Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu.Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate.Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.
Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki,Korea na kwengineko.
Unawanyonya sana akinamama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio.Na kwa upande wa akinababa unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.
Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone.Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima,basi wanaingia msikiti ni wachache sana.
Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai.Biiashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,

Mzee ameacha kila mtu aamue nini atafanya na nafsi yake. Yeye hajalazimisha mtu. Kwanini kumuhukumu? Mpira unaenda mwenyewe banda umza halafu dhambi apate yeye. Haipo hivyo. Kila mtu anabeba furushi lake
 
Kupanga ni kuchagua, mwana kulitafuta mwanakulipata, maana yake kuwa Washa TV angalia vipindi vya dini usiangalie Mpira kama vile ulivyonunua Bando la Internet na kuja hapa JF na hukwenda kwenye site za ngono. Lakini kumbuka asili ya bando ulilonunua ni kutoka katika Taifa kubwa linaloendesha vita duniani, umewachangia kuendeleza shughuli hiyo.
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu.Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate.Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.
Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki,Korea na kwengineko.
Unawanyonya sana akinamama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio.Na kwa upande wa akinababa unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.
Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone.Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima,basi wanaingia msikiti ni wachache sana.
Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai.Biiashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Waislamu wahafidhina wa aina yako mara nyingi wana hulka ya uvivu, na utawakuta muda wote wanashinda misikitini huku wakiwa wamevaa kanzu na kufuga ndevu nyingi!! Wanajifanya eti wanaswali na kumtumikia Allah!! Kumbe ni uvivu tu.

Mara nyingi hujikuta wameoa wanawake wengi kutokana na kujifanya kwao ni waswahilina, halafu mwisho wa siku wakishindwa kuwapatia mahitaji muhimu hao wake zao, oamoja na watoto lukuki wanao wazaa na hao wanawake walio wapata kupitia huo uswahilina wao.

Sheikh, badilika! Dunia inakimbia. Acha kuishi kwa mazoea. Wale ndugu zenu wa Uarabuni wanamiliki visima vya mafuta! Jiulize wewe hapo ulipo unamiliki nini! Ndiyo utakuja kugundua njia uliyo ichagua siyo sahihi, na hivyo Bahressa yuko sahihi. Tafuta hela Sheikh ili watoto wako wajivunie mafanikio yako.
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima,basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai.Biiashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Mforwadie na Faiza Foxy hii na The Boss, Malaria
 
Unajua Muddy nayeye alikuwa anafanya mambo ya haramu mengi sana sema tuu alikuwa anamsingizia mungu wake wa kutunga "Allah" kwamba amemruhusu kufanya hayo mambo

-Kumuoa mkwe wake(zaynab)
-Kufanya mapenzi na female captives(Saffiyah)
-Kuoa wanawake wengi, idadi mara nne ya wanawake aliyowaruhusu wenzake kuoa
-kukataa kwamba wake zake wasiolewe yeye akifa, wakati yeye alikuwa anaoa wake wa wenzake wakifa
-kufanya mapenzi na wanyama
-kuua waandika mashairi waliokuwa wakimkosoa(Asma Bint Marwan)
Na mengineyo mengi....

My your business.
Mwache mzee wa watu atafute riziki.
Huyo mungu anaye kuongoza kuchukia binadamu wenzako sio mungu, hakuna mungu wa namna hio, "allah the moon good" ni mmoja kati ya miungu hewa 360 iliyokuwepo pale Mecca kipindi cha muddy.


We ushawahi hata kununua tofali la msikiti?
Finally, someone who has read the history of the bandit-turned prophet, warlord Mohammad.
Mmoja ya watu wa hovyo zaidi kuwahi kuwa na influence.
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Kwa hiyo anachofanya yeye hafati Quran na sunna. Na wewe kwa upande wako maisha yako yote ni kwa mujibu wa Quran na sunna.
Kwanini nikeamdika hays. Ni kwasababu asiye na hili ana lile
 
Back
Top Bottom