BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Post ya msingi sana hii.
 
Kwani waarabu hawana wanajeshi wanawake? Kama wapo basi mama aiuze JKT kwa waarabu ili waje waboreshe mavazi ya watoto wa kike jeshini.
Haaaaa,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii ni best comment [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali haina dini.

Hata mwinyi alichokileta kwenye sare za Shule kina maswali?!

Muhimu ziwe nguo zenye staha na stara kwa mujibu wa desturi na mila zetu.
 
Sidhani kama Bakwata Iko kwa maslahi ya waislam. Ile siku walipingana kutangaza Eid na Dunia nzima walinitoka kabisa. Ni wahuni sana mambo kama haya ya kutetea waislam huwezi kuwasikia, ila msaada wa kupokea PESA na Tende za waarabu kama DP World utawaona!

Solution mabinti wa kiislam wasiende JKT basi. Au kama ni kufunika kombe wakakae tu nusu uchi huko ili maisha mengine yaendelee!
 
Screenshot_20230617-163354.jpg
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.Unashangaa mavazi,,Kiti Moto Pia jeshini si Kosa siye twala tuu.
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Unashangaa mavazi???Kuna kiti Moto Huku twala tuuu shehe wangu
 
Kuungaje mkono?

Binti kuvaa kimini, dada kuvaa kimini/nusu uchi au kutembea na minywele wazi kadamnasi, wavulana na wasichana kusoma darasa moja, na hilo la JKT n.k n.k. sasa ukisapoti huu ujinga, mtoto atajifunza nini kutoka kwa wazazi!!!

Aleyommba gekke, bhujiku ng'waka nkoi
 
Binti kuvaa kimini, dada kuvaa kimini/nusu uchi au kutembea na minywele wazi kadamnasi, wavulana na wasichana kusoma darasa moja, na hilo la JKT n.k n.k. sasa ukisapoti huu ujinga, mtoto atajifunza nini kutoka kwa wazazi!!!

Aleyommba gekke, bhujiku ng'waka nkoi
Utakuwa ujinga kama wa kuswali masjid haram kwamchanganyiko wa wanawake na wanaume pamoja
 
Back
Top Bottom