Bakwata uislaam huo mmeutoa wapi? Kumbukeni moto ni mkali sana mtaenda chomwa

Bakwata uislaam huo mmeutoa wapi? Kumbukeni moto ni mkali sana mtaenda chomwa

Hammaz naomba usibadili mwelekeo wa mada ya msingi.. . Fungua uzi wa namna ya kufanya da'awa... Tutakuja kudiscuss huko hayo unayoyaongea. ..
 
Kwa mfano wewe ukiwa ni kiongozi, utakapokuwa umekosea ungependa raia wako wakukosoe kwa namna gani.

Wasimame tu barabarani na kuanza kupayuka, kwa kuwa wanajua utasikia ilhali wanakuvunjia heshima, au wakufuate faragha na kukueleza makosa yako?

Tatizo sio kuwasema tatizo pahali gani anapowasemea.

Kwa namna chombo chenyewe kile kinavyoendeshwa kwa faida ya watu wa wachache, nafkiri mtoa mada kafanya sawa sawa kusemea hapa mana hakuna mahala pengine pakupazia sauti na ikafika.
 
Hapa ndio sehemu yake kila mtu atasoma atajua ubaya wao hata wao mufti na serikali watasoma humu humu jf
Hizi nasaha zako zingekuwa ni nzuri laiti kama ungelizifikisha mahali husika na sio kuja kulaumu mtandaoni.

Kwa BAKWATA hizi ni nasaha zako kwao, na kwa sisi wengine utatufanya tuzidi kuwaona wapigaji tu, kama ulivyosema.

Au ulitaka tujifunze nini kwa haya uliyoyasema?
 
Aliekuambia Bakwata ni waislamu ni nani???hicho ni kitengo cha kikatoliki na serikali kinatumika kiutawala dhidi ya waislam halisi!!
 
a
ALLAH HAKUMTAJA MWANAMKE KUWA NI DHAIFU ILI TUMFUNGULIE MLANGO WA KUDHULUMIWA...

ALLAH AMEMTAJA HIVYO ILI AFANYIWE UADILIFU NA ASHIKILIWE KWA UPOLE NA UNYENYEKEVU. ..
allah mueza wa yote aliumba kiumbe dhaifu?

mtake radhi bhana umemkosea sana mnyazi mungu.
😆😆😆😆
 
Unataka kumpa mkeo talaka (halafu Yuko mashallah mswambwanda hivi) usimpeleke Huko

Kuna mafisi hatari yaani watakushupalia kwa vifungu umuache fasta halafu ijumaa ijayo wanamtia udhu saafi[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndiye unaona hana sehemu nyingine ya kulalamikia ila hapa.

Je unauhakika kuwa hao wahusika wapo humu? na kama unauhakika kwa nini asiwa PM ili ujumbe uwafikie.

Nauliza tena kunafaida gani ya yeye kutuambia haya aliyosema, zaidi ya kutufanya kuzidi kuwaona wapigaji?

Hebu soma comments za wadau ujionee.
Hata mimi najiuliza kama unavojiuliza wewe, kuna faida gani ya kuhangaika na hii mada wakati kina mada nyingi tu humu?
 
N.a. hili la ukabila pale makao makuu lipoje? Pia naskia Mufti kuna mikoa anaogopa kutembelea?...
 
Back
Top Bottom