BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Kule ni jeshini ataenda na hijabu vitani?
 
NENO MIMI, YANGU, SISI, WALE LINAISHIA GETINI SOTE TUNAKUWA TIMU MOJA

Lazima kuondoa uraia mara unapofika getini ili ndani kuwa na vijana wakakamavu wenye nidhamu na uvumilivu kwa kuwazia ipo siku kama mlinzi wa taifa utakuwa mstari wa mbele kuitetea nchi kutapotokea aina yoyote ya kutishia heshima ya nchi kutoka kwa adui wa nje

 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Mada za kipuuzi kama hizi ndio zinfanya muda mwingine tuonekane wapuuzi


Huko jeshini hujalazimishwa kwenda, ukitaka kafuate masharti yao hutaki baki nyumbani

Kwenda jeshini sio lazima

Halafu muislamu anayejitambua hawezi kumpeleka binti yake jeshini na binti (muislamu ) anayejitambua hawezi kwenda jeshini
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Mada yako ya hovyo sijawahi ona, jeshi liwe na udini sio
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Huko Saudi Arabia hakuna mafunzo ya kijeshi? Kama yapo wanawake huvaa vipi?
 
Mkuu huku mtaani wapo wenye uhuru wao wengi tu lkn hijab hawavai na nywele wanazifanya wanavyotaka nguo ndo usiseme,sion km ina impact negative kwa huo muda anaokaa huko jkt.Hata hivyo huwez kuwa na mavazi hayo uko jkt kutokana na nature ya environment
 
Nakumbuka enzi hizo KANEMBWA kuna mlokole mmoja akitoka tu kula jioni anaenda kusali porini , punde si punde idadi ya waumini ikaanza kuongezea wakafika takriban 30 …jamaa wakatuma kikosi kazi kuwashughulikia mida ya sala ma-RP na MP wakawavamia wakawalamba viboko vya kutosha …kesho yake hakuna mtu aliyesogelea kanisa-pori
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimechekaa mnooo
 
Dini zililetwa tu
 

Attachments

  • images (1) (5).jpeg
    images (1) (5).jpeg
    32.5 KB · Views: 3
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
ACHA hizo!!

Jeshi halina Dini bali jeshi ni Dini yenyewe!

Ukienda kule unaishi Dini iitwayo jeshi!!

Hivyo TU! Bakwata wakae kimya kwanza ni tawi la katoliki!!
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
We ulienda kufanya nini huko kwa wanawake? utakuwa unawaza ngono muda wote
 
Back
Top Bottom