Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Waafrika kujifanya tunaijua dini zaidi ya muarabu,SSB huyo kiasili ni muarabu na ndio mwenye asili na dini bado unataka kumfundisha🙄?,Hahhah haya huko Saudia ambako quruan imeanzia si ndio wanaongoza kwa kununua wachezaji bei ghali,acha kuwa mtumwa wa fikra wewe
 
Biiashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Unajua Muddy nayeye alikuwa anafanya mambo ya haramu mengi sana sema tuu alikuwa anamsingizia mungu wake wa kutunga "Allah" kwamba amemruhusu kufanya hayo mambo

-Kumuoa mkwe wake(zaynab)
-Kufanya mapenzi na female captives(Saffiyah)
-Kuoa wanawake wengi, idadi mara nne ya wanawake aliyowaruhusu wenzake kuoa
-kukataa kwamba wake zake wasiolewe yeye akifa, wakati yeye alikuwa anaoa wake wa wenzake wakifa
-kufanya mapenzi na wanyama
-kuua waandika mashairi waliokuwa wakimkosoa(Asma Bint Marwan)
Na mengineyo mengi....

My your business.
Mwache mzee wa watu atafute riziki.
Huyo mungu anaye kuongoza kuchukia binadamu wenzako sio mungu, hakuna mungu wa namna hio, "allah the moon good" ni mmoja kati ya miungu hewa 360 iliyokuwepo pale Mecca kipindi cha muddy.


We ushawahi hata kununua tofali la msikiti?
 
Wenye dini yao wenyewe wameongeza thamani ya soka lao kwa kuamua kujenga viwanja vingi vya kisasa na kununua na kuwalipa wachezaji hela ndefu kuliko ligi yoyote ile. Halafu wewe wa Tandika Kaburi moja unataka kuwafundisha jinsi ya kupata thawabu? Kuna thawabu mzuri kuliko kuishi maisha mazuri yasiyoumiza wengine? Uliambiea kuingia Msikitini ndiyo kwenda Mbinguni?
Kama unakiri amejenga Msikiti na bado unaina kuna uhitaji, kwanini hiyo inayopelea usienda kuijenga wewe? Biashara za Bakhresa zina thamani na thawabu kubwa kuliko misikiti aliyoijenga. Unajua ni Familia ngapi anaziendesha?
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai.Biiashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Uharumu wa biashara ni kwasababu wewe hauna? Au unatumia kigezo kipi kuiita biashara halali ya wenzako kuwa ni haram?
 
Nachukia sana jitu masikini linalomuonea wivu mtu aliyefanikiwa kama hili litoa mada yaani bakhresa angekua fukara lenyewe ndio lingekua na furaha majitu kama haya ndio huwa yanafikiri matajiri ndio wameyasababishia umasikini
 
Dini zingine ni uchizi sio bure
 
Itoshe tu kusema, hili bandiko limeandikwa na mtu aliyejaa husda na mawazo ya kimasikini.
 

imhotep kutana na wale mabingwa wa shauri zllizowashinda wao. 🤣
 
Kabla hujamtusi mzee Bakhresa jiulize Mzee bakhresa anaajiri wangapi? Ukipata jibu jiulize anachangia kiasi gani kwenye pato la taifa?
HALAFU umeshiba mihogo huko mbande unakuja kumnanga mzee wa watu?
FANYA YAKO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…