Bakuli la Yanga lipo pale pale

Bakuli la Yanga lipo pale pale

Ujenzi wa uwanja wa simba ni Public Issue lakini mchango ni private issue. Ninaogopa kuweka muamala niliotuma hapa hamkawii kutembezea bakuli watu.

Au wewe hupendi bakuli la yanga!?
Hivi Yanga ikitembeza bakuli si ndio faraja yako wewe mwanasimba? Mbona wewe ndio unaoteseka na Yanga kutembeza bakuli
 
Wote ombaomba tu Simba mnazalisha nini kama si Mafuta ya kupikia na sabuni za Mo akiwachunia mnasambaratika tu.
 
Wote ombaomba tu Simba mnazalisha nini kama si Mafuta ya kupikia na sabuni za Mo akiwachunia mnasambaratika tu.
Mzee katika karne hii unauliza Simba inazalisha nini. Nenda pale mtaa wa msimbazi kariakoo kuna majumba yanayo iingizia simba mapato. Au unataka nikupatie somo!?
 
Sasahivi wameanza kuchezesha match za mchangani ili wapate chochote kwa ajili ya kuhudumia timu.. (mbuni FC vs yanga)
 
Nchi ipo uchumi wa kati. Mnaidhalilisha nchi yetu. Ache u omba omba.
Inaonekana vipigo inayvotoa Yanga uwanjani kwa timu pinzani vinakusononesha sana, kachangie uwanja huko ili upunguze malalamiko yako ya ubovu wa viwanja
 

Wasemavyo hahenga, masikini hasemwi na mwenye njaa hasutwi.

Leo napenda kuongelea tabia ya timu ya yanga kuwa ombaomba huku wakitembeza bakuli wachangiwe, bado lipo palepale.

Sasa limebadilishwa, linakuja kwa jina la kuchangia 29,000 kwa kila mwanachama. Hii ni dalili tosha kuonesha ukata mkubwa ulio ndani ya timu ya Yanga.

Kwa mawazo yangu GSM wameona hawa yanga hawana ubavu wa kutangaza bidhaa zao za magodoro, wameona wapige kolabo na timu zongine kama Azam fc, Namungo FC nk.

Kusema kweli tangu nizaliwe sijawahi kuona timu inadhaminia na kampuni inayojishughulisha na uuzaji wa magodoro. Kama kuna mtu hapa anyoshe kidole anitajie timu nyingine tofauti na hizi za hapa Tanzania mdhamini wake anauza magodoro.

Tabia ya kuomba omba imekuwa ni jadi ya yanga, kwa sasa wamekuja na kisingizio cha kujiunga. Uanachama gani wa sh. 29,000? Hili ni bakuli la kisasa. Wameshindwa kutengeneza pesa kupitia magodoro sasa wameanza kuwanyanyasa watanzania
Yangu ni hayo tu.
Lengo la hizi nyuzi zako leo ni kutaka tu kujifariji, au ndiyo kutaka kujisahaulisha na majanga mnayopitia, huku mkiwa na Kocha wa Kimataifa kutoka Real Madrid?

Hivi unapata wapi nguvu ya kuijadili timu ambayo tangu ianze ligi, haijafungwa hata mechi moja! Na wakati huo huo ikiwa inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 10!
 
IMG_2310.png

Haya mkimaliza kujifariji pitieni huo msimamo muone km mtakuta point zimepungua
 

Wasemavyo hahenga, masikini hasemwi na mwenye njaa hasutwi.

Leo napenda kuongelea tabia ya timu ya yanga kuwa ombaomba huku wakitembeza bakuli wachangiwe, bado lipo palepale.

Sasa limebadilishwa, linakuja kwa jina la kuchangia 29,000 kwa kila mwanachama. Hii ni dalili tosha kuonesha ukata mkubwa ulio ndani ya timu ya Yanga.

Kwa mawazo yangu GSM wameona hawa yanga hawana ubavu wa kutangaza bidhaa zao za magodoro, wameona wapige kolabo na timu zongine kama Azam fc, Namungo FC nk.

Kusema kweli tangu nizaliwe sijawahi kuona timu inadhaminia na kampuni inayojishughulisha na uuzaji wa magodoro. Kama kuna mtu hapa anyoshe kidole anitajie timu nyingine tofauti na hizi za hapa Tanzania mdhamini wake anauza magodoro.

Tabia ya kuomba omba imekuwa ni jadi ya yanga, kwa sasa wamekuja na kisingizio cha kujiunga. Uanachama gani wa sh. 29,000? Hili ni bakuli la kisasa. Wameshindwa kutengeneza pesa kupitia magodoro sasa wameanza kuwanyanyasa watanzania
Yangu ni hayo tu.
Kwahyo Yanga haina pesa badae tusisiskie Yanga eti ananunua mechi
 
Lengo la hizi nyuzi zako leo ni kutaka tu kujifariji, au ndiyo kutaka kujisahaulisha na majanga mnayopitia, huku mkiwa na Kocha wa Kimataifa kutoka Real Madrid?

Hivi unapata wapi nguvu ya kuijadili timu ambayo tangu ianze ligi, haijafungwa hata mechi moja! Na wakati huo huo ikiwa inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 10!
Hapa tunaongelea bakuli.
images (10).jpeg
 
Back
Top Bottom