BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

Yani kwamba unataka wakapige kwata wamevaa mahijabu alafu wavae na nguo za kuwafunika mwili🤔🤔 pale sio msikitini Wala sio kwenye muhadhara wa kidini, kama mnaona hizo Sheria ni za hovyo msipeleke watoto wenu kule, hiyo dini yenu imewatia upofu kupitiliza sasa
 
Mlianza na hijab mashuleni. Mlipoona mmemshinda Mkapa, mkajiona vidume.
Huko mnakogusa sahizi mmpepotea njia.

Sheria za jeshi ni pamoja na kuvaa kofia siyo hijab, kuwa na nywele fupi wakat wote wa mafunzo, kama ni kusuka subiri ukimaliza.

Naona bado hamjafa moyo kuitaka Tz iwe ya kiislam. Poleni.
Tukaja na muswada wa Mahakama ya kadhi, WEEE ilileta shida ile mpaka tukajilaumu. Yaani jambo dogo TU wagalatia walipaniki kweli.
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Siku ya kupokelewa JKT mnaambiwa vitu vitatu mviache getini hapo kabla ya kuingia:
1.Elimu yako.
2.Dini yako.
3.Kabila lako.
 
Uko JKT kuna shida mbona tarifa za kijeshi zinatoka sana mda huu shida nini ebu kaaeni chini mchunguze kwenye uongozi wa JKT kuna viongozi hawapo sawa

JKT haijaanza leo, haya mambo yapo mda sana iweje leo watu waje na hoja za ajabu ajabu mara watoto wananyanyaswa kesho yataibuka manitowoc hapa in his italianate cause kwenye mafunzo kuna mengi hutokea kwakua ni masuala ya kijeshi yanabaki uko uko sasa endeleeni kuchekeana chekeana uko vikosini
 
Tatizo mnataka kuingiza mambo ya dini Kila mahali

Jeshini hakunaga mambo ya dini kwenye itifaki zake.
 
Hayo ni mafunzo, wananyolewa kwa sababu ya usafi wao. Elewa mafunzo ya JKT sio ya kukaa darasani masaa yote, hijabu la nini kwenye mafunzo ambayo unachafuka muda mwingi?
 
Kule ni jeshini. Hawaendi kwa tiketi ya dini. Dini unaiacha nyumbani kwenu. Siungi mkono kama Kuna maovu yanatendeka huko dhidi ya yeyote. KWA MTAZAMO WAKO UNATAKA HATA ASKARI WA KIKE AVAE HIJABU BADALA YA CLAUN, AVAE KANZU NDEFU BADALA YA SURUALI AU SKETI. TOKA KWENYE HILO BOX LA DINI, IBAKIE SWALA NA MATENDO MEMA TU
Wanataka kugeuza muonekano wa askari wa jeiwii uwe wa ki alshabab!! [emoji1][emoji1]

Soon watataka wafuge ndevu na kuvaa kobazi!!badala ya ndula ya jeshi iliyopigwa kiwi[emoji1]

Soon unamkuta Major wa jeshi kavaa full Kombat na tasbihi mkononi.

Ndugu zetu demand zao sometimes zinachekesha sana[emoji1787]
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Jeshi kwanza, dini ni hiari tu na kila mmoja ana ya kwake kwa namna yake.
 
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya

Kuna Mzee mmoja, alikuja hospital na mke wake mjamzito

Akagoma kabisa mke wake kuvuliwa nguo kupimwa

Anasema ni yeye Tu ndio anatakiwa kuona mwili wa mke wake

Hizi dini sometimes zinaturudisha nyuma sana
 
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya

Kuna Mzee mmoja, alikuja hospital na mke wake mjamzito

Akagoma kabisa mke wake kuvuliwa nguo kupimwa

Anasema ni yeye Tu ndio anatakiwa kuona mwili wa mke wake

Hizi dini sometimes zinaturudisha nyuma
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Mnatuchosha na post za kijinga.
 
Back
Top Bottom