AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
- Thread starter
- #61
Ahsante kwa jibu murua...Kama sio utaratibu hao kadhi wanaomba pesa za nini?mtoa post ndy hayo anayoyakemea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa jibu murua...Kama sio utaratibu hao kadhi wanaomba pesa za nini?mtoa post ndy hayo anayoyakemea
Ungepita tu, mambo ni mengi kuna kuchukua fomu za kugombea.Hizi nasaha zako zingekuwa ni nzuri laiti kama ungelizifikisha mahali husika na sio kuja kulaumu mtandaoni.
Kwa BAKWATA hizi ni nasaha zako kwao, na kwa sisi wengine utatufanya tuzidi kuwaona wapigaji tu, kama ulivyosema.
Au ulitaka tujifunze nini kwa haya uliyoyasema?
Mimi nazungumzia suala jingine wewe waleta mada nyingine. .. Kama sio wewe anzisha uzi wa hilo jambo tulidiscuss na uje na hoja za sio...Hapa una uhakika napo kiongozi?
SISI WAISLAAM KUNA HOJA ZILIZO WAZI KABISA KUWA IPO SIKU TUTAFUFULIWA NA KUPEWA HESABU ZETU. .. WEMA PEPONI WAOVU MOTONI. ..Moto Hakuna ..ni janja janja tu ya viongozi wa dini waliamua kutumia hivyo vitisho ili iwe kama trap ya kuwa kamata waumini kwa lengo la kuwatia hofu
Viongozi w dini wote wanalijua hilo ndio maana huwa wanatenda maovu kwa sababu wanajua hakuna masuala ya kuchomwa moto wala nini
All in all bandiko lako lina make senses
Kwa sababu najitahidi kufanya wema na kuepuka maovu, na nikikosea chap narudi kwa Mola wangu naomba Toba.. .We umejuaje hautachomwa moto?
Kama suala lipo bakwata wilaya na wana bank account kwa ajili ya malipo, kwahiyo unataka ujifanye kipofu kumbe waona?Nataka kufahamu kuwa huo ndiyo utaratibu rasmi wa Bakwata au ni utaratibu wa waliyomo Bakwata?
VIZURI NIMZUSHIE ILI IWEJE WAKATI MIMI MWENYEWE NIMEFUATILIA KESI IMEANZIA BAKWATA KATA MPAKA WILAYA.. . WEWE NDIYE UNAYEDHANI SHARI BAADA YA KUKUJIA HOJA ZILIZO WAZI...Nauliza hivyo ni kwa sababu Uislam unatutaka tujiepushe na baadhi ya dhana, kwani baadhi ya dhana ni dhambi.
Kwa sababu dhana ikiwa ni si ya kweli ni kuwa umemzushia mhusika uongo. Ni hatari vilevile kwa kuwa itakuwa imejengeka kwenye matamanio ya nafsi.
Waislam tunaifahamu Bakwata jinsi ilivyo! Lakini yanayosemwa haya ni ya kweli kuhusu Bakwata? Au ni utaratibu wa waliyomo ndani ya Bakwata?
ingekuwa busara kama ungefuata utaratibu wa kuwasilisha malalamiko au kero zako ktk ngazi inyayo husika, unacho kifanya hapa hakina tija yoyote kwako, kama kweli unania ya kujenga fuata utaratibuTANBIHI: Mods naomba uzi huu msiufute na mkiuhamisha basi nifahamisheni mmehamishia wapi?
Nayaandika haya nikiwa na uchungu mkubwa rohoni mwangu. .. Nikiangalia wale walio pewa mamlaka ya usimamizi wa sheria ya Allah wanafanya mambo mazito ya kumuasi Allah na kudhulumu watu...
Kwanza nibainishe MIMI SIO MTU WA KUENDESHWA NA MIHEMKO YA KIHARAKATI... SINA CHUKI JUU YA BAKWATA NA NAWAHESHIMU SANA KWA SABABU NDIO CHOMBO TEGEMEWA CHA KUWASEMEA WAISLAAM NCHINI NA KUISIMAMISHA SHERIA YA ALLAH. .. LAZIMA TUKITII NA TUKIHESHIMU BILA SHAKA. .. NA NAKITII NA KUKIHESHIMU CHOMBO HIKI. ..
Bakwata Mashaa Allah, Allah amejaalia lwa serikali hii kuruhusu WAISLAAM kujihukumia mambo yao msingi ya kijamii yenyewe na MIFUMO YA KIDOLA ikazitambua na kuzirasimisha sheria hizo(NDOA, TALAKA NA MIRATHI). . . NA HUKUMU ITAKAYOTOLEWA NA BAKWATA KWENYE MASUALA HAYO MAHAKAMA ZA NCHI HAZIWEZI INGILIA.. .
TUMSHUKURU ALLAH KWA HILO.. . Ni jambo mlilolipigania kwa muda mrefu kupata mahakama ya Qadhi, ili waislaam tujihukumie mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa kwenye ibada hizo. ..
Kumbe bhanaa wenzetu BAKWATA na BAADHI viongozi Wake waliliangalia kwa jicho la kimaslahi(LA KIUPIGAJI) . .. MCHENI ALLAH NYIE WATU.. . ADHABU YA ALLAH NI CHUNGU. ..HAMTOOKOKA NA VIREMBA VYENU WALA VYETI VYENU VYA THANAWY MLIVYOVIPATIA TANGA...
Mathalani. .. KWENYE MASUALA YA NDOA. .. SIKU ZOTE UKIONA SUALA HILO LIMEFIKA KWA QADHI UJUE MLETAJI NI MWANAMKE(MKE). ..
Kwa sababu Kisheria MWANAUME hapati shida amepewa Mamlaka, YAKIMKERA ANAACHA TU(TALAKA). ..
Ila mwanamke hana uwezo wa kutoa Talaka, Suluhisho lake ni kwa Qadhi...
Na kwa mfumo wenu wa uendeshaji QADHI MMEMUWEKA KUANZIA WILAYA kisha MKOA kisha TAIFA. ..
LAKINI wa kumpata huyo QADHI sasa ndio unaleta ukakasi. ..
Binti akiwa na tatizo kwenye ndoa yake na Mumewe anabidi aanzie shauri lake BAKWATA KATA ili lifike kwa QADHI WA WILAYA. ..
Huko KATA sasa ETI BINTI MASKINI ANATOZWA KUANZIA SH. 15,000/- Ili tu shauri lake lifunguliwe na lisikilizwe. ..
Tujue kabisa OFISI YA BAKWATA KATA HAINA MAMLAKA YA KUSIKILIZA NA KUIAMUA KESI ILI WATAPOTEZA TU MUDA WAKO ILA MWISHO WA SIKU UTAPEWA BARUA UENDE BAKWATA WILAYANI. ..
Ukifika BAKWATA WILAYA kabla hawajakusikiliza lolote... NENDA KADEPOSIT SH. 30,000/-...
ILA KUMBUKA MWENYE MAMLAKA YA KUSIKILIZA NA KUAMUA NI QADHI NA SI BAKWATA(Si sheikh wa wilaya wala katibu wake). . . Ila hela yako wanaitaka...
Kwahiyo mwisho wa siku lazima upelekwe kwa Qadhi. ..
Sijajua na hadi kufika huko kwa Qadhi nako inabidi utoe kiasi gani!
KINACHONIUMA ROHO SIO HELA WANAYOIPIGA. ..
Ila ni HUYU MWANAMKE aliyepeleka Kesi huko. .. KUMBUKA KISHERIA YA KIISLAAM MWANAMKE ANATAKIWA AKAE NYUMBANI NA WATOTO ALEE FAMILIA NA AMTII MUMEWE TU. .. Suala ya kufanya kazi limeruhusiwa kwa mwanamke ila INATILIWA NGUVU ZAIDI ASIFANYE KAZI. ..
ANAYEMHUDUMIA MWANAMKE NI MUMEWE. ..
SASA FIKIRIA Mwanamke amegombana na Mumewe anayemhudumia. .. Ikafikia hatua anahitaji msaada kutoka kwenu BAKWATA. .. LAKINI NINYI MNAMCHAJI OVER SHS. 45,000/- ILI APATE HUDUMA NA MSAADA WENU ILI APATE HAKI YAKE. ..
Sasa hiyo hela anaitoa wapi MDHAIFU HUYU. ..? BADALA YA KUMSAIDIA KUMPA HAKI YAKE MNAMUONGEZEA MATATIZO?
UISLAAM WENU MMEUTOA KWA SHEITWAANI GANI?
MBONA HATA HAMUMUOGOPI ALLAH... HIVI HATA MTUME ANGEKUWA ANAFANYA HUU UPUMBAVU WENU. .. HUU UISLAAM USINGEFIKA HAPA ULIPO. ..
MTUME AMESEMA "ZICHENGUENI HAKI ZA MADHAIFU WAWILI HAWA, NAO NI WANAWAKE NA MAYATIMA".
Lakini ninyi mnashiriki kuwakandamiza. ..
Mcheni Allah ndugu zangu. ..
MTAFANYA WAUKIMBIE UISLAAM NA WAULALAMIKIE UISLAAM KWA TAMAA ZENU ZA MAISHA YA DUNIA YASIYO CHOCHOTE. ..
MNATUPELEKA WAPI NYIE WATU MSIOMUOGOPA ALLAH. ..
MNA TOFAUTI GANI NA WAPIGA DILI WA RICHMOND NA WALA RUSHWA. ..
NYINYI MTACHOMWA KWA KUDHULUMU MALI ZA WATU KWA KUZILA PASIPO HAKI. ..
KAMA MLITAKA KIPATO MNGEKUWA NA SUBRA MKAMSIKILIZA HUYO DHAIFU ALAFU MWISHO MTWANGENI HIZO GHARAMA MWANAUME. .. ILA MWANAMKE MNAMUONEA ANAZIPATA WAPI?
AKIWA HANA MAANA YAKE AKAENDELEE KUMUASI ALLAH KWA ZINAA KWA MLOLONGO WENU KWA KUDHULUMU WATU. ..
mwisho:
NITOE TANBIHI NYINGINE... UISLAAM NA SHERIA ZAKE HAZINA SHIDA KABISA WALA HAZINA KASORO.. .
NA UKIZIFUATA NA ZIKASIMAMISHWA VIZURI KWA UADILIFU UTAUPENDA NA KUUFURAHIA UISLAAM. .. UTA ENJOY NA KUJIVUNIA KUWA MUISLAAM.
ILA HAWA WAPIGA DILI HAWA NDIO WANAOUCHAFUA UISLAAM...
NIMUOMBE MUFTI.. . BARAZA LAKO UNALOJITAHIDI KULISAFISHA NA KULIRUDISHA KWA UMMA... KUNA WATU WA MASLAHI WANAKUANGUSHA.. . WANALICHAFUA BARAZA KWA TAMAA ZAO ZA MATUMBO... MIJITU IMEJAZA VITAMBI NJAA ZIMEWAJAA HAWANA HOFU YA ALLAH... ADHABU YA ALLAH YAWANGOJA WASIPOTUBU. .. ALLAH AWAONGOZE. ..
NB: MODS TAFADHALI UZI HUU USIFUTWE MUHIMU SANA KWA UMMA...
Shukran mkuuAhsante kwa jibu murua...
UISLAAM UMEWEKA UTARATIBU WA KILA KITU NA UISLAAM UNAENDA NA WAKATI...Mkuu umejinasibisha kwamba huna mihemko wala huendeshwi kwa mihemko ila hoja yako haishabihiani na Hilo.
Inaonekana kulalamikia ada ya kupokelewa shauri. Umewahi kujiuliza BAKWATA KATA wanaendesha ofisi kwa fungu lipi? Je kuna hesabu gani nyuma ya hiyo ada (deligation, mwendo wa kutoka ofisi za kata nk.,).
Kadhi anaendesha ofisi kwa mfuko upi? Analipwa mshahara na nani? Deligation inayoamua kesi hiyo Ina watu wangapi? Nk.
Hatuhalalishi wala kutete tozo, bali kila jambo huamuliwa kulingana na wakati na nyakati husika na kwa vigezo vile vile.
Mwanamke;
Anatoa wapi shilingi elfu 15,000 au 30,000? Nikidhani unazungumzia kwamba ananyanyaswa kingono katika HARAKATI za kuipata haki yake au anazungushwa kwa uamuzi usiosahihi na nk.
Hivi huyu mwanamke ambaye unadhani anahitaji talaka 45,000 inaweza kuwa kikwazo cha kutimiza ombi lake?
Unajua shauri likifika kule gharama ambazo mwanamke anatakiwa aziingie kisheria kuipata hiyo talaka (anatakiwa kurudisha mahari), je Kama aliolewa kwa 200,000/- unadhani atakuwa na uwezo wa kutafuta 200,000/ alafu akose 45,000/?
Usikubali kuwa mjinga kwa hiari.
Ushahidi ninao wa malipo ya benki ya posta. ..Hilo swali ungemuuliza mleta mada kwamba anao ushahidi wa hicho alichokisema??, baada ya majibu yake ndipo tutaenda mbele zaidi kujua je sheria za kiislamu zinaruhusu jambo hilo nk.
Ahsante sana...Naunga mkono aliyo yaandika mtoa mada, na hapa ngoja niseme machache kuhusu suala la "Kadhi". Katika soma soma yangu na kufatilia mambo ya dini, katika Uislamu hakuna sampuli ya majukumu ya kadhi kama yalivyo katika hizi mahakama za kadhi na sisi tulishawahi kuwashauri hata hizo mahakama za kadhi zisiwepo sababu kuwepo kwake tu kunaenda kinyume na Uislamu.
Na haya tunayo yaona ni matokeo ya wahusika kuuacha Uislamu.
KATIKA SHERIA KUNA KITU KINAITWA RADD... MTU ANASAHIHISHWA KWA KOSA ALILOLIFANYA HADHARANI.. .Kwa mfano wewe ukiwa ni kiongozi, utakapokuwa umekosea ungependa raia wako wakukosoe kwa namna gani.
Wasimame tu barabarani na kuanza kupayuka, kwa kuwa wanajua utasikia ilhali wanakuvunjia heshima, au wakufuate faragha na kukueleza makosa yako?
Tatizo sio kuwasema tatizo pahali gani anapowasemea.
Na je wao pia wamefungua mlango wa nasaha?Kwa mfano wewe ukiwa ni kiongozi, utakapokuwa umekosea ungependa raia wako wakukosoe kwa namna gani.
Wasimame tu barabarani na kuanza kupayuka, kwa kuwa wanajua utasikia ilhali wanakuvunjia heshima, au wakufuate faragha na kukueleza makosa yako?
Tatizo sio kuwasema tatizo pahali gani anapowasemea.
Ushahidi ninao wa malipo ya benki ya posta. ..
Hizo gharama wao Bakwata wanaziitaje??!! gharama za huduma au??
Kulalamika kwa waislam ni kawaidaANAYEMHUDUMIA MWANAMKE NI MUMEWE. ..