Pre GE2025 BAKWATA Arusha yamfanyia Dua Maalumu RC Makonda Ili aweze Kufanikiwa katika Malengo yake ya Uongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
jamaa wa mihemko watapata gubu tena katika hilo πŸ’
 
Kuna nguvu gani nyuma ya Makonda, je taaisi za CCM zilizoko chini ya Mwamvuli wa Dini zimeamua kuonesha jeuri mbele ya Viongozi wakuu wa CCM?

Nani anajua kuwa Makala kila siku hufanya vikao na waandishi wa habari?
 
Njaa wanayo sana,wanaishi kwa misaada ya waarabu ,pia posho za serikali
 
Kipaji bora cha Makonda kipo ktk kuteka attention ya waja. Hii kazi anaimudu na kuifanikisha vilivyo, bahati nzuri kwake inamfanikishia shabaha zake pia, maana watanzania wengi ni mashabiki wa attention seekers
 
Kumfanyia dua Bashite ni matumizi mabovu ya Ubani.
 
Huyo hata aombewe na dunia nzima hana jipya anabebwa tuu.Utalii utashuka Arusha soon .
Watalii hawana akili kama ya kwako! Akitoka Arusha anaweza kwenda Mwanza au akaenda Dar! Makonda ni jembe hata Samia mwenyewe anajua hilo!
 
Kuna nguvu gani nyuma ya Makonda, je taaisi za CCM zilizoko chini ya Mwamvuli wa Dini zimeamua kuonesha jeuri mbele ya Viongozi wakuu wa CCM?

Nani anajua kuwa Makala kila siku hufanya vikao na waandishi wa habari?
Makala hata anayemfatilia hamna! Kavimbiana mashavu maana anakula sana bia na kitimoto! CCM walichemka sana!
 
Kwa upumbavu huu hii nchi haitakuja kuendelea!
 
Mwambieni mtoto mjinga hafaulu kwa kuombewa.Atie bidii alete matokeo.Maswala yakucheza na wadudu sio ishu,mara bike race.Mkuu wa mkoaana mengi ya kufanyua kazi.
Wazo la ulinzi shikrikishi alikua nalo zuri sana,aanzenalo hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…