BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Hivi nyie mnajikuta kina nani?
 
Nakumbuka enzi hizo KANEMBWA kuna mlokole mmoja akitoka tu kula jioni anaenda kusali porini , punde si punde idadi ya waumini ikaanza kuongezea wakafika takriban 30 …jamaa wakatuma kikosi kazi kuwashughulikia mida ya sala ma-RP na MP wakawavamia wakawalamba viboko vya kutosha …kesho yake hakuna mtu aliyesogelea kanisa-pori
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
katika vita ya maisha adui hajui wewe kama mwislam
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.


Pale siyo msikitini ukitaka KUVAA hijabu baki kwenu uende msikitini. Hizo ni sheria na taratibu zilizopo.
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Bwashee kila kitu mnataka nyie tu? Hebu sisi Wagalatia tupeni break tupumue!
 
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Wakivaa hizo hijabu wanatulia? Hebu ropoka tukupe ushahidi wa madudu
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Kwani vijana WA kiislamu jeshini, waajiriwa wanavaa hijab, tuanzie hapo Kwanza
 
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
napia katika jeshi haliitaji kuruta kuwa na nywele ndefu, kwahiyo utaamua ww kumpeleka mwanao jkt akapate mafunzo au ubaki nae nyumban ,halafu usisemee uisilamu tuu kule hata wasabato jmos wanapiga kazi kama kawa .Elewa tuu ukifika tuu getini unaambiwa mule ndani hakuna dini, utakutana na nembo pale ina neno moja tuu UMOJA.
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Kwamba waende parade na hijab sio?! Hahaa
 
Back
Top Bottom