mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Jamaa anatafuta vi story vya kumpa faraja kwa maana msimu huu timu yake inampa presha tupu, usimtukane, anaitaji msaada wa kisaikolojiaUshakua kama mbwa koko unaokoteza vistory visivyo na miguu wala kichwa
Vipi tena mwanangu. Bakuli liendelee lisiendelee!?Ushakua kama mbwa koko unaokoteza vistory visivyo na miguu wala kichwa
Hivi Yanga ikitembeza bakuli si ndio faraja yako wewe mwanasimba? Mbona wewe ndio unaoteseka na Yanga kutembeza bakuliUjenzi wa uwanja wa simba ni Public Issue lakini mchango ni private issue. Ninaogopa kuweka muamala niliotuma hapa hamkawii kutembezea bakuli watu.
Au wewe hupendi bakuli la yanga!?
Nchi ipo uchumi wa kati. Mnaidhalilisha nchi yetu. Ache u omba omba.Hivi Yanga ikitembeza bakuli si ndio faraja yako wewe mwanasimba? Mbona wewe ndio unaoteseka na Yanga kutembeza bakuli
Mzee katika karne hii unauliza Simba inazalisha nini. Nenda pale mtaa wa msimbazi kariakoo kuna majumba yanayo iingizia simba mapato. Au unataka nikupatie somo!?Wote ombaomba tu Simba mnazalisha nini kama si Mafuta ya kupikia na sabuni za Mo akiwachunia mnasambaratika tu.
Mpaka ligi iishe tutaona mengi.Sasahivi wameanza kuchezesha match za mchangani ili wapate chochote kwa ajili ya kuhudumia timu.. (mbuni FC vs yanga)
Inaonekana vipigo inayvotoa Yanga uwanjani kwa timu pinzani vinakusononesha sana, kachangie uwanja huko ili upunguze malalamiko yako ya ubovu wa viwanjaNchi ipo uchumi wa kati. Mnaidhalilisha nchi yetu. Ache u omba omba.
Lengo la hizi nyuzi zako leo ni kutaka tu kujifariji, au ndiyo kutaka kujisahaulisha na majanga mnayopitia, huku mkiwa na Kocha wa Kimataifa kutoka Real Madrid?
Wasemavyo hahenga, masikini hasemwi na mwenye njaa hasutwi.
Leo napenda kuongelea tabia ya timu ya yanga kuwa ombaomba huku wakitembeza bakuli wachangiwe, bado lipo palepale.
Sasa limebadilishwa, linakuja kwa jina la kuchangia 29,000 kwa kila mwanachama. Hii ni dalili tosha kuonesha ukata mkubwa ulio ndani ya timu ya Yanga.
Kwa mawazo yangu GSM wameona hawa yanga hawana ubavu wa kutangaza bidhaa zao za magodoro, wameona wapige kolabo na timu zongine kama Azam fc, Namungo FC nk.
Kusema kweli tangu nizaliwe sijawahi kuona timu inadhaminia na kampuni inayojishughulisha na uuzaji wa magodoro. Kama kuna mtu hapa anyoshe kidole anitajie timu nyingine tofauti na hizi za hapa Tanzania mdhamini wake anauza magodoro.
Tabia ya kuomba omba imekuwa ni jadi ya yanga, kwa sasa wamekuja na kisingizio cha kujiunga. Uanachama gani wa sh. 29,000? Hili ni bakuli la kisasa. Wameshindwa kutengeneza pesa kupitia magodoro sasa wameanza kuwanyanyasa watanzania
Yangu ni hayo tu.
Kwahyo Yanga haina pesa badae tusisiskie Yanga eti ananunua mechi
Wasemavyo hahenga, masikini hasemwi na mwenye njaa hasutwi.
Leo napenda kuongelea tabia ya timu ya yanga kuwa ombaomba huku wakitembeza bakuli wachangiwe, bado lipo palepale.
Sasa limebadilishwa, linakuja kwa jina la kuchangia 29,000 kwa kila mwanachama. Hii ni dalili tosha kuonesha ukata mkubwa ulio ndani ya timu ya Yanga.
Kwa mawazo yangu GSM wameona hawa yanga hawana ubavu wa kutangaza bidhaa zao za magodoro, wameona wapige kolabo na timu zongine kama Azam fc, Namungo FC nk.
Kusema kweli tangu nizaliwe sijawahi kuona timu inadhaminia na kampuni inayojishughulisha na uuzaji wa magodoro. Kama kuna mtu hapa anyoshe kidole anitajie timu nyingine tofauti na hizi za hapa Tanzania mdhamini wake anauza magodoro.
Tabia ya kuomba omba imekuwa ni jadi ya yanga, kwa sasa wamekuja na kisingizio cha kujiunga. Uanachama gani wa sh. 29,000? Hili ni bakuli la kisasa. Wameshindwa kutengeneza pesa kupitia magodoro sasa wameanza kuwanyanyasa watanzania
Yangu ni hayo tu.
Hapa tunaongelea bakuli.Lengo la hizi nyuzi zako leo ni kutaka tu kujifariji, au ndiyo kutaka kujisahaulisha na majanga mnayopitia, huku mkiwa na Kocha wa Kimataifa kutoka Real Madrid?
Hivi unapata wapi nguvu ya kuijadili timu ambayo tangu ianze ligi, haijafungwa hata mechi moja! Na wakati huo huo ikiwa inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 10!