Tukaja na muswada wa Mahakama ya kadhi, WEEE ilileta shida ile mpaka tukajilaumu. Yaani jambo dogo TU wagalatia walipaniki kweli.Mlianza na hijab mashuleni. Mlipoona mmemshinda Mkapa, mkajiona vidume.
Huko mnakogusa sahizi mmpepotea njia.
Sheria za jeshi ni pamoja na kuvaa kofia siyo hijab, kuwa na nywele fupi wakat wote wa mafunzo, kama ni kusuka subiri ukimaliza.
Naona bado hamjafa moyo kuitaka Tz iwe ya kiislam. Poleni.
Vibaya.Kumekucha
Case closed...Kwa wanaopenda kwenda JKT waende na wakubaliane na Sheria lkn kama anaona Kuna vitu hakubaliani navyo asiende!
Siku ya kupokelewa JKT mnaambiwa vitu vitatu mviache getini hapo kabla ya kuingia:Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Eti dini ni Uislam.Tukaja na muswada wa Mahakama ya kadhi, WEEE ilileta shida ile mpaka tukajilaumu. Yaani jambo dogo TU wagalatia walipaniki kweli.
Wanataka kugeuza muonekano wa askari wa jeiwii uwe wa ki alshabab!! [emoji1][emoji1]Kule ni jeshini. Hawaendi kwa tiketi ya dini. Dini unaiacha nyumbani kwenu. Siungi mkono kama Kuna maovu yanatendeka huko dhidi ya yeyote. KWA MTAZAMO WAKO UNATAKA HATA ASKARI WA KIKE AVAE HIJABU BADALA YA CLAUN, AVAE KANZU NDEFU BADALA YA SURUALI AU SKETI. TOKA KWENYE HILO BOX LA DINI, IBAKIE SWALA NA MATENDO MEMA TU
Jeshi kwanza, dini ni hiari tu na kila mmoja ana ya kwake kwa namna yake.Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Miaka yeru ilkuwa ni lazima, na usipoenda huwezi kuendelea na masomo au kuajiriwa. Sasa sijui kwa sasa hv kama hawatorudisha huo utarudisha huo utaratibuKweli jkt ni ujinga mtupu
We Mzazi ndo usimpeleke huko.
Uoga wa Maisha tu wa watu Ajira zenyewe hizi za lakitanoMiaka yeru ilkuwa ni lazima, na usipoenda huwezi kuendelea na masomo au kuajiriwa. Sasa sijui kwa sasa hv kama hawatorudisha huo utarudisha huo utaratibu
Mnatuchosha na post za kijinga.Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.