BAKWATA mnaruhusu vipi viongozi wa kisiasa kuongoza Misikiti yenu?

BAKWATA mnaruhusu vipi viongozi wa kisiasa kuongoza Misikiti yenu?

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Nimeipokea na kuileta hapa wakuu, Imfikie Mufti Mkuu wa Bakwata.

Katika Msikiti wa Kisumu, Mtaa wa Mtambani, Magomeni Mikumi, Dar es Salaam kuna Mgogoro mkubwa unafukuta mwaka sasa na ajabu Mufti wa Mkoa ana makazi yake kama mita 100 toka kwenye huo Msikiti.

Hapo nyuma ilitokea kuna Uchaguzi wa Viongozi wa Msikiti na katika wakati huo aliyekuwa Mwenyekiti wa sehemu hiyo alijaribu kuwania moja ya nafasi Msikitini hapo, lakini akaja kuenguliwa kwa kigezo cha kuwa ni kiongozi wa kisiasa hivyo kanuni haziruhusu yeye kuwania nafasi yeyote msikitini kama kiongozi. NINA IMANI KANUNI AU KIPENGELE HICHO kiliwekwa mahususi kuepuka mgawanyiko wa maslahi kwa itikadi za kisiasa katika misikiti.

Ajabu ni kuwa katibu wa sasa aitwaye Abdallah Kitumbi, alichukua fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa hapo Mtambani. Na baadaye akashinda huo uchaguzi na kuwa Mwenyekiti anayehudumu nafasi hiyo mpaka leo. Waumini wengine walikuja kuhoji na kuomba kikanuni aondolewe katika nafasi yake ya ukatibu wa msikiti lakini mpaka leo hii halijafanyika na yeye kuendelea kung`ang`ania mpaka ilifika hatua Mkuu wa wilaya na OCD wa sehemu husika kuingilia kati na kupiga marufuku mkutano mkuu uliyoombwa na waumini kwa ajili ya kufanya uamuzi wa jambo hilo.

Mufti wa Bakwata imekuwaje hapa mmeruhusu huu mgogoro kwa muda mrefu na mpaka sasa kuna mpasuko mkubwa ndani ya msikiti kwa sababu ya huyo katibu kukumbatiwa na viongozi wengine wa msikiti kwa kigezo cha kupata sapoti ya chama tawala hapo mtaani?

Kuhusu ukiukwaji wa kanuni au kilichofanyika hapo nyuma je hamuoni kama ni unafiki na dhambi ndani ya nyumba ya ibada?. Kuhusu malalamishi ya waumini je ni kwa nini hamtaki kuingilia na kwenda kuwasikiliza na kuacha itikadi na migogoro ya kisiasa ndani ya msikiti wenu?

Je, ni nani alipeleka suala hilo polisi na hatimaye polisi kuzuia huo mkutano mkuu? Kwa maslahi ya nani? Je, hamuoni kuwa mmewanyima haki waumini kusikilizwa na kufanya maamuzi ya kuheshimu kanuni? Je, inawezekanaje kisheria Polisi kuingilia kati na kuvunja mkutano mkuu wa msikiti?

JERAHA LIKITOWEKA, KOVU LITAKUKUMBUSHA!
 
Huyo shehe ubwabwa anayekaa hapo jirani naye ni kada tangu enzi za mwendazake.
Kada anawezaje kumuondoa kada mwenziwe?
Ongezeni kipengele kwenye katiba yenu kwamba
"Mtu mwenye njaa, polisi na ..mtu wa CCM asigombee uongozi wa miskiti.
 
Kuna unachokitafuta si bure, naendelea kukutafakari.
Nadhan albadil itakuweka sawa

Sasa albadil ya nini? Kwanza hiyo albadil ni ushirikina na ni katika madhambi makubwa hivyo achana nayo. Pili kwani sio kweli kwamba wapo baadh ya waislam wachawi? Usimuonee tafakar maneno yake kwa usahihi ili yakusaidie
 
Nimeipokea na kuileta hapa wakuu, Imfikie Mufti Mkuu wa Bakwata.

Katika Msikiti wa Kisumu, Mtaa wa Mtambani, Magomeni Mikumi, Dar es Salaam kuna Mgogoro mkubwa unafukuta mwaka sasa na ajabu Mufti wa Mkoa ana makazi yake kama mita 100 toka kwenye huo Msikiti.

Hapo nyuma ilitokea kuna Uchaguzi wa Viongozi wa Msikiti na katika wakati huo aliyekuwa Mwenyekiti wa sehemu hiyo alijaribu kuwania moja ya nafasi Msikitini hapo, lakini akaja kuenguliwa kwa kigezo cha kuwa ni kiongozi wa kisiasa hivyo kanuni haziruhusu yeye kuwania nafasi yeyote msikitini kama kiongozi. NINA IMANI KANUNI AU KIPENGELE HICHO kiliwekwa mahususi kuepuka mgawanyiko wa maslahi kwa itikadi za kisiasa katika misikiti.

Ajabu ni kuwa katibu wa sasa aitwaye Abdallah Kitumbi, alichukua fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa hapo Mtambani. Na baadaye akashinda huo uchaguzi na kuwa Mwenyekiti anayehudumu nafasi hiyo mpaka leo. Waumini wengine walikuja kuhoji na kuomba kikanuni aondolewe katika nafasi yake ya ukatibu wa msikiti lakini mpaka leo hii halijafanyika na yeye kuendelea kung`ang`ania mpaka ilifika hatua Mkuu wa wilaya na OCD wa sehemu husika kuingilia kati na kupiga marufuku mkutano mkuu uliyoombwa na waumini kwa ajili ya kufanya uamuzi wa jambo hilo.

Mufti wa Bakwata imekuwaje hapa mmeruhusu huu mgogoro kwa muda mrefu na mpaka sasa kuna mpasuko mkubwa ndani ya msikiti kwa sababu ya huyo katibu kukumbatiwa na viongozi wengine wa msikiti kwa kigezo cha kupata sapoti ya chama tawala hapo mtaani?

Kuhusu ukiukwaji wa kanuni au kilichofanyika hapo nyuma je hamuoni kama ni unafiki na dhambi ndani ya nyumba ya ibada?. Kuhusu malalamishi ya waumini je ni kwa nini hamtaki kuingilia na kwenda kuwasikiliza na kuacha itikadi na migogoro ya kisiasa ndani ya msikiti wenu?

Je, ni nani alipeleka suala hilo polisi na hatimaye polisi kuzuia huo mkutano mkuu? Kwa maslahi ya nani? Je, hamuoni kuwa mmewanyima haki waumini kusikilizwa na kufanya maamuzi ya kuheshimu kanuni? Je, inawezekanaje kisheria Polisi kuingilia kati na kuvunja mkutano mkuu wa msikiti?

JERAHA LIKITOWEKA, KOVU LITAKUKUMBUSHA!
Mkuu wewe umewezaji kubadili ID?
 
Nimeipokea na kuileta hapa wakuu, Imfikie Mufti Mkuu wa Bakwata.

Katika Msikiti wa Kisumu, Mtaa wa Mtambani, Magomeni Mikumi, Dar es Salaam kuna Mgogoro mkubwa unafukuta mwaka sasa na ajabu Mufti wa Mkoa ana makazi yake kama mita 100 toka kwenye huo Msikiti.

Hapo nyuma ilitokea kuna Uchaguzi wa Viongozi wa Msikiti na katika wakati huo aliyekuwa Mwenyekiti wa sehemu hiyo alijaribu kuwania moja ya nafasi Msikitini hapo, lakini akaja kuenguliwa kwa kigezo cha kuwa ni kiongozi wa kisiasa hivyo kanuni haziruhusu yeye kuwania nafasi yeyote msikitini kama kiongozi. NINA IMANI KANUNI AU KIPENGELE HICHO kiliwekwa mahususi kuepuka mgawanyiko wa maslahi kwa itikadi za kisiasa katika misikiti.

Ajabu ni kuwa katibu wa sasa aitwaye Abdallah Kitumbi, alichukua fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa hapo Mtambani. Na baadaye akashinda huo uchaguzi na kuwa Mwenyekiti anayehudumu nafasi hiyo mpaka leo. Waumini wengine walikuja kuhoji na kuomba kikanuni aondolewe katika nafasi yake ya ukatibu wa msikiti lakini mpaka leo hii halijafanyika na yeye kuendelea kung`ang`ania mpaka ilifika hatua Mkuu wa wilaya na OCD wa sehemu husika kuingilia kati na kupiga marufuku mkutano mkuu uliyoombwa na waumini kwa ajili ya kufanya uamuzi wa jambo hilo.

Mufti wa Bakwata imekuwaje hapa mmeruhusu huu mgogoro kwa muda mrefu na mpaka sasa kuna mpasuko mkubwa ndani ya msikiti kwa sababu ya huyo katibu kukumbatiwa na viongozi wengine wa msikiti kwa kigezo cha kupata sapoti ya chama tawala hapo mtaani?

Kuhusu ukiukwaji wa kanuni au kilichofanyika hapo nyuma je hamuoni kama ni unafiki na dhambi ndani ya nyumba ya ibada?. Kuhusu malalamishi ya waumini je ni kwa nini hamtaki kuingilia na kwenda kuwasikiliza na kuacha itikadi na migogoro ya kisiasa ndani ya msikiti wenu?

Je, ni nani alipeleka suala hilo polisi na hatimaye polisi kuzuia huo mkutano mkuu? Kwa maslahi ya nani? Je, hamuoni kuwa mmewanyima haki waumini kusikilizwa na kufanya maamuzi ya kuheshimu kanuni? Je, inawezekanaje kisheria Polisi kuingilia kati na kuvunja mkutano mkuu wa msikiti?

JERAHA LIKITOWEKA, KOVU LITAKUKUMBUSHA!
CCM imeamua kutumia Dola na taasisi za kijamii kama silaha zake dhidi ya upinzani.

Fikiria jinsi ilivyo sasa: Serikali ni yao, Tume ya Uchaguzi ni yao, polisi ni yao, mahakama ni yao, bunge ni lao, tiss ni yao, NBS, NGO nyingi ni zao, NIDA ni yao na kwa kinachoendelea kwenye huu msikiti ni ushahidi kwamba misikiti na makanisa yatakuwa au tayari yako mikonini mwao!
LENGO lao kuu ni ABSOLUTE POWER!
Hii inaitwa absolute institutional/systemic corruption.

Ila hawajali au hawaoni kwamba ABSOLUTE POWER corrupts ABSOLUTELY. Na wanadhani au katika ulevi wao wa madaraka hawafikirii kwamba dunia nzima inaona.

Hiki ndocho tunaita MFUMO. Bila kuuondoa nchi yetu haina future.


Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
K
CCM imeamua kutumia Dola na taasisi za kijamii kama silaha zake dhidi ya upinzani.

Fikiria jinsi ilivyo sasa: Serikali ni yao, Tume ya Uchaguzi ni yao, polisi ni yao, mahakama ni yao, bunge ni lao, tiss ni yao, NBS, NGO nyingi ni zao, NIDA ni yao na kwa kinachoendelea kwenye huu msikiti ni ushahidi kwamba misikiti na makanisa yatakuwa au tayari yako mikonini mwao!
LENGO lao kuu ni ABSOLUTE POWER!
Hii inaitwa absolute institutional/systemic corruption.

Ila hawajali au hawaoni kwamba ABSOLUTE POWER corrupts ABSOLUTELY. Na wanadhani au katika ulevi wao wa madaraka hawafikirii kwamba dunia nzima inaona.

Hiki ndocho tunaita MFUMO. Bila kuuondoa nchi yetu haina future.


Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Kama ninakuelewa vile mkuu
 
CCM imeamua kutumia Dola na taasisi za kijamii kama silaha zake dhidi ya upinzani.

Fikiria jinsi ilivyo sasa: Serikali ni yao, Tume ya Uchaguzi ni yao, polisi ni yao, mahakama ni yao, bunge ni lao, tiss ni yao, NBS, NGO nyingi ni zao, NIDA ni yao na kwa kinachoendelea kwenye huu msikiti ni ushahidi kwamba misikiti na makanisa yatakuwa au tayari yako mikonini mwao!
LENGO lao kuu ni ABSOLUTE POWER!
Hii inaitwa absolute institutional/systemic corruption.

Ila hawajali au hawaoni kwamba ABSOLUTE POWER corrupts ABSOLUTELY. Na wanadhani au katika ulevi wao wa madaraka hawafikirii kwamba dunia nzima inaona.

Hiki ndocho tunaita MFUMO. Bila kuuondoa nchi yetu haina future.


Sent from my G80 using JamiiForums mobile app

Comment ya maana sana hii inayoelezea uhalisia kimuhtasari wa hatari inayolinyemelea taifa.

Huu ndio mfumo wa TOTALITARIAN STATE ambao CCM inahangaika kuukamilisha tangu awali huku pia ikijitahidi kuweka HADAA ya sura ya demokrasia mbele ya Ulimwengu. Lengo ni kuhakikisha Rais (wa CCM) anakuwa na madaraka yote (absolute power) juu ya taasisi zote nchini na juu ya kila mwananchi. Wao wanaamini hiyo ndio njia pekee itakayokihakikishia chama hicho kudumu madarakani na kufuja rasilimali za taifa bila mikwaruzo.

LAKINI hiyo ni kazi ngumu sana na yenye hatari kubwa kwa taifa na hata kwa CCM yenyewe. Inaweza ikawa ndio bomu litakaloiangamiza CCM - na si “upinzani” kama inavyofikiriwa kimakosa. Dalili zimeanza kuonekana. Tumeona jinsi Rais alivyoweza kuunda Bunge zima la JMT kwa mkono wake huku NEC ikitumika kama kalamu, mfuto na muhuri. Na hakuna wa kuhoji!
 
Nimeipokea na kuileta hapa wakuu, Imfikie Mufti Mkuu wa Bakwata.

Katika Msikiti wa Kisumu, Mtaa wa Mtambani, Magomeni Mikumi, Dar es Salaam kuna Mgogoro mkubwa unafukuta mwaka sasa na ajabu Mufti wa Mkoa ana makazi yake kama mita 100 toka kwenye huo Msikiti.

Hapo nyuma ilitokea kuna Uchaguzi wa Viongozi wa Msikiti na katika wakati huo aliyekuwa Mwenyekiti wa sehemu hiyo alijaribu kuwania moja ya nafasi Msikitini hapo, lakini akaja kuenguliwa kwa kigezo cha kuwa ni kiongozi wa kisiasa hivyo kanuni haziruhusu yeye kuwania nafasi yeyote msikitini kama kiongozi. NINA IMANI KANUNI AU KIPENGELE HICHO kiliwekwa mahususi kuepuka mgawanyiko wa maslahi kwa itikadi za kisiasa katika misikiti.

Ajabu ni kuwa katibu wa sasa aitwaye Abdallah Kitumbi, alichukua fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa hapo Mtambani. Na baadaye akashinda huo uchaguzi na kuwa Mwenyekiti anayehudumu nafasi hiyo mpaka leo. Waumini wengine walikuja kuhoji na kuomba kikanuni aondolewe katika nafasi yake ya ukatibu wa msikiti lakini mpaka leo hii halijafanyika na yeye kuendelea kung`ang`ania mpaka ilifika hatua Mkuu wa wilaya na OCD wa sehemu husika kuingilia kati na kupiga marufuku mkutano mkuu uliyoombwa na waumini kwa ajili ya kufanya uamuzi wa jambo hilo.

Mufti wa Bakwata imekuwaje hapa mmeruhusu huu mgogoro kwa muda mrefu na mpaka sasa kuna mpasuko mkubwa ndani ya msikiti kwa sababu ya huyo katibu kukumbatiwa na viongozi wengine wa msikiti kwa kigezo cha kupata sapoti ya chama tawala hapo mtaani?

Kuhusu ukiukwaji wa kanuni au kilichofanyika hapo nyuma je hamuoni kama ni unafiki na dhambi ndani ya nyumba ya ibada?. Kuhusu malalamishi ya waumini je ni kwa nini hamtaki kuingilia na kwenda kuwasikiliza na kuacha itikadi na migogoro ya kisiasa ndani ya msikiti wenu?

Je, ni nani alipeleka suala hilo polisi na hatimaye polisi kuzuia huo mkutano mkuu? Kwa maslahi ya nani? Je, hamuoni kuwa mmewanyima haki waumini kusikilizwa na kufanya maamuzi ya kuheshimu kanuni? Je, inawezekanaje kisheria Polisi kuingilia kati na kuvunja mkutano mkuu wa msikiti?

JERAHA LIKITOWEKA, KOVU LITAKUKUMBUSHA!
1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
CCM imeamua kutumia Dola na taasisi za kijamii kama silaha zake dhidi ya upinzani.

Fikiria jinsi ilivyo sasa: Serikali ni yao, Tume ya Uchaguzi ni yao, polisi ni yao, mahakama ni yao, bunge ni lao, tiss ni yao, NBS, NGO nyingi ni zao, NIDA ni yao na kwa kinachoendelea kwenye huu msikiti ni ushahidi kwamba misikiti na makanisa yatakuwa au tayari yako mikonini mwao!
LENGO lao kuu ni ABSOLUTE POWER!
Hii inaitwa absolute institutional/systemic corruption.

Ila hawajali au hawaoni kwamba ABSOLUTE POWER corrupts ABSOLUTELY. Na wanadhani au katika ulevi wao wa madaraka hawafikirii kwamba dunia nzima inaona.

Hiki ndocho tunaita MFUMO. Bila kuuondoa nchi yetu haina future.


Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Tume ya Uchaguzi siyo Mali ya CCM ila ni Taasisi huru iliyo mbali na CCM na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya Mwaka 1977, Ibara ya 74 (11) haipokei au kushauriwa na mtu, kiongozi au Chama chochote cha Siasa.
 
Back
Top Bottom