Mbuzingombe
JF-Expert Member
- Apr 14, 2024
- 353
- 828
Hivi mtu asiyeamini ktk Uislamu, unapomuombea kupitia dini asiyeamini inakuwaje?NJAA MBAYA SANA,MUISLAM UNAHIMIMIZWA ILI UFANYE IBADA ZAKO KWA UHAKIKA YAPASWA KUUKIMBIA UMASKINI,AMA SIVYO UTAANGUKIA KWENYE UDHALILI NA UNYONGE.
Acha dharau kwa Uislam πΌMashekhe njaa wanasumbuliwa na njaa. Kanzu zinanuka ubundo wa njaa, wameamua kutafuta hela ya sabuni.
Tofautisha shekhe na uislamAcha dharau kwa Uislam πΌ
Respect viongozi wa dini ingine Mkuu hata kama huwapendi. Kila mtu akiponda viongozi wa dini isiyo yake nchi huingia kwenye machafuko.Mashekhe njaa wanasumbuliwa na njaa. Kanzu zinanuka ubundo wa njaa, wameamua kutafuta hela ya sabuni.
Mbona Askofu Pengo naye nilimwona juzi juzi? Huyu jamaa kazi yake ni kurubuni watu wote wenye ushawishi halafu anapiga nao picha. Anajua kuwalaghai watu wajinga sana.Mashekhe njaa wanasumbuliwa na njaa. Kanzu zinanuka ubundo wa njaa, wameamua kutafuta hela ya sabuni.
Makonda haya ndiyo maisha yake. Siyo kiongozi bali ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kulaghai watu wajinga ambao Tanzania wako wengi kweli kweli.Mama huyu mtu anayezurura huko Arusha humuoni ukatimlia mbali tu au ndio nanyie mnazipenda hizo drama. Mwezi sasa bado yupo kwenye maigizo tu. Hv mbona wakuu wa Mikoa wengine hawana huo upuuzi?
Duh π. !Amevaa koti la mama yake
Kweli naunga mkonoMakonda haya ndiyo maisha yake. Siyo kiongozi bali ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kulaghai watu wajinga ambao Tanzania wako wengi kweli kweli.
Maombi kukubaliwa au kukataliwa hiyo inabaki kwa yule unayemuomba !Hivi mtu asiyeamini ktk Uislamu, unapomuombea kupitia dini asiyeamini inakuwaje?
Hii pia kwa waislamu wanaoombewa na wakisto ambao waislam pia hawamini ktk dini hiyo inakuwaje?
Bashite kapatwa na nini? Kwani Dua aliloombewa na MUFTI halina nguvu mpaka akaombewe na sheikh ambaye ni mdogo kwa MUFTI?Sheikh wa mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma akiambatana na viongozi wengine wa BAKWATA mkoa wa Arusha leo, Mei 07.2024 ameongoza sala maalum ya kumuombea kheri Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ili aweze kufanikiwa kwenye programu yake maalum inayoanza kesho Mei 08.2024.
Makonda atakuwa na siku tatu maalum za kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wa Arusha kuanzia kesho Mei 08 hadi 10.2024 zoezi ambalo litafanyika kwenye ofisi za Mkuu wa mkoa hio mjini Arusha.
Sheikh Shaaban Bin Juma amempongeza Makonda kwa maono yake ya kuja na programu ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi, akisema programu hiyo ni sehemu ya kuhakikisha Arusha inakuwa na amani, usalama na matumaini ya kutosha kwa wananchi na wageni wanaofika mkoani humo.
Wanamwombea Mvamizi wa CLOUDS tvWataacha Mijadala ya muungano wataanza kuushambulia Bakwata
Kwahiyo huwa wanakula hela za misaada? Huu si ni ufisadi? Unaruhusiwa ?Sheikh wa mkoa huwa hana njaa maana matajiri wote mkoani wa dini yake huwa nae karibu, misaada yote toka nje kuja mkoani inapita kwake