Papasa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,619
- 5,780
Yani kwamba unataka wakapige kwata wamevaa mahijabu alafu wavae na nguo za kuwafunika mwili🤔🤔 pale sio msikitini Wala sio kwenye muhadhara wa kidini, kama mnaona hizo Sheria ni za hovyo msipeleke watoto wenu kule, hiyo dini yenu imewatia upofu kupitiliza sasa