Baada zoezi la kupunguza wafanyakani takribani 150. miezi miwili iliyopita ili kuendana na gharama za uendeshaji wa kiwanda cha maji ya matunda.
Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.
Sorry bi mkubwa naomba maana ya ufataani...! Mimi kiswahili sikijui vizuri.!Uongo mtupu.
Bakhresa hajawahi kuwa mkwepa kodi. Kinyume chake, Bakhresa ameshawahi kuwa mlipa kodi namba moja Tanzania.
Ikiwa ni uwekezaji nje ya nchi, pitia tovuti yao uone Bakhresa ameshawekeza viwanda nchi ngapi za Afrika. Mbali ya uwekezaji wa Duniani huko.
Wacha ufataani usio na mpango.
Baada zoezi la kupunguza wafanyakani takribani 150. miezi miwili iliyopita ili kuendana na gharama za uendeshaji wa kiwanda cha maji ya matunda.
Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.
Kwani hicho kiwanda ndio kimeanza leo hadi kielemewe na kodi,kwa maana kodi ni zile zile zilizokuwepo tangia zamani sema tu kama hapo nyuma alikuwa haelemewi nakodikwa kuwa alikuwa halipi na sasa ni ''ukinunua ....dai risiti''.kwa Kagame hakuna kukwepa kodi au kufanya biashara kiujanja ujanja.Baada zoezi la kupunguza wafanyakani takribani 150. miezi miwili iliyopita ili kuendana na gharama za uendeshaji wa kiwanda cha maji ya matunda.
Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.
acha kujibagua bibie, mbaguliwe kwa lipi mlilo nalo shostiNnaona unanisoma kwa uoga.
Huu ubaguzi wenu hautustui hata chembe.
Vipi Mengi, hahami?
Sioi bado hajaachwa? Mkwewe kashindwa kumnyofoa?
Watu wanakwepa kama kawaHii serikali siyo rafiki kwa wakwepa kodi!
Ulaji wa urojo hauwezi Fanya nchi yenu kuwa nchi..Soma katiba ya Zanzibar utagundua kuwa zenji ni nchi yenye bendera, wimbo nk.
Kwani wewe hukumbuki walivyomkomalia Mzee Pinda, pale alipokanusha bungeni kuwa si nchi?
Baada zoezi la kupunguza wafanyakani takribani 150. miezi miwili iliyopita ili kuendana na gharama za uendeshaji wa kiwanda cha maji ya matunda.
Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.
Nnaona=NinaonaNnaona unanisoma kwa uoga.
Huu ubaguzi wenu hautustui hata chembe.
Vipi Mengi, hahami?
Sioi bado hajaachwa? Mkwewe kashindwa kumnyofoa?
Short and very precisely clear! Bravo!Hii serikali siyo rafiki kwa wakwepa kodi!