye idadi ya watu sawa na wilaya ya kinondoni!) Kuanzisha kiwanda inategemea upatikanaji wa wateja, malighafi, urahisi wa nguvu kazi n.k jiulize Rwanda wana sifa zipi kuishinda Tanzania?
Kinondoni ina watu wangapi? Rwanda population ni 11M+
 
Huyu Jamaa jiwe kweli.
Kwani hujui bakhresa kwamba amewekeza Rwanda miaka mingi?
Pia suala la kupunguza wafanyakazi pia linaendana na Technology.
Technology ikiongezeka ndio mjue na ajira zitapungua tu kwa nyie mnaopenda kuajiriwa.


Tambua kwamba Kiwanda Cha Maziwa Zanzibar ni kiwanda bora Ukanda wa Africa Mashariki,lakini wafanyakazi wake ni wachache mno kutokana na kwamba seheme nyingi sana na mfumo wa kiwanda ni wakujiendesha wenyewe.Ukienda pale unatashangaa teknolojia inatotumika pale.
Idadi ya watu wa Rwanda ni wachache sana,na lazima ujue wanahitaji soko gani
Tambua kwamba Bakhresa sio Njaa kali kama wewe,Team ya AZAM FC mfano ni kwamba pale yeye hapati chochote,anatoa mamilioni kwenye Ligi kuu kwa kila team.Sasa angekuwa mtu mwingine si angeachilia mbali tu.
Bado anaendesha kwa faida,tena sana,Kama umetoka Mkoani nakuhamia Dar umemjua Bakhresa juzi basi funga kopo ukae kimyaa,ujambe ulale.
Halafu wafanyakazi 150 kwa wafanyakazi ailioajiri bakhresa ni sawa na kapunguza tone la maji kutoka kwenye Bahari.

Kwa hiyo ajmbe akalale kisa hamjui Bakhresa sana,tuna safari ndefu kufikia maendeleo daaah.
 
Bila shaka wewe ni kati ya wanaopaswa kunufaika na elimu ya bure. Uhamishe kiwanda Tanzania upeleke Rwanda (yenye idadi ya watu sawa na wilaya ya kinondoni!) Kuanzisha kiwanda inategemea upatikanaji wa wateja, malighafi, urahisi wa nguvu kazi n.k jiulize Rwanda wana sifa zipi kuishinda Tanzania?
Mkuu Rwanda kwa sasa inawatu million 12
 
AZAM hapa ndo nyumbani hana namna ya kukimbia we fikiria aiache kabisa Tanzania wa watu wake wanaopenda vitu vyake (bei nafuu) eti akaji-establish Rwanda.
 
Uongo mtupu.

Bakhresa hajawahi kuwa mkwepa kodi. Kinyume chake, Bakhresa ameshawahi kuwa mlipa kodi namba moja Tanzania.

Ikiwa ni uwekezaji nje ya nchi, pitia tovuti yao uone Bakhresa ameshawekeza viwanda nchi ngapi za Afrika. Mbali ya uwekezaji wa Duniani huko.

Wacha ufataani usio na mpango.
Mlipa kodi namba moja mwaka upi?hata top 10 hayupo huyu na wazalendo wenzake wote.
 
Bila shaka wewe ni kati ya wanaopaswa kunufaika na elimu ya bure. Uhamishe kiwanda Tanzania upeleke Rwanda (yenye idadi ya watu sawa na wilaya ya kinondoni!) Kuanzisha kiwanda inategemea upatikanaji wa wateja, malighafi, urahisi wa nguvu kazi n.k jiulize Rwanda wana sifa zipi kuishinda Tanzania?
Mkuu, una maana Rwanda hakuna kiwanda ambacho hakipo Tanzania?
 
Baada zoezi la kupunguza wafanyakani takribani 150. miezi miwili iliyopita ili kuendana na gharama za uendeshaji wa kiwanda cha maji ya matunda.

Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.
Rwanda ndio kuna ukwepaji kodi?
Rwanda kuna matunda gani ya kufungulia kiwanda?
 
Auze huko huko.., akileta huku tz tunamtandika kodi Kama sheria inavyotaka.
 
Uongo mtupu.

Bakhresa hajawahi kuwa mkwepa kodi. Kinyume chake, Bakhresa ameshawahi kuwa mlipa kodi namba moja Tanzania.

Ikiwa ni uwekezaji nje ya nchi, pitia tovuti yao uone Bakhresa ameshawekeza viwanda nchi ngapi za Afrika. Mbali ya uwekezaji wa Duniani huko.

Wacha ufataani usio na mpango.
mbona unalia lia
 
Back
Top Bottom