Bakwata uislaam huo mmeutoa wapi? Kumbukeni moto ni mkali sana mtaenda chomwa

Comment ziwe fupifupi nina shida nazo. [emoji41][emoji41][emoji41]
 


انا لله و انا اليه رجعون
 
Moto Hakuna ..ni janja janja tu ya viongozi wa dini waliamua kutumia hivyo vitisho ili iwe kama trap ya kuwa kamata waumini kwa lengo la kuwatia hofu

Viongozi w dini wote wanalijua hilo ndio maana huwa wanatenda maovu kwa sababu wanajua hakuna masuala ya kuchomwa moto wala nini


All in all bandiko lako lina make senses
 
Reactions: BAK
Acha kumpangia mtu cha kupost we k,ulitaka mtoa mada aje kwenu kulalamika?hujui hata hao viongoz wapo humu?
Naona umekurupuka.

Hebu soma komenti halafu utaelewa nilichoandika.

Na usilazimishe niwe na mtazamo kama wako.
 
Si kila habari ni ya kila mtu, ya Kaisari mpe na umuachie mwenyewe Kaisari!
 
باكوات Ba kwa ta jina lenyewe kwanza linatisha.!!🤣
Nauliza hivyo ni kwa sababu Uislam unatutaka tujiepushe na baadhi ya dhana, kwani baadhi ya dhana ni dhambi.

Kwa sababu dhana ikiwa ni si ya kweli ni kuwa umemzushia mhusika uongo. Ni hatari vilevile kwa kuwa itakuwa imejengeka kwenye matamanio ya nafsi.

Waislam tunaifahamu Bakwata jinsi ilivyo! Lakini yanayosemwa haya ni ya kweli kuhusu Bakwata? Au ni utaratibu wa waliyomo ndani ya Bakwata?
 
Acheni kurumbana nyie ,,,twenden tujatafute maisha kisha tunywe bia had tinye mavi mengi chichi wauchilam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…