jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Tofauti ya bakwata na uvccm ni sare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa wa mihemko watapata gubu tena katika hilo 🐒Sheikh wa mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma akiambatana na viongozi wengine wa BAKWATA mkoa wa Arusha leo, Mei 07.2024 ameongoza sala maalum ya kumuombea kheri Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ili aweze kufanikiwa kwenye programu yake maalum inayoanza kesho Mei 08.2024.
Makonda atakuwa na siku tatu maalum za kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wa Arusha kuanzia kesho Mei 08 hadi 10.2024 zoezi ambalo litafanyika kwenye ofisi za Mkuu wa mkoa hio mjini Arusha.
Sheikh Shaaban Bin Juma amempongeza Makonda kwa maono yake ya kuja na programu ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi, akisema programu hiyo ni sehemu ya kuhakikisha Arusha inakuwa na amani, usalama na matumaini ya kutosha kwa wananchi na wageni wanaofika mkoani humo.
Njaa wanayo sana,wanaishi kwa misaada ya waarabu ,pia posho za serikaliRespect viongozi wa dini ingine Mkuu hata kama huwapendi. Kila mtu akiponda viongozi wa dini isiyo yake nchi huingia kwenye machafuko.
Sheikh wa mkoa huwa hana njaa maana matajiri wote mkoani wa dini yake huwa nae karibu, misaada yote toka nje kuja mkoani inapita kwake, bakwata mkoa wako nae ili mradi njaa hawezi kuwa nayo labda waumini maskini.
Sitweli anarudia alishafanya sana dar yule aliyetimuliwa kwa kuingilia ndoa ya drMWAKAChadema watajinyonga kwa wivu
Shida hii nchi wajinga ni wengi Sana ndio maana viongozi wanaendekeza ujingaMakonda haya ndiyo maisha yake. Siyo kiongozi bali ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kulaghai watu wajinga ambao Tanzania wako wengi kweli kweli.
Watalii hawana akili kama ya kwako! Akitoka Arusha anaweza kwenda Mwanza au akaenda Dar! Makonda ni jembe hata Samia mwenyewe anajua hilo!Huyo hata aombewe na dunia nzima hana jipya anabebwa tuu.Utalii utashuka Arusha soon .
Basi apewe uraisMakonda ni Jembe hilo halina ubishi.
Makala hata anayemfatilia hamna! Kavimbiana mashavu maana anakula sana bia na kitimoto! CCM walichemka sana!Kuna nguvu gani nyuma ya Makonda, je taaisi za CCM zilizoko chini ya Mwamvuli wa Dini zimeamua kuonesha jeuri mbele ya Viongozi wakuu wa CCM?
Nani anajua kuwa Makala kila siku hufanya vikao na waandishi wa habari?
Kwa upumbavu huu hii nchi haitakuja kuendelea!Sheikh wa mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma akiambatana na viongozi wengine wa BAKWATA mkoa wa Arusha leo, Mei 07.2024 ameongoza sala maalum ya kumuombea kheri Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ili aweze kufanikiwa kwenye programu yake maalum inayoanza kesho Mei 08.2024.
Makonda atakuwa na siku tatu maalum za kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wa Arusha kuanzia kesho Mei 08 hadi 10.2024 zoezi ambalo litafanyika kwenye ofisi za Mkuu wa mkoa hio mjini Arusha.
Sheikh Shaaban Bin Juma amempongeza Makonda kwa maono yake ya kuja na programu ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi, akisema programu hiyo ni sehemu ya kuhakikisha Arusha inakuwa na amani, usalama na matumaini ya kutosha kwa wananchi na wageni wanaofika mkoani humo.
Hii imekuumiza sheikh wangu?NJAA MBAYA SANA,MUISLAM UNAHIMIZWA ILI UFANYE IBADA ZAKO KWA UHAKIKA YAPASWA KUUKIMBIA UMASKINI,AMA SIVYO UTAANGUKIA KWENYE UDHALILI NA UNYONGE.
😂😂😂Kumfanyia dua Bashite ni matumizi mabovu ya Ubani.
Kesheni mkiomba kwa maana hamjui Siku wala Saa....Hivi,huyo jamaa huwa anaombewa kila siku kwa nini?Ana mapepo sana?
Na wala hamkuambiwa "mkeshe mkiombewa"?Ndiyo maana "mlikuwa" mkisema muombewe,mimi niliwaombea maji ya kunywa.Kesheni mkiomba kwa maana hamjui Siku wala Saa....
😂😂🔥
Usipokesha hutaombewaNa wala hamkuambiwa "mkeshe mkiombewa"?Ndiyo maana "mlikuwa" mkisema muombewe,mimi niliwaombea maji ya kunywa.
Unakeshaje huku unaombewa?Kuombewa ni kwa waliolala.Waliolala hawana tofauti na wafu.Usipokesha hutaombewa